Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Ndugu zangu hata kama huna akili ona hata aibu kidogo!

Alitokeaga JEMBE narudia alitokeaga JEMBE akafanya mengi.

Yafuatayo ni baadhi tu:

1. Julius Nyerere hydro power plant mfupa uliowashinda wengi[emoji123]
2. Electric SGR ndoto ambayo waTanzania hawa kuwahi kuota[emoji122][emoji122]
3. Kuhamia dodoma rasmi sio porojo za tangu 1970 plus ujenzi wa ikulu etc[emoji123]
4. Upanuzi wa bandar zetu kwa mabillion ya fedha[emoji122][emoji122]
5. Ujenzi wa barabara za kisasa hadi NJIA NANE +7,ring roads,by pass etc[emoji122][emoji122]
6. Ujenzi wa masoko ya kisasa mno [emoji108]
7. Ujenzi wa stendi za kisasa za mabillion zenye ubora kushinda airport nyingi[emoji108]
8. Ununuzi wa RADA 4 za kisasa zilizotufanya kuondokana na aibu ya kutumia rada za nch jirani just imagine??[emoji122][emoji122]
9. Ujenzi wa madaraja ya kisasa mnayopigia pigia picture na kumkejel[emoji115]
10. Ujenzi wa vivuko vya kisasa vikubwa na vidogo plus ujenz wa meli kadhaa[emoji122][emoji122]
11. Ununuzi wa ndege 11 ndani ya miaka mitano tu [emoji122][emoji122]
12. Ujenzi wa interchange,flyovers,overpasses etc watu mlidhan ni vitu vya ulaya tu ila viliwezekana[emoji122]
13. Kufufua reli ya Tanga Arusha mfupa uliowashinda wengi[emoji123][emoji123]
14. Uboreshaji wa bandar za maziwa plus ujenz wa chelezo mwanza[emoji110][emoji110]
15. Kutoa elimu bure free of charge kwanzia msing mpaka form 4[emoji122][emoji122]
16. Ujenzi wa mamia ya hospital za wilaya[emoji117]
17. Ujenzi wa maelfu ya zahanati[emoji117]
18. Ujenzi wa hospital kadhaa za mikoa na rufaa [emoji117]
19. Uboreshaji wa majengo ya MAHAKAMA ambayo yalikuwa kama vyoo!![emoji122][emoji122]
20. Uendelezaji wa BRT[emoji117]
21. Upanuzi wa Airport kadhaa kwanzia majengo yake mpaka runways[emoji117]
22. Ujenzi wa vyuo vya veta plus chuo kikubwa cha uongoz pwani[emoji122][emoji122]
23. Upanuzi iwa miradi ya umeme kinyerez mpaka 4 huko[emoji122]
24. Uboreshaji wa MSD kwa vifaa, magari etc [emoji122][emoji122]

Vitu hivi vilifanyika ndan ya miaka mitano tu!! na hv ni baadhi tu[emoji110]
Namba 19 rost tamu alisha maliza
 
"Ndugu zangu ,Siku moja mtanikumbuka na najua mtanikumbuka kwa mazuri sio kwa mabaya ......"

Waso dhambi

Wako wapi

Nchi ipi

Wamejaa unafiki


Mimi namkumbuka kwa mazuri yake mengi tu
 
Nafasi yangu inanisuta sana, kutokana na ugumu wa maisha, ukizingatia Kuna kipindi tulienda jkt, ikatolewa amri vijana wote warudi nyumbani 😭🙆 nilimaliza chuo mwaka 2015 Hadi Leo siku bahatika kupata ajira niliyosomea... Hali hiyo ya ugumu wa maisha ilinifanya nikamchukia Magufuli. Ila haki vile siku chache baada ya kifo chake nilianza kuhisi kuwa Magufuli alikuwa mtu sahihi japo anayo mapungufu yake ya kibinaadam
 
Wazee ,vijana , akina mama na vilembwe. Wanamkumbuka. Kwa kila nyanja.

Anakumbukwa kwa kudhibiti ufisadiz, mmomonyoko wa maadili, wizi wa mali za umma na hata kudhibiti mgao wa umeme uliotengenezwa na mafisadi papa wa CCM.

Alijitoa kwa ajili ya taifa lake. Angekuwepo yupo hai leo hii bwawa la JNHPP lingekuwa limekamilika na Mw 700 tu kama sehemu ya M2100 zingeweza kutatua tatizo la umeme nchin.

image_search_1696001309656.jpg
 
Wazee ,vijana , akina mama na vilembwe. Wanamkumbuka. Kwa kila nyanja.

Anakumbukwa kwa kudhibiti ufisadiz, mmomonyoko wa maadili, wizi wa mali za umma na hata kudhibiti mgao wa umeme uliotengenezwa na mafisadi papa wa CCM.

Alijitoa kwa ajili ya taifa lake. Angekuwepo yupo hai leo hii bwawa la JNHPP lingekuwa limekamilika na Mw 700 tu kama sehemu ya M2100 zingeweza kutatua tatizo la umeme nchin. View attachment 2766431
Awamu yake iliongoza wa ufusadi wa kiwango cha SGR
 
Wazee ,vijana , akina mama na vilembwe. Wanamkumbuka. Kwa kila nyanja.

Anakumbukwa kwa kudhibiti ufisadiz, mmomonyoko wa maadili, wizi wa mali za umma na hata kudhibiti mgao wa umeme uliotengenezwa na mafisadi papa wa CCM.

Alijitoa kwa ajili ya taifa lake. Angekuwepo yupo hai leo hii bwawa la JNHPP lingekuwa limekamilika na Mw 700 tu kama sehemu ya M2100 zingeweza kutatua tatizo la umeme nchin. View attachment 2766431
Alowafuaga majangili
 
Wazee ,vijana , akina mama na vilembwe. Wanamkumbuka. Kwa kila nyanja.

Anakumbukwa kwa kudhibiti ufisadiz, mmomonyoko wa maadili, wizi wa mali za umma na hata kudhibiti mgao wa umeme uliotengenezwa na mafisadi papa wa CCM.

Alijitoa kwa ajili ya taifa lake. Angekuwepo yupo hai leo hii bwawa la JNHPP lingekuwa limekamilika na Mw 700 tu kama sehemu ya M2100 zingeweza kutatua tatizo la umeme nchin. View attachment 2766431
Sure
 
Pambana na hali yako.
Watumishi wa Umma tungekuwa hatujapanda madaraja wala kupata nyongeza ya mshahara hadi leo pia ajira zingekuwa hazijatolewa hadi leo.
 
Wazee ,vijana , akina mama na vilembwe. Wanamkumbuka. Kwa kila nyanja.

Anakumbukwa kwa kudhibiti ufisadiz, mmomonyoko wa maadili, wizi wa mali za umma na hata kudhibiti mgao wa umeme uliotengenezwa na mafisadi papa wa CCM.

Alijitoa kwa ajili ya taifa lake. Angekuwepo yupo hai leo hii bwawa la JNHPP lingekuwa limekamilika na Mw 700 tu kama sehemu ya M2100 zingeweza kutatua tatizo la umeme nchin. View attachment 2766431
100%
 
Back
Top Bottom