Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mleta mada ni msukuma masalia. Mfuate shetani wenu yuko Gambosh
 
Upendo wa kweli ni kunywa sumu na kuzikwa pembeni yake.....siyo kulialia kinafki tena Kwa maandishi Ili usikie watu wanacomment Nini......uchonganishi na ukuda huo.....Umekaa kinoko kweli
Anza wewe ili umuonyeshe usivyo mnafiki wala mwoga wa kumfuata mpendwa wenu.
 
Huyo Jomba alikuwa ni Ibilisi mjaa laana aliyua watu wasionna hatia...nitaendelea kufurahia kifo chale mpaka kesho!
 
Mi mwenyewe nimemlilia wakati huu. Na nikaomba msamaha kwa Mungu wangu kwa yale niliyosema juu yake
 
.Anza wewe ili umuonyeshe usivyo mnafiki wala mwoga wa kumfuata mpendwa wenu.
Anything too much is harmful..... zimekuwa nyimbo.Anza wewe tajiri mie maskini tangu Nyerere yupo....aongozaye ndiye nimtumikiaye bro.....kama mlimpenda mngemlinda.Mwacheni apumzike baba wa watu
 
Kwa mujibu wa kichwa cha habari cha uzi, nanukuu kauli yake, inaweza isiwe rasmi sana ... "kama sheria imekukuta unadaiwa, ripa"
 
Rest easy Mr. President 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

IMG-20230308-WA0027.jpg

 
Back
Top Bottom