Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Kama mgombea anayepewa dhamana na chama cha siasa anakengeuka... Huyo mgombea binafsi anaweza kutuuza chap kwa haraka!Jamii italetaje Ukombozi wakati Bado hatujapitisha Katiba ya Mgombea Binafsi Kuchaguliwa Ingekuwa ni ruhusa mgombea binafai basi ingekuwa Poa sana maana Wengi wangegombea