Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magu huyu huyu aliyempigia simu RC wenu mpendwa?
 
jamaa lilikiwa linaichukia sana mbeya, likasahau mbeya ipo kabla yake na itaendelea kuwepo, lakini bahati nzuri na sisi wana Mbeya tulikuwa tunamchukia zaidi, na maombi yetu yamefanikiwa.
 
Katika kipindi cha Magufuli maiti zilikuwa zinaokotwa kwenye viroba ufukweni na mitoni.
20210318_.jpg
101452.jpg
20210318.jpg
101344.jpg
 
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Hasa suala la ajira ameajiri watumishi wengi kuliko Rais yoyote !!! Alipandisha mishahara saaaaanaa yani watumishi wamefurahi sana hawakutegemea !!! Hakuwa mbinafisi wala hakujenga kwao kama Jakaya kikwete na BW Mkapa ,Jpm hakuwa mbinafsi kaaabisa ,aliwapenda sana wakisoaji wake mpaka akawafungulia account benk,sita msahau kwa uwezo wake mzuri sana wa kuimudu lugha yaa kiingereza kweli aliimudu,Aliwaongezea pesa benk wafanyabiashara hakukwapua pesa benk ( account za watu) yan aliwaita na kuongea nao kisha akawaongezea pesa!!!alichagua zaidi watu woteee kuwapa nafasi kubwa hakipendelea kabila lake wala kanda yake
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kurudisha heshima ya vyeti Dah! Wenye vyeti feki walishaona kukaa darasani ni bure!!!!!! MAGUFULI HONGERAAAAAA
 
Mjiandae sasa hali yote hiyo inakuja kurudi

Watu watamkumvuka tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Amkumbuke nani??? Kama vyeti fek ,ufisadi ,wizi ,upo na mishahara inapanda na ajira zipo potelea mbali kuliko wakati wake ooooh ntaongeza mshahara ooooh nyokonyoko kweeeeeendaaa utamkumbuka wewe na mumeo
 
Wafanyakazi wa serikali watamkumbuka saaaana yan ndie Rais aliyeongeza mshahara kupita woooooote
Wahitimu watamkumbuka yaaani alipunguza makato kwa watoto wa masikini kutoka iliyokua unachajiwa na kikwete 16% to 8% kweli huyu alikua Rais wa wayonge jamani
Ali ajiri saaaana yaaani kuanzia 2015 yani ni kumwaga ajira tuuuuu vijana walineeemeka sana
Hakuwa mkabika na mkanda kama watangulizi wake ambao walijali kwao tuuu !!! Huyu yeye alikua jaangali kabila UA watu wa kanda yake
Pia aliwa wafanya biashara pesa ( hakuwapora kaaaabisa yani )
Hospitali zilijaaaaaa dawa
Wapinzani waliwapenda sanaa yani aliwafungulia ac benk
Alianzisha mirad yenye faida saaaana mfano alinunua midege kwa mwaka faida ni 60 billion
Aliimudu sana lugha ya kiingereza yani mm huyu ni roli modo wangu
Aliliheshimu saaaana bunge hakufanya kitu bila ridhaa ya bunge
 
Mkuu Jmamos ntakua hapo kidimbwi nachoma Mbuzi kama utakua mtaa ntakuita tuje tuyajenge. KIMSINGI MIMI PIA SIJAWAHI VUTIWA NA JIWE HATA KIDOGO NA NILISHASEMA KAMA MUNGU ALITULETEA JIWE MILELE BASI KUNA SEHEMU TULIMKOSEA NA NDO HYO KAMTWAA
Mwenzio Nina kato ni za wine na nimesha lianzisha !!!
 
Acha kutuaminisha ya kuwa wewe ndio unaijua nchi hii, binafsi mimi sio mtu wa siasa kabisa nayasema haya kwa jicho lisilolenga na kuona siasa. JPM alikuwa kiongozi mzuri hata kama alikuwa na mapungufu ni ya kibinadamu na alilazimika kufanya aliyoyafanya kwa manufaa na maslahi ya nchi na sio maslahi binafsi.
Mzuri kwenu
 
Msione wamama wanadondoka pale Uhuru kwa kilio na kuzimia mkazani wanaigiza sio maigizo yale wale wengi ndio wafanya biashara ndogo ndogo kama Mama Ntilie ambao kipindi cha JK mliona wakimwagiwa michuzi yao kwa mateke barabarani na wagambo wa jiji wengine walikuwa wamachinga kipindi kile waliteswa aisee.

Lakini Magu alivyoingia akawabeba, wengi wanalia sababu hawajui sasa hatma yao ni nini hawaelewi raisi aliyepo sasa atakuwa na msimamo gani either ataendelea kuwabeba or ndio mambo yale yale ya safisha jiji.

Utawala wa Magufuli hautosahaulika na wafanya biashara ndogo ndogo, wapo walioumia na walioneemeka ni hawa waacheni walie tu.

R.I.P JPM.
Walizimia na kubebwa huku mkononi wameshikilia mifuko ya viporo yaaani usaniii mtupuuuuuu afe tuuuuu
 
Viongozi wangu watatu bora Tanzania
1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere
2. Edward Moringe Sokoine
3. John Pombe Magufuli

Nyongeza;
4. Chifu Mkwawa
5. B.W. Mkapa

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom