Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kila Rais alifanya yake kwa mda wake, bila mkapa uwanja Mkapa usingekuepo, kuna aliejenga daraja LA Nyerere kigambon, mwingne shule za kata, mwingne barabara za Lami, hata ivi viwanja vya ccm kila mkoa, kuna Rais alijenga, (mnatutisha sana, Du! )
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Wewe umemaliza kila kitu.
Cha ajabu Kina Makamba waliopigia vita mradi huo kwa nguvu zao zote na kushadadia propaganda za uongo za kuharibu mazingira, ndiyo hao hao wakawekwa Wizira husika!

Uliona dana dana alizokuwa akizipiga kukamilisha mradi ili waTz waendelee kudhalilika na mgao?

Sijui nguvu gani iliyotumika kuendeleza kukamilisha mradi huu!

Hii ni kudra ya Mwenyezi Mungu tu, maana Rais alikuwa kazidiwa akili na hili genge.
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Uwongo ufuatao 1,2,5,7,9,10,12,11,13,14..Hayo hayapo,,so usidanganye
 
Magufuli alikuwa Rais mwerevu sana,sijui kama TZ tutabahatika tena.
Rais bora,mchapakazi,anasikiza shida za Wananchi.pumzika Shujaa.
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
R.I.P JPM
 
Magufuri angekuwpi hado sasa uchumi ungekuwa vizuri na machinga wangekuwa wameneemeka
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Siyo kweli. Tuna mabwawa mengi tu ka Kidatu, Mtera, Kihansi, Hale na Nyumba ya Mungu. Haya ualichimbwa kabla ya Magufuli na yanakauka kwa kukosa maji.

Msilifurahie sana hilo bwawa la JNHEP mpaka muupate umeme..matatizo ya Hydro electric power yaliyozikumba Mtera na kidatu na Hale lazima yataikumba na hiyonl JNHEP
 
Kwani una nini tokea jana lakini? Yani nacheka kila post!

Halafu akifanya press likitokea tukio lingine lika-take over press yake analalamika hajawekwa ‘fenti fodi’
Lol! Una kumbukumbu sana b...

Ova
 
Lol! Una kumbukumbu sana b...

Ova
Nafikiri kwa kiasi kikubwa mwenezi wa sasa ndio alichangia ile character yake. Baada ya kuwa mlevi wa ‘kick’ kila siku yuko kwenye headlines mzee nae akaiga.
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Bwawa la nini wakati tunabupepo wa kutosha na jua la kutosha!
Bwawa Halikuwa la lazima!
 
Mrahangaika weee kwa kila namna kujizuia kulitamka jina la Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, lakini kamwe hamtoweza......daima mtalikuta mbele! Mungu aendelee kukubariki Mama'angu.
 
Siyo kweli. Tuna mabwawa mengi tu ka Kidatu, Mtera, Kihansi, Hale na Nyumba ya Mungu. Haya ualichimbwa kabla ya Magufuli na yanakauka kwa kukosa maji.

Msilifurahie sana hilo bwawa la JNHEP mpaka muupate umeme..matatizo ya Hydro electric power yaliyozikumba Mtera na kidatu na Hale lazima yataikumba na hiyonl JNHEP
Hakuna matatizo ya maji kupungua ni wahuni wanafungulia maji ili mabwawa yashindwe kuzalisha umeme wauze majenereta uzuri ni kwamba magu alitufumbua macho Kwa uhuni wenu wa kulihujumu hili taifa
 
Back
Top Bottom