Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kwani hela zilikuwa za serikali au za Magufuli??

Halafu watanzania, tunashabikia nchi kufanya biashara, hiyo MV Mwanza kama mradi wa serikali hapo ujue hamna kitu hapo, ni hasara tupu.. Serikali haijawahi kufanya biashara yenye faida
 
Zile pesa walizoiba za plea bargain na kuzificha China, zingeweza kujenga meli nyingine kama hiyo
Kuwa makini, Marope, Mchumi wa tozo na genge lao unajua wameiba bei gani mpaka sasa? Zingeweza kutanua barabara ya Dar-Arusha kwa njia 2 zaidi huku wakitenganisha wanaoenda na wanaorudi. Mbona husemi
 
Zile pesa walizoiba za plea bargain na kuzificha China, zingeweza kujenga meli nyingine kama hiyo
Hizo pesa za tozo walizotupiga wanasingizia Plea bargain. Magufuli hachafuki hata mfanyeje na bwawa la Nyerere likianza kazi sijui mtaweka wapi makalio yenu.
 
Watu wanaokoteza Point za kutafuta ili achafuke ila kila ukipita Ubungo au Tazara kuelekea Airport roho inakusuta. 🤣🤣🤣
Hivyo vitu vidogo sana, kama ingepigwa high way mpaka airport hapo tungesema yes, lakini siyo kadaraja uchwara kale. Sisi kama Taifa tutajenga vingine bora zaidi.

By the way kadaraja kale ka Tazara ni mradi wa Awamu ya nne ila ujenzi ulikamilika ktk awamu yake
 
Mood mbona mnauunganisha uzi wangu?, kwa nini mnaleta ubaguzi wa kimsimamo,.? Kama mnataka nyuuzi za kumtukana tu magufuli na kuisifu chadema,mseme,moods mnageuka kuwa wapinzani wa wanachama wenu?
 
TUNAKUKUMBUKA BABA

KILA siku ulinena na nasi wanao kua tutakukumbuka Tena tutakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya Leo tumeanza kukukumbuka baba yetu mzazi.

Leo wale uliotoa uhai wako kisa wao kwa damu YAKO wamekataa hata lile jina lako la wanyonge Baba wamekataa.

Siyo kwakua haliwafai la hasha bali wamelandikizwa chuki baba wamepandikizwa.

Leo eti Yale mazuri YAKO baba yamegeuka ufisadi Baba kwanini wakuonee hivi ingali wenye akili wapo na wanatambua?

Ulitamani kuiona tanzania ya pekee Baba isiokua tegemezi Baba Leo tunarudishwa tulikotoka ten kwa gari ambayo imekatika breki. Wale wote waliokua wanataja sifa zako kumbe walikua wanafiki Baba walikua wanafiki kweli.

Baba unakumbuka yule mtani wako agwee uliemlinda na kumkingia kifua siku zote Leo ameguka mkosoaji Baba amegeuka. Wale wazalendo wachache uliotuacha bado tungali na akili na mafikirio tunashuhudia mengi BABANGU.

Najua umelala ila roho YAKO IPO na sisi babayetu fanya Jambo fanya baba
Baba Leo ile SGR uliojenga kwa gharama leo tunaambiwa eti ni hasara baba Bora ungejenga bandari ya BAGAMOYO.

Na mshauri Ni yule mtani wako uliekesha kuhakikisha anakua mkuu wa mjengoni pale Dodoma. Baba eti hata ile stendi tunayojivunia na iliyobaki Kama mwili wako kwetu wanasema inasabisha foleni baba na wanaweza hata kuivunja ili sisi tukupendao na kukujua wewe kama shujaa na mtetezi wetu ukiondoka mawazoni mwetu.

Lile shirika ulilolifufua kwa uchungu na kununua ndege mpya nyingi leo wamesema limesababisha hasara na ndege zile zinaweza kuuzwa baba kweli baba muulize mama anajua mbona.

Baba yule kitumbo uliemteua ndo amekua msaliti wako wa KWANZA baba kwani humjui Ni yule uliempa awe anahesabu mahesabu na kwa bawabu
Baba hata Bwawa la Nyerere hdropower eti tunaambiwa kua litakua halileti faida eti litatia hasara.

Jamani baba ungekuepo ungeona Baba. Sahivi kila ulichofanya kwetu kimegeuka hasara kweli Baba?

Wameshindwa hata kuficha makucha yao babangu wametuonyesha wazi wazi kua wapoje ndani yao.

Baba tumeambiwa eti leo akija mchina kujenga kiwanda ruksa kuja hata na meli nzima ya wafanyakazi asizuiwe Wala kuwekewa mipaka.

Baba kweli ulikua unatupenda wanao ila Sasa umetuacha mbele ya mbwamwitu wakali waliokua wamevaa ngozi ya kondoo wakati wa uhai wako.
Baba wanao hatukujua pale ulipotupa fumbo la maneno YAKO Kila siku uliposema "TUKUOMBEE"

Kumbe uliijua vita YAKO pumzika baba ila wazalendo wapo ambao wataandika mazuri daima bila kupepesa mkono na macho yao wakisema kua WEWE no shujaa wa kweli.

Sasa ndo tunaona baba kua hata Yale machozi yao mbele ya jeneza lako yaliku ya furaha siyo huzuni kama tulivyodhani. Baba walikupeleka mikoa mingi kumbe ilikua ili waamini Kama kweli umeondoka kikwazo chao.

Baba tumebaki na mtu mmoja pekee MAJALIWA ambae atafata nyayo zako ila Sasa wameanza kumslzushia na kumuharibia baba Kaka MAJALIWA yupo Kimya anatunga sheria na majonzi ya kuondoka kwako ila bado wanamuandama eti mara kafanya mabaya mtandaoni Baba tusamehe.

Baba ule ukuta uliojenga pale mirerani eti unabezwa na kuambiwa hauna faida baba tena ndo anasema baba tunatamani hata uamke Leo uone udhalimu huu.

KILA kilichofanywa na WEWE kimegeuka hasara baba wanakupaka matope wazi huku wapumbavu wakipiga makofi na vigeregere ila malipo yao yapo kwa mungu mwenyezi
Baba kama ungekua na simu ungempihia Kaka JOSE angekuambia kwa masikitiko sana Baba angekuambia.

Machozi yanatutoka sisi wazalendo wa taifa hili teule baba tunaumia kwanini umewaachia wakushinde.

Daaaah UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA UMELALA shujaa umelala jemedari wetu UMELALA shujaa WETU

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji125][emoji125][emoji125][emoji705][emoji705][emoji705]
Acha upumbavu, usituongelee wa Tz
 
Baba magu acha wakutukane,acha wakubaghaze,Acha wakupe kila jina baya, Huwezi kujitetea,na hiki ndio walikuwa wanakitaka, hata watu uliowaamini leo wanaogopa kutaja jina lako,kwa sababu tu watakuongezea sifa,

Leo wanaishusha ile meri ya MV HAPA KAZI TU, NI KAZI YAKO BABA KWA WANAMWANZA,DARAJA LA KIGONGO FERRY, WANAJIVUNIA KULITAJA, STANDI MBILI ZA KISASA NYAMHONHORO NA NYEGEZI ,NI KAZI YAKO BABA,LKN WAMEAMBIWA NI MARUFUKU KUTAJA JINA LA JPM, AIBU AIBU AIBU,

WAMACHINGA ULIWAACHA WAKIFURAHIA MATUNDA YA UHURU WA NCHI YAO,LEO WANAWINDWA KAMA DIGIDGI,WAKINA MAMA WANANYANG'ANYWA SAMAKI ZAO NA KIPIGWA, CHAMA CHAKO MAPINDUNDUZI KIMEKAA KIMYA,CHADEMA KILICHOKUWA KINAJIITA WATETEZI WA WANYONGE,KIPO KIMYA,UONGOZI WA JUU WA CCM,UKO MBIONI KUKUITA WEWE FISADI,CHADEMA WAMEACHA KAZI YA KUWATETEA WANANCHI,WAO WAKO BIZE KUPAMBANA NA WEWE,NA WAMEJIUNGA NA KUWA TAWI DOGO LA CCM,

BABA LALA,LALA UPUMZIKE,MAPENZI YAKO KWA WATANZANIA YAPO WAZI,ACHA KUNDI DOGO WAKUTUKANE,ACHA WAKIITE KILA JINA BAYA,
TUTAKUKIMBUKA BABA,
KWA KUUA WATU BILA HATIA KAMA IDD AMIN
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
 
Sijawahi jutia kuwa na RAISI JOHN POMBE MAGUFURI.

#nidhamu

Kila kiongoz na zama zake na wafaidika wake.

Enzi zake hakuna ofisi ya umma ambayo ukiingia unachukuliwa poa poa

Kwa saizi aisee karibu sana MBEYA WILAYA YA RUNGWE.
 
Wanajamvi habari za leo. Bila kupoteza muda nikite kwenye mada husika

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza JPM hata wale uliyo waamini sana hawa kukumbuki tena Nahili limethibitika leo kwenye hafla ya kushushwa kwa meli ya mv mwanza

Ni ukweli usiyo pingika kuwa muasisi wa mchakato wa ujenzi wa meli mpya ni JPM hvyo pamoja nakuwa tayari katangulia mbele ya haki nilitegemea walau jina lake litajwe malanyingi zaidi kwenye uzinduzi huu

ili hata vizazi vijavyo vitambuwe kuwa kulikuwa na mzalendo jasili na mwenye uthubutu

lakini kwa bahati mbaya leo hata sikumbuki kama jina lake limetendewa haki

Kwa wale mliofatiria mubashala mnikumbushe
 
Back
Top Bottom