El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 297
- 537
Voicer, cjui wewe unaishi Dunia gani! Na sijui kwa hakika vipaumbele vyako katika maisha.Wewe na familia yako,ambao huenda ni kimada pendwa wa walioko huko kwenye Asali ndio maana umeshiba na kujamba ovyo..
Hizo fursa kibao unazoziona wewe,mbona vijana wengine haziwafikii?
Mbona wewe umemkumbuka?
Nani kakulazimusha kuandika, kama sio akili yako imemkumbuka?
Je! Sasa hivi hakuna mauaji?
Sasa hivi vijana hawapotei ovyo mitaani na kupotea jumla?
Polisi hawauwi watu na kudai pesa ndugu za Marehemu ili kwenda mortualy kuwaonyesha maiti?
Watu hawafungwi jela kwa kosa la kumkosoa Rais?
Mawaziri hawatumbuliwi eti kisa tu wamepiga picha na Rais wa nchi kubwa kabla ya Rais wetu?
Hizo fursa ni zipi....mfumko wa bei?
Wizi wa Makamba & Msoga team mabwana zako au?
Muwe mnajaribu kuuficha udangaji wenu!
#mtanikumbuka!
Wengine sisi tulikuwa tunataka kuwa huru maana tulifungwa hasa .
Sasa tunaweza kuyatafuta haya maisha tukiwa huru. Kipaumbele ni uhuru kwanza.