Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuhHujachelewa kazikwe nae
Hivi hii kitaalamu inasababishwa nini?Yes..wanawake tuna machozi ya karibu sana...pole
Nadhan ndo tulivyoumbwa...Hivi hii kitaalamu inasababishwa nini?
Na ujerumani ikawa moja ya superpowerHata Adolf Hitler alipokufa watu walilia kwa hiyo sikushangai.
Hata Adolf Hitler alipokufa watu walilia kwa hiyo sikushangai.
Hakuna kiongozi ameweza kufanya makubwa kama magufuli, mbona kipindi kile, mishahara ilipandishwa lakibi huduma katika jamii ni za hovyo kuanzia miundombinu, huduma hospitalini, kilw mmoja kafanya yake ila huyu mzee kaenda extra miles.
Labda kwa mauajiMjiandae sasa hali yote hiyo inakuja kurudi
Watu watamkumvuka tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kupata hasara sio jambo la kujisifia. Kupata hasara sio mashindano.Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Utamkumbuka wewe na mafashisti wenzio.....Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.Kupata hasara sio jambo la kujisifia.
Kama mke wa jirani yako kaliwa juzi naww mkeo akiliwa leo na mchepuko utaleta uzi wa kumsifia hapa?
Acheni mambo ya kijinga, umaskini sio sifa.
Yaonekana ulikuwa unagawiwa mabulungutuShirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Yaonekana ulikuwa unagawiwa mabulungutuShirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.