Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magu alikuwa anawajali wananchi, ni


Yeye si ndiye alisema tusiwape suruali wadogo zetu suruali zitakazotubana!!, si yeye alisema jero tutaiita mia tano!!, si yeye aliyesema matajiri anataka waishi kama mashetani!!, si yeye aliyewaambia wahanga wa tetemeko kagera kwamba serikali haikuleta tetemeko na wala haina shamba!!!, si yeye aliyewatisha wakuu wa mikoa kwamba yeyote atakayetangaza njaa mkoani mwake kibarua hana!!!, je kipindi hicho watu hawakuwa na shida ya chakula katika baadhi ya mikoa??!!.

Huyo ndiye alikuwa Magu au mmeshasahau ??!!
 
Huyu Jamaa wa kanda ya ziwa kwa jinsi alivyojenga madaraja yaliyo chini ya viwango na Bado mnataka legacy gani


Yaani watu ambao mmezaliwa Tz bila hata kwenda nje mnaweza mkaamini kuwa Legacy Ni madaraja tu.
😃😃😃😃😃😃😃😃Ila mnapata shida hakika roho anawasumbua. Mtapata sana shida. Hamta sahau.
 
Huyu Jamaa wa kanda ya ziwa kwa jinsi alivyojenga madaraja yaliyo chini ya viwango na Bado mnataka legacy gani


Yaani watu ambao mmezaliwa Tz bila hata kwenda nje mnaweza mkaamini kuwa Legacy Ni madaraja tu.
Sasa wewe hata kiswahili hujui, eti legacy 'hipi'.
Eti mtekaya anaona kwenda nje ndiyo kumaliza yote. Wewe legacy yako iko wapi bwashee?
 
Huyu Jamaa wa kanda ya ziwa kwa jinsi alivyojenga madaraja yaliyo chini ya viwango na Bado mnataka legacy gani


Yaani watu ambao mmezaliwa Tz bila hata kwenda nje mnaweza mkaamini kuwa Legacy Ni madaraja tu.
Waziri hajengi jinga weye, wanaojenga ni wakandarasi wakisimamiwa na Tanroads, yeye Waziri ni msimamizi wa SERA kuhakikisha miradi inatekelezwa, tatizo huna Elimu ya Uraia hujui Waziri kaz in yake ni nm
 
Mafisadi mmepata chaka lingine la propaganda.

Mbona mama yenu hajajenga hata banda la kuku anazurura tu kwa mabeberu akigawa uroda kwa Peter Greenbird sijui Greenburg!
Sio kwamba ni fisadi, huyo ni kijana Muhuni Mmoja mjanja mjanja alizoea Maisha ya ujanjaujanja sana, Sasa Kwa Uongozi wa JPM ,watu wenye matope vichwan ,midomo mirefu, walikua hawatoboi !!

JPM aliwapa shida sana sana !!.
 
Sio kwamba ni fisadi, huyo ni kijana Muhuni Mmoja mjanja mjanja alizoea Maisha ya ujanjaujanja sana, Sasa Kwa Uongozi wa JPM ,watu wenye matope vichwan ,midomo mirefu, walikua hawatoboi !!

JPM aliwapa shida sana sana !!.
Hamna sisi sio waabudu watu Mimi since day one naongeaga ukweli , madaraja Mabovu hayawezi kuwa Legacy
 
Sikuhizi imekuwa rahisi sana kuanzisha uzi JF. Hata mtu akipotea njia badala ya kuwauliza wenyeji wapita njia mtu anakuja kufungua uzi JF .

Sasa kama tatizo la ubora wa barabara si ni la fundi ufisadi wake kama ilivyo kwa mafundi nyumba kuiba simenti.

Hawezi kumlaumu marehemu kajenga nyumba mbovu kisa fundi aliiba misumari na bati inavuja.
 
Waziri hajengi jinga weye, wanaojenga ni wakandarasi wakisimamiwa na Tanroads, yeye Waziri ni msimamizi wa SERA kuhakikisha miradi inatekelezwa, tatizo huna Elimu ya Uraia hujui Waziri kaz in yake ni nm
Kuna watu hawajui majukumu ya Raisi, Waziri, taasisi husika(Tanroads) or Mkandarasi...
wanatoa lawama utadhani yy ndo alikua Fundi, Engineer, Supervisor, Site manager, Project manager, Quality manager or Consultant.
Wanahisi kujenga barabara or daraja ni km kufasakafia vyoo vyao vya shimo kwamba kila kitu ni mtu mmoja anafanya.
Kuna haja ya JF kuanza kuchuja members wake, limeibuka wimbi kubwa sana la vilaza, wanakurupuka kunzisha nyuzi zisizokua na kichwa wala miguu kwakua tu wana bundle.
 
Back
Top Bottom