Rudi kasome vitabu wapo wengi waliofufuka kwa style kama yesu. aka Jesus Yeshua ben pandera.Aliyefufuka ni Mmoja tu Yesu Kristo na waliobaki ( tuliobaki ) tukifa hiyo ndiyo ntolee na kusubiria Kiama chetu Motoni kule Mbinguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kasome vitabu wapo wengi waliofufuka kwa style kama yesu. aka Jesus Yeshua ben pandera.Aliyefufuka ni Mmoja tu Yesu Kristo na waliobaki ( tuliobaki ) tukifa hiyo ndiyo ntolee na kusubiria Kiama chetu Motoni kule Mbinguni.
Wenzetu huko duniani wanawaza namna ya kupeleka satelaiti angani, sisi tunawaza mambo ya kufikirika. Mwisho wa siku tunalalamika kuwa wazungu wanataka kutumalizaYaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
ATUCHOMILE MWAKACHANJOYaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Msamaha ni asili yetu watanzania na watenda wema wote ni lazima waombe au wakuombe msamaha,na kila siku akisema munisamehe ndugu zangu,Nchi kuingia Uchumi wa kati mmeshindwa kumuelewa ,magufuli ameinua uchumi na hilo lipo wazi,ukabila ni lazima maana msemo wa kiswahili,Magufuli hakupotoka na masemo unasema kila mzarau chake hakika amepotoka, Ameinua hali ya Chato hivyo kuiongezea Tanzania chanzo cha mapato, na kama sadaka basi huanza ndani ya nyumba yako sio uapeleka sadaka kanisani au msikitini wakati ndani ya nyuma yako hamna hada koligeti.Ataomba msamaha waTanzania.
Kuwadanganya kwamba nchi imeingia uchumi wa kati.
Kupromote ukabila na ukanda.
kujipendelea sehemu aliyozaliwa.
Atakufa tena jumlaYaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Dikteta Jiwe Kwa Sasa yupo kakokewa Kuni zenye Moto Mkali sana akitumikia Ushetani wakeYaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Ccm imejaa watu wenye kiu na damu za watuChanzo Cha kifo chake tutaelezwa vizuri 2024-2025 . Na kama walihusika utakuwa mwisho wa CCM kutawala.
HakunaRudi kasome vitabu wapo wengi waliofufuka kwa style kama yesu. aka Jesus Yeshua ben pandera.
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
😎😎😎Chanzo Cha kifo chake tutaelezwa vizuri 2024-2025 . Na kama walihusika utakuwa mwisho wa CCM kutawala.