Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umemaliza kila kitu.Ukweri ni lazima usemwe
Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa
Nyerere alishindwa
Mwinyi alishindwa
Mkapa akashindwa
Kikwete akashindwa
Magufuri shujaa wetu akaweza
Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu
Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa
Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri
Hakuna kama magufuli
Uwongo ufuatao 1,2,5,7,9,10,12,11,13,14..Hayo hayapo,,so usidanganye1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Ajira hata sasa ni shidaSome beautiful infrastructures.
Ukosefu wa ajira uliotukuka.
R.I.P JPMUkweri ni lazima usemwe
Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa
Nyerere alishindwa
Mwinyi alishindwa
Mkapa akashindwa
Kikwete akashindwa
Magufuri shujaa wetu akaweza
Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu
Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa
Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri
Hakuna kama magufuli
Siyo kweli. Tuna mabwawa mengi tu ka Kidatu, Mtera, Kihansi, Hale na Nyumba ya Mungu. Haya ualichimbwa kabla ya Magufuli na yanakauka kwa kukosa maji.Ukweri ni lazima usemwe
Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa
Nyerere alishindwa
Mwinyi alishindwa
Mkapa akashindwa
Kikwete akashindwa
Magufuri shujaa wetu akaweza
Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu
Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa
Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri
Hakuna kama magufuli
Kwani una nini tokea jana lakini? Yani nacheka kila post!Kufanya press kila siku.
Ova
Lol! Una kumbukumbu sana b...Kwani una nini tokea jana lakini? Yani nacheka kila post!
Halafu akifanya press likitokea tukio lingine lika-take over press yake analalamika hajawekwa ‘fenti fodi’
Nafikiri kwa kiasi kikubwa mwenezi wa sasa ndio alichangia ile character yake. Baada ya kuwa mlevi wa ‘kick’ kila siku yuko kwenye headlines mzee nae akaiga.Lol! Una kumbukumbu sana b...
Ova
Bwawa la nini wakati tunabupepo wa kutosha na jua la kutosha!Ukweri ni lazima usemwe
Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa
Nyerere alishindwa
Mwinyi alishindwa
Mkapa akashindwa
Kikwete akashindwa
Magufuri shujaa wetu akaweza
Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu
Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa
Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri
Hakuna kama magufuli
Hakuna matatizo ya maji kupungua ni wahuni wanafungulia maji ili mabwawa yashindwe kuzalisha umeme wauze majenereta uzuri ni kwamba magu alitufumbua macho Kwa uhuni wenu wa kulihujumu hili taifaSiyo kweli. Tuna mabwawa mengi tu ka Kidatu, Mtera, Kihansi, Hale na Nyumba ya Mungu. Haya ualichimbwa kabla ya Magufuli na yanakauka kwa kukosa maji.
Msilifurahie sana hilo bwawa la JNHEP mpaka muupate umeme..matatizo ya Hydro electric power yaliyozikumba Mtera na kidatu na Hale lazima yataikumba na hiyonl JNHEP