Halafu sijui kwa nini alikuacha hai wewe?Na kweli. Maana kumkumbuka muuwaji ni ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu sijui kwa nini alikuacha hai wewe?Na kweli. Maana kumkumbuka muuwaji ni ngumu sana
Wewe na Magufuli wako wote wabinafsi unaongea haya kwa sababu kuna walioumizwa ili wewe upate raha na umsifie na kumfurahia yeye, kwa sababu aliamini kuwa utajiri ni kosa la jinai na kila tajiro ni mwizi lakin binafsi huyu mchato bora alipumzika milele sitomkumbuka kabisaa hata mama samia akileta tozo la mara 3 ya hela ninayo tuma yaan natuma Tsh 5,000/= lakini nakatwa tozo Tsh.15,000/= bado ziwezi kumkubuka yule bwanaDaima Nitamkumbuka Rais Wa Wanyonge Magufuri. Hakika ulitupigania Baba.
Pumzika kwa Amani.
Nasubiri Behaviourist aje na ile picha yake ya kutisha[emoji89][emoji89]
Ni wakati wa kumuomba msamaha Magufuli.Hakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Ukifika Kibaha Mailimoja kuelekea Mbezi lazima utamkumbuka Magufuli kwa zile njia sitaHuyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji1][emoji1]naiogopa mim ile picha ya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmh!Ukifika Kibaha Mailimoja kuelekea Mbezi lazima utamkumbuka Magufuli kwa zile njia sita
Chezeni nae tu madelu wa madilu wa mchemba ni tozo mpk ya kunya inakuja👊Hakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Nadhani ni muda wa familia yake kutuomba msamaha kwa niaba yake...Ni wakati wa kumuomba msamaha Magufuli.
Uuuwiii silali leo[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
Uuuwiii silali leo[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
Unazungumzia mbingu ipi? Hebu acheni kufanya mchezo na mbingu ya mbinguniJPM alikuwa mtetezi wa kweli wa wananchi. Mungu ampokee mbinguni.
Linda mambo?[emoji849][emoji849][emoji849][emoji1][emoji1]naiogopa mim ile picha ya
Huyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
Uuuwiii silali leo[emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]