jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
never never neverWale vibaka tu ,ushasikia jambazi anaenda kuiba kwenye vibanda vya mpesa/tigo pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
never never neverWale vibaka tu ,ushasikia jambazi anaenda kuiba kwenye vibanda vya mpesa/tigo pesa?
Mauaji ya vikongwe kwani yalikuwa yanatokea kanda gani?Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Alphonse Mawazo kacharangwa mashoka mchana kweupe .never never never
Wewe ndiye umeandika cha maana. Uzi ufungwe.Mpe mchawi akulele mtoto.
Ni kweli hapakuwa na mauaji ya vikongwe. Lakini raia wamepotea. Miili imekutwa kwenye viroba. Ben Saanane? Azory Gwanda?, na wengineo. Mikono imejaa damu!Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Ila umesikia mauaji ya vijana sio?Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Kwanza wewe umekosa adabu.Unamwandika BaBa waTaifa kama mwanao.Nyie sukuma gang walaji mpaka wake zenu.Huyo mke wa spika milioni 200, n.k Wamuenzi kwa kipi?Mabilioni kuibiwa,watu kubambikiwa makodi na makesi,kuwadanganya walalahoi kuwa njia tajiri kumbe sukuma gang wanakula mabilioni,kuwatia ndani watu,kuvunja sheria,katiba n.k Tena UKOME kumfafanisha na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume.Kasome ripoti ya CAG.Ushauri wangu kwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia suluhu Hassan na Kwa wabunge wa bunge letu tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na spika wa bunge Mh job ndugai nawashauri na kuwaomba katika kuenzi Mambo makubwa yaliyofanywa na utawala wa awamu ya tano chini ya jemedari Hayati John pombe Joseph Magufuli.
Ambaye kimsingi akiwa Kama Rais amejipambanua kuwa ni mtetezi wa wanyonge ,shujaaa na jasiri.
Pia ni Rais aliyefanya Mambo makubwa ikiwemo miradi mikubwa ya kimkakati na ujenzi wa miundombinu,kuleta nidham katika serikali, na Ukombozi wa kiuchumi na kifikra.
Kwa mukhtadha huo kutokana na Mambo mengi mema aliyoyatenda mpendwa wetu na kulingana na kiwango kikubwa Cha mahaba kwa watanzania juu yake kwa nia njema ningependa nishauri lijengwe sanamu ambalo litakuwa ni kumbukumbu ya shujaa huyu wa Afrika kwa vizazi vijavyo na pia iwekwe siku maalum katika kalenda ya serikali iwe ni makhususi kwa kumuenzi yeye Kama ilivyo kwa marais wastaafu A.karume na J.k nyerere.
Na ushauri huu umezingatia Umuhimu wa Rais ambaye amtuachi Mambo mengi mazuri na Rais amabaye ametufungulia nji n akuwa mfano wa kuigwa katika dunia.
Tujitahidi kuthamini vyakwetu na tumshukuru Mungu kwa neema aliyotupa na tumuenzi mpendwa wetu.Watu Kama Magufuli ninadra Sana kuzaliwa duniani.
Magufuli alikuwa na kipawa cha uumbaji cha baraka! Alichosema kiwe kulikuwa na alichokizuia kisiwe kilitokomea na kufa...rejea Accasia'!Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
1. Alitekwa Ben SananeHiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Magaidi ya Msumbiji yamechinja watu mtwara haikutangazwa hadi yeye mwenyew aliogopa kwendaHiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wameufuta siunajua humu viongozi wa jukwa tupo nao ktk coment wakiona umewashinda hoja wanafuta thread yako . Ukweli jamii forums ndio mtandao Bora zaidi kwa Tanzania lakini kasoro kubwa ni kuminya Uhuru wa maoni ya watu...
Unajua maana ya takataka wakati unachofanya ni takataka? Shame on you!Huu muda unaoutumia kuandika takataka ni bora ujifunze kuandika tu.
Usikute wewe ndio moderator mwenyewe mkuu unanichora tu hapa😃😃😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwanini wameufuta jamani
Huyu mama aliugua bwana acha uchochezimama yake Erick Kabendera?