Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Aliyefufuka ni Mmoja tu Yesu Kristo na waliobaki ( tuliobaki ) tukifa hiyo ndiyo ntolee na kusubiria Kiama chetu Motoni kule Mbinguni.
Rudi kasome vitabu wapo wengi waliofufuka kwa style kama yesu. aka Jesus Yeshua ben pandera.
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Wenzetu huko duniani wanawaza namna ya kupeleka satelaiti angani, sisi tunawaza mambo ya kufikirika. Mwisho wa siku tunalalamika kuwa wazungu wanataka kutumaliza
 
Ataomba msamaha waTanzania.

Kuwadanganya kwamba nchi imeingia uchumi wa kati.

Kupromote ukabila na ukanda.

kujipendelea sehemu aliyozaliwa.
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
ATUCHOMILE MWAKACHANJO
 
Ataomba msamaha waTanzania.

Kuwadanganya kwamba nchi imeingia uchumi wa kati.

Kupromote ukabila na ukanda.

kujipendelea sehemu aliyozaliwa.
Msamaha ni asili yetu watanzania na watenda wema wote ni lazima waombe au wakuombe msamaha,na kila siku akisema munisamehe ndugu zangu,Nchi kuingia Uchumi wa kati mmeshindwa kumuelewa ,magufuli ameinua uchumi na hilo lipo wazi,ukabila ni lazima maana msemo wa kiswahili,Magufuli hakupotoka na masemo unasema kila mzarau chake hakika amepotoka, Ameinua hali ya Chato hivyo kuiongezea Tanzania chanzo cha mapato, na kama sadaka basi huanza ndani ya nyumba yako sio uapeleka sadaka kanisani au msikitini wakati ndani ya nyuma yako hamna hada koligeti.

Yaani akifufuka atashangaa sana sana kuona muda mfupi alioondoka kumetokea waasi ambao alikuwa nao karibu sana,nina uhakika atachukua tena Uraisi,wacheni masihara Magu amewekeza sana kwa wananchi kuliko kwenye siasa,wanyonge walikuwa wanafarijika .leo hii tiyari wananchi wameanza kujiinamia..
 
aseme au sisi ndo tumuulize kwann alikua mwongo na mtesi wa watu, kama sabaya anavosema
 
Mara paaap jamaa kweli kafufukia kule alikowaambia sio yeye aliyeleta tetemeko la arzi
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Atakufa tena jumla
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Dikteta Jiwe Kwa Sasa yupo kakokewa Kuni zenye Moto Mkali sana akitumikia Ushetani wake
Anatamani apate hiyo Nafasi kuja na kutubu dhambi alizotutendea kama Nchi na Mungu
 
Akifufuka atashangaa bodaboda wanavyonyanyasika tangu alipofariki mama sijui yupo wapi amri za ajabu eti operesheni ya bodaboda yaani hawa polisi wamegeuka wanyanganyi wakikuta pikipiki popote hata kama umepaki wanapakia kwenye gari lao unaambiwa eti ifuate madale au wazo ukifika kule ni rushwa tu kwani sisi bodaboda tumekukosea nini mama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi kurudishwa uraisi kwa kuwa yupo raisi alieapishwa SSH.
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.

Jamani Shocker si mumwacheni baba apumzike kwa amani!? Mbona mnamwamsha aje afanye kazi kila siku?

Tunakatazwa kuwasumbua waliolala katika usingizi wa umauti. Kazi yake amemaliza apumzike salama

1Samwel 28
Basi Samweli alikuwa amefariki dunia, nao Israeli wote walikuwa wamemwomboleza, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe. Tena Sauli alikuwa amewaondolea mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi.

Basi alipowaona hao majeshi ya Wafilisti, huyo Sauli akaogopa, na moyo wake ukatetemeka sana.
Lakini Sauli alipouliza kwa Bwana, Bwana hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.

Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.

Ndipo yule mwanamke aliposema, Je! Ni nani nitakayekupandishia? Naye akasema, Nipandishie Samweli.
Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.

Ndipo Samweli akamwambia Sauli, Mbona umenitaabisha mimi, hata kunipandisha juu? Sauli akajibu, Mimi nimetaabika sana; kwa kuwa hao Wafilisti wananifanyia vita, naye Mungu ameniacha; hanijibu tena, wala kwa manabii, wala kwa ndoto; kwa hiyo nimekuita wewe, ili wewe unijulishe nifanyeje.
Samweli akasema, Kwa nini kuniuliza mimi, akiwa Bwana amekuacha, naye amekuwa adui yako?
 
Back
Top Bottom