Kuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa πππππhalafu uchangiaji wake eti wa kisomiHahaha eti za bahati...chaaa!!!!
Na wasomi ndio wanaoongoza kwa shirkiππKuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa πππππhalafu uchangiaji wake eti wa kisomi
Washirikina tuu hawana lolote...
Kuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa πππππhalafu uchangiaji wake eti wa kisomi
nyie naona mnasema Ni uhuni embu tupeni maana ya uhuni..alaf tuunganishe na kofia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona waongoza ibada HUVAA akiwemo PapaNaonaga wanasema sio heshima kuingia kanisani ukiwa umevaa kofia.
Hapana ana misaa miwili kwenye mkono mmoja na mipite miwili mikubwaHahaha anavuta msuba ehππ
si yule wa jana kuleeeHapana ana misaa miwili kwenye mkono mmoja na mipite miwili mikubwa
No Avantary πππsi yule wa jana kuleee
No Avantary πππ
Haipo now kabadilisha.πππnw i gatch ya'πππ
Ntafurahi sana mamaaSawa nitafanya hivyo
Inaboresha muonekano ukikuta mtu anaejua kuzi blend pamoja!Kiukweli kwangu mwanaume saa inatosha, akiongeza vikorimbwezo vingine ameharibu
Kofia sio kitu mbaya ila inategemea na aina gani unavaa na time gani! Mfano mie napenda manzi yangu avae kofia af atolee kinywele nyuma kule kama mcheza tennis! Inanibamba sana!
Kiukweli kwangu mwanaume saa inatosha, akiongeza vikorimbwezo vingine ameharibu