Je, utumiaji wa kiyoyozi(AC) unaongeza matumizi ya mafuta kwenye gari?

Je, utumiaji wa kiyoyozi(AC) unaongeza matumizi ya mafuta kwenye gari?

Upo mwingine wa kero za madereva jijini sijaona mchango wako na amekuita.

Natumia tab hapa mobile version sipati nitification ngoja niende kaka!!!!

Naona mnashambulia hii kitu sawia!!!!
Congrats
 
Hapana, haijachoka kihivyo; ndio ina mwaka wa pili barabarani; bado iko njema sana.

room kubwa sana ndio maana nguvu nyingi inatumika kupooza.....imagine 2000cc yako inapooza room mara mbili ya gx 110 lazima gari yako kwenye mlima gari itafeel strain...
 
Hizi mada zina wenyewe bwana...mimi naperuzi tu wala sihitaji kudadisi maana hata gutta sina
 
OLESAIDIMU, MANI, RRONDO: Thanks very much, uzi haukunilenga lakini nimepata mwanga wa tatizo langu; nitafuatilia na nadhani kitasomeka.
 
Kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wakiamini ukitumia AC unatumia mafuta mengi kuliko ukiendesha bila AC[vioo wazi].

Kiufundi ili AC ifanye kazi inahitaji nguvu ya ziada kutoka kwenye engine ili compressor izunguke,sitaingia kiundani kwasababu mimi sio mtaalam wa AC. Na kwa kuzingatia hili watu wengi wanaamini ukitumia AC unatumia mafuta mengi kuliko ukiendesha bila AC.

Hili si kweli. Ukitumia AC gari inatumia nguvu zaidi LAKINI ukiacha vioo wazi gari inatumia nguvu zaidi ya ukifunga vioo na kuwasha AC. Vioo vikiwa wazi gari inatengeneza kitu kinaitwa 'DRAG' yaani upepo unajaa ndani ya gari na kuifanya iwe nzito kwahio inatumia nguvu nyingi kutembea kuliko ukifunga vioo na kutumia AC.

Kwenye speed ya 80kph ukifungua vioo unatumia mafuta 20% zaidi ya ukifunga vioo na kuwasha AC. Kwa maelezo haya nahitimisha kuwa UKITUMIA AC GARI INATUMIA MAFUTA KIDOGO KULIKO USIPITUMIA AC NA KUACHA VIOO WAZI.

Hiki nilichoandika hapa ni scientifically proved ya SOCIETY OF AUTOMOBILE ENGINEERS[SAE],sikuweka link ili nichangamshe mada,jisomeeni hapo chini. page 1,2 even 3 mkiweza

http://auto.howstuffworks.com/fuel-efficiency/hybrid-technology/driving-with-windows-down1.htm

CC: OLESAIDIMU MANI Kaizer Kalamzuvendi Titans

Hii uliyousema ni sahihi ukiwa safarini. Lakini AC inaongeza ulaji wa mafuta gari ikiwa sailensa( kiswahili). Fanya majaribio gari hizi mbili: Noah na RAV4( chukua Old model na Medium Model/ Kill time) . Jumamosi saa6 mchana wiki ya kwanza washa RAV4 model yoyote ukiwasha AC ukitokea mfano Magomeni na Mafuta ya elfu20, lengo uende Kigamboni. Ukifika ferry kule foleni utakuta inaanzia fence ya Ikulu. Hadi unavuka na gari kwenye Pantoni angalia mafuta yako. Rudia zoez hilo bila kuwasha AC kwa RAV4 na pia Rudia kwa NOAH utaratibu uleule halafu uje utupe majibu. Kwa magari madogo yenye cc less than 1998(say 2000) unaweza usione ulaji wa mafuta. Ila kwa NOAH, RAV4 AC kwenye foleni usipime, ila ukiwa safarini ni poa tu, adui nkubwa ni foleni yaani gari kuunguruma, mafuta yanaenda sana tena sana!
 
Hii uliyousema ni sahihi ukiwa safarini. Lakini AC inaongeza ulaji wa mafuta gari ikiwa sailensa( kiswahili). Fanya majaribio gari hizi mbili: Noah na RAV4( chukua Old model na Medium Model/ Kill time) . Jumamosi saa6 mchana wiki ya kwanza washa RAV4 model yoyote ukiwasha AC ukitokea mfano Magomeni na Mafuta ya elfu20, lengo uende Kigamboni. Ukifika ferry kule foleni utakuta inaanzia fence ya Ikulu. Hadi unavuka na gari kwenye Pantoni angalia mafuta yako. Rudia zoez hilo bila kuwasha AC kwa RAV4 na pia Rudia kwa NOAH utaratibu uleule halafu uje utupe majibu. Kwa magari madogo yenye cc less than 1998(say 2000) unaweza usione ulaji wa mafuta. Ila kwa NOAH, RAV4 AC kwenye foleni usipime, ila ukiwa safarini ni poa tu, adui nkubwa ni foleni yaani gari kuunguruma, mafuta yanaenda sana tena sana!

Nkubwa haha ha! Mkubwa! Keypad heruf N na M ziko jirani! SOORRRY!
 
Hizi mada zina wenyewe bwana...mimi naperuzi tu wala sihitaji kudadisi maana hata gutta sina

Kaka vitu vingi tu huna na unavijua na unavitumia!!!!!

Unahitaji mifano???!!!!
Una mke au mpenzi???!!!
 
OLESAIDIMU, MANI, RRONDO: Thanks very much, uzi haukunilenga lakini nimepata mwanga wa tatizo langu; nitafuatilia na nadhani kitasomeka.

Pamoja sana kaka nawe ukituletea unayojua itakuwa safi sana haswa utayogundua kwa mafundi!!!!
 
Hii uliyousema ni sahihi ukiwa safarini. Lakini AC inaongeza ulaji wa mafuta gari ikiwa sailensa( kiswahili). Fanya majaribio gari hizi mbili: Noah na RAV4( chukua Old model na Medium Model/ Kill time) . Jumamosi saa6 mchana wiki ya kwanza washa RAV4 model yoyote ukiwasha AC ukitokea mfano Magomeni na Mafuta ya elfu20, lengo uende Kigamboni. Ukifika ferry kule foleni utakuta inaanzia fence ya Ikulu. Hadi unavuka na gari kwenye Pantoni angalia mafuta yako. Rudia zoez hilo bila kuwasha AC kwa RAV4 na pia Rudia kwa NOAH utaratibu uleule halafu uje utupe majibu. Kwa magari madogo yenye cc less than 1998(say 2000) unaweza usione ulaji wa mafuta. Ila kwa NOAH, RAV4 AC kwenye foleni usipime, ila ukiwa safarini ni poa tu, adui nkubwa ni foleni yaani gari kuunguruma, mafuta yanaenda sana tena sana!

uliyosema ni sahihi kabisa, lakini hata usipowasha AC kwenye foleni mafuta yanaenda bila wewe kusogea. hapa tunawalenga wale WANAOENDESHA VIOO WAZI WAKIAMINI WANA-SAVE MAFUTA....hatuzungumzii gari imekaa masaa mawili kwenye foleni.

gari ikiwa idle bila AC rpm itakuwa 500-600 hivi....ukiwasha AC inapanda hadi 800-1000 hivi...hapo inaonyesha gari inatumia extra energy lakini ukiwa unamove hata usipowasha AC rpm itakuwa lets say 3000 na ukiwasha AC inakuwa hapo hapo 3000....sasa ukizima na ufungue vioo kisa AC inakula mafuta utakuwa unajidanganya.
 
Mimi hua sishushi vioo hata kidogo....inakera pale unapompa mtu lift halafu ile kupanda tu anaanza na kupunguza au kuongeza sauti ya redio,akimaliza hapo anabonyeza button ya vioo sasa kwa vile ume-lock button utasikia "bro shusha vioo basi tupate fresh air".


Sent from my iPhone using JamiiForums

Tatizo wewe gari umeweka vioo vya giza wakati mwenzio anataka aonekane yumo ndani ya mkoko!!
 
Mi nimeona nikiwashs AC wakati wa kupanda milima gari hupungua nguvu, nikizima inakuwa na nguvu kawaida. Sijui hii ni kwa gari yangu tu au wengine nanyi mmeliona hilo? Naomba uzoefu wenu tafadhali.

Kuna uwezekano compressor ina shida. Peleka kwa fundi wakuchekie. Nina uzoefu na hilo
 
Kwa kweli mimi manufaa au faida za kuendesha gari na ac ni kubwa kuliko hayo madai ya consumption! Unakuwa ndani ya gari majasho kila mahali hapa Dar kisa extra consumption ambayo ni almost negligible!

Unakuta gari mavumbi kila mahali. Ukipita kidogo kwenye njia ya vumbi ukapishana na gari nyingine unafanyaje?

Mwingine ni ubahili tu
 
Mkuu asante kwa taarifa yako japo na mimi nilishaisoma miaka 4 iliopita kwenye link hiyo hiyo uliotupa. Humu kuna watu wabishi wanaamini walichozoea na stori za mitaani kua AC inakula sana mafuta.
Japo wameshauri kwenye hiyo makala kua kama unaendesha kwenye jam kubwa gari inapokwenda kwa mwendo mdogo sana ni bora ukashusha vioo na kuzima AC kama unataka kusevu mafuta .

Asante sana kwa taarifa hii kwani page inayofuata kwenye ile link inaonyesha kwa uwazi kabisa kwamba spidi ndogo ni windows down.
 
♥Katika vitu ambavyo sitokuja kufanya ni kuendesha gari huku nimeshusha vioo sio kwamba napenda a/c la hasha naogopa vumbi kuingia ndani ya gari maana impact yake ni kubwa kuliko kuwasha a/c

♥kuna wadau wanasema ukiwa kwenye speed kama 100 weka Neutral(free) iende yenyewe ili kusave mafuta sijui kuna ukweli hapo?
 
Back
Top Bottom