LGE2024 Je, Vyama Vya Upinzani vinataka Kuungana pamoja Kuunda Umoja Unaitwa UDF (United Democratic Fronts)?

LGE2024 Je, Vyama Vya Upinzani vinataka Kuungana pamoja Kuunda Umoja Unaitwa UDF (United Democratic Fronts)?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Mliweswee! Mianyeyeee!
Nawasalimu!

Kama Mtakumbuka Miaka Kadhaa Nyuma Vyama Vya Upinzani Viliwahi Kujiunga Kipindi cha Bunge La katiba na Kutumia Muungano Huo kwenye Uchaguzi wa Mwaka 2015, Kwa Umoja uliokuwa Unaitwa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi)..

Na Kusimamisha Mgombea wa Urais Mmoja, Aina hii Ya Umoja ilizaa Matunda kwani Wapinzani walipata Wawakilizi wengi Bungeni..

Katika Kipindi Hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Tumeshuhudia Baada ya Wagombea wa Chadema au Wa ACT, Mahali walipokuwa ACT hawakusimamisha Mgombea (kutokana na Sababu za Kutokuteuliwa Mgombea huyo) tumeona Walitumia Nguvu zote Kuwanadi wagombea wa CHADEMA na walikuwa wakifanya kampeni kwa Nguvu zote Kuwanadi wagombea wa Chama Cha mwenzake na CHADEMA na yeye Mahali ambapo hakusimamishwa Mgombea walitumia Nguvu hivyo hivyo Ikinadi wagombea wa ACT..

Nguvu Iliyozaa Matunda tumeshuhudia Temeke ACT wakichukua Ushindi Kata nzima na Baadhi maeneo Chadema Ikishinda sana..

Baada ya Mbinu hiyo kufanyika na Vikao vya Tathmini Kufanyika..

Nawadokeza Kwamba Kuna uwezekano mkubwa Vyama Hivi ACT,CHADEMA ,CUF na NCCR vikaungana na Kuunda Muungano wa Umoja wa Kidemokrasia yaani UDF (United Democratic Fronts)

Dalili zimeanza Kuonekana baada ya Aliyekuwa Kiongozi wa ACT zitto kabwe Zitto kupost na Kushea mara Kwa mara Maamuzi yaliyofanyika Zanzibar mwaka 2018 na 2019 yakijumuisha Misingi ya Kidemokrasia Kuhusu Vyama vya Upinzani..

Screenshot_20241130_193933_X.jpg

Screenshot_20241130_213805_X.jpg


Hata Hivyo Tujikumbushe Zanzibar Declaration Ambazo zote zipo Humu Humu Jf..

Soma Hapa....

 
Yaan uungane na Kabwe ambaye chama chake kiko sponsored na Kipara?
Uungane na Dovutwa fahami Dovutwa anayepewa Pesa kwenye Bahasha ili atokee kwenye mkutano wa Ikulu?
Au uungane na Chief Lotalosa Yembe?

Bado mnacheza nini Ukombozi hauteletwa na vyama vya siasa, bali utaletewa na jamii iliyochoka mauzauza!

Hawa wanasiasa ni wafanyabiashara tu


Britanicca
 
Yaan uungane na Kabwe ambaye chama chake kiko sponsored na Kipara?
Uungane na Dovutwa fahami Dovutwa anayepewa Pesa kwenye Bahasha ili atokee kwenye mkutano wa Ikulu?
Au uungane na Chief Lotalosa Yembe?

Bado mnacheza nini Ukombozi hauteletwa na vyama vya siasa, bali utaletewa na jamii iliyochoka mauzauza!

Hawa wanasiasa ni wafanyabiashara tu


Britanicca
Jamii italetaje Ukombozi wakati Bado hatujapitisha Katiba ya Mgombea Binafsi Kuchaguliwa Ingekuwa ni ruhusa mgombea binafai basi ingekuwa Poa sana maana Wengi wangegombea
 
As long as Zitto anahusika, hakuna lolote la maana.

ZZK ni 'state mole' ambae yupo sponsored na CCM.
Zitto ni pandikizi, kivuruge, msaliti.
 
As long as Zitto anahusika, hakuna lolote la maana.

ZZK ni 'state mole' ambae yupo sponsored na CCM.
Zitto ni pandikizi, kivuruge, msaliti.
Mbona FAM naye Anasemwa kuwa ni Mole tena wa Ndani kabisa..na ndo anaeitumbukiza CHADEMA..
 
Haiwezekani vyama vibariki uchaguzi wa kihuni waseme ulikuwa huru na wa haki wakati hata ccm wenyewe wanajua waliiba uchaguzi. Kama vyama haviwezi kupingana na chama tawala kuwaita ni wapinzani ni upumbavu maana hakuna wanachopinga bali kuunga mkono kila uovu wa ccm.
 
Hakuna kitu kinachoitwa vyama vya upinzani. Chama cha upinzani ni Chadema tu. Haiwezekani vyama vibariki uchaguzi wa kihuni waseme ulikuwa huru na wa haki wakati hata ccm wenyewe wanajua waliiba uchaguzi. Kama vyama haviwezi kupingana na chama tawala kusema ni wapinzani ni upumbavu maana hakuna wanachopinga bali kushirikiana na ccm kuwahujumu wapinzani ambao ni Chadema.
Kwahyo Unamaanisha Hata ACT na CUF sio vyama vya Upinzani?..
Mimi nina Kadi ya CHAUMA vipi niitupe 🤣
 
Mbona FAM naye Anasemwa kuwa ni Mole tena wa Ndani kabisa..na ndo anaeitumbukiza CHADEMA..
FAM is an opportunist. Ana uzalendo ndani yake lakini fursa ikijileta anapita nayo.

He is not a mole per se, he is more of a businessman. Anafanya vitu vya kizalendo ili apate fursa ya kubargain matakwa yake.
Na ndio maana anashauriwa sana a step down aendelee na biashara maana one can never serve 2 masters at a go.
 
FAM is an opportunist. Ana uzalendo ndani yake lakini fursa ikijileta anapita nayo.

He is not a mole per se, he is more of a businessman. Anafanya vitu vya kizalendo ili apate fursa ya kubargain matakwa yake.
Na ndio maana anashauriwa sana a step down aendelee na biashara maana one can never serve 2 masters at a go.
Ni ukweli kabisa Shida inapokuja ana misimamo isiyokuwa na maana hata pale ambapo Unaona kabisa anakosea.. kwa sasa wanagombea nani achukue Fomu ya Urais kati yake na TL
 
UKAWA ilikuwa awamu ya mwisho ya rais kikwete sote tunajua jakaya alikuwa mtu poa wa demokrasia. wapinzani walifanya siasa huru na CCM tena walipingana kwa hoja..lakini waliofuata baada ya kikwete sote tunajua wanawaona wapinzani kama wahaini na hawataki siasa za hoja wala ushindani na sheria nyingi na kanuni za uchaguzi zlilizokuwepo wakati wa jakaya nyingi wamezibadilisha...sahivi wana utaratibu wao mpya kuengua,kuteka,kufunga ofisi siku ya wagombea wa upinzani kurudisha fomu na wameweka kinga ya sheria kabisa kwamba wakifanya yote hayo hakuna kuhojiwa wala kushtakiwa popote na huo uchaguzi wa 2025 mbona itakuwa kufuru zaidi ya tuliyoyaona sasa..alafu eti hawa ndio utegemee watakubali mgombea mmoja wa upinzani mwenye nguvu na ushawishi tena awe kariba ya Lissu.!!
 
Wanapinga nini?
Kuna tofauti kati Upinzani na Ukinzani Hivyo ni vyama vya Upinzani opposition Parties Maana ni vyama Vilivyokuwa Kinyume Na Sera za Chama Kilichopo madarakani..

Haina maana Kwamba Vinafanya Ukinzani Wa Sera (Kupinga)..
Kwahyo Vinaitwa Vyama vya Upinzani Opposition na Sio Vyama Vya Ukinzani (Antagonistic) au Resistance
 
Back
Top Bottom