Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mfumuko wa bei ni wa kutisha kiasi kwamba ukimuona mtu anajenga sasa ujue yuko kwenye mrija wa ufisadi au ni kampuni fulani.

Sukari hakuna

Maji hakuna

Umeme hakuna

Bwawa la mtera halina maji licha ya kwamba mvua zimenyesha za kutosha na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa.

Michango shuleni ni balaa na hakuna wa kukemea.

Maandamano ya chadema yamerudi kwa kasi na kilio kikubwa kwao ni kupanda kwa gharama za maisha! Sasa walishangilia ili iweje?
Itakuwa walishangilia kuondoka kwa dikteta
 


Alimwambia rafiki yake wa mashaka sogeza mic hapa
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

😂🤔Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kwa magu bhn nilianza kujenga japo vyuma vilikua vigumu lkn tangu kaingia president wetu michongo imegoma kumaliza
 
Ni hivyo tu, ifike mahala mtu akionesha uthubutu basi apewe maua.

Kwa hali iliyo kuwepo kabla yake na baada ya kutoka ni ushahidi kuwa watu wasio mkubali lazima kuna shida mahala.
Tatizo ni watu kutokuwa na akili kubwa na za kutosha. Magufuli?... kuna mtu mwenye akili zake anamkubali huyu mtu kweli?

Sasa hivi kama hujui ni kwamba haya matatizo tuliyonayo; uhaba wa dola, umeme, maji, sukari yalianzia kwa Magufuli kuvuruga mfumo wa uchumi uliokuwa unastawi vizuri sana kabla ya 2015.

Ni chenga ndogo kwa wajinga na imekubali kwelikweli, Samia hawezi kusema hayo kwani yeye alikuwa sehemu ya utawala mbovu wa Magu. Mambo ya kulipua na kulazimisha mambo na uongo mwingi ndio vinajihidhirisha sasa.
 
Ni hivyo tu, ifike mahala mtu akionesha uthubutu basi apewe maua.

Kwa hali iliyo kuwepo kabla yake na baada ya kutoka ni ushahidi kuwa watu wasio mkubali lazima kuna shida mahala.
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Tatizo ni watu kutokuwa na akili kubwa na za kutosha. Magufuli?... kuna mtu mwenye akili zake anamkubali huyu mtu kweli?

Sasa hivi kama hujui ni kwamba haya matatizo tuliyonayo; uhaba wa dola, umeme, maji, sukari yalianzia kwa Magufuli kuvuruga mfumo wa uchumi uliokuwa unastawi vizuri sana kabla ya 2015.

Ni chenga ndogo kwa wajinga na imekubali kwelikweli, Samia hawezi kusema hayo kwani yeye alikuwa sehemu ya utawala mbovu wa Magu. Mambo ya kulipua na kulazimisha mambo na uongo mwingi ndio vinajihidhirisha sasa.
Chuki binafsi 🐼
 
Tatizo ni watu kutokuwa na akili kubwa na za kutosha. Magufuli?... kuna mtu mwenye akili zake anamkubali huyu mtu kweli?

Sasa hivi kama hujui ni kwamba haya matatizo tuliyonayo; uhaba wa dola, umeme, maji, sukari yalianzia kwa Magufuli kuvuruga mfumo wa uchumi uliokuwa unastawi vizuri sana kabla ya 2015.

Ni chenga ndogo kwa wajinga na imekubali kwelikweli, Samia hawezi kusema hayo kwani yeye alikuwa sehemu ya utawala mbovu wa Magu. Mambo ya kulipua na kulazimisha mambo na uongo mwingi ndio vinajihidhirisha sasa.
Hivi ualimu na kumchukia JPM kuna uhusiano gani ?
 
Tatizo ni watu kutokuwa na akili kubwa na za kutosha. Magufuli?... kuna mtu mwenye akili zake anamkubali huyu mtu kweli?

Sasa hivi kama hujui ni kwamba haya matatizo tuliyonayo; uhaba wa dola, umeme, maji, sukari yalianzia kwa Magufuli kuvuruga mfumo wa uchumi uliokuwa unastawi vizuri sana kabla ya 2015.

Ni chenga ndogo kwa wajinga na imekubali kwelikweli, Samia hawezi kusema hayo kwani yeye alikuwa sehemu ya utawala mbovu wa Magu. Mambo ya kulipua na kulazimisha mambo na uongo mwingi ndio vinajihidhirisha sasa.
Vyeti feki, mafisad, mation town na wauza unga hawawezi kumkubali Magufuli
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Kama siyo Magufuli, tusingeuwa ecological system ya pale
 
Back
Top Bottom