Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

Toa ushahidi wa hizo chuki za wazi wazi miongoni mwa waislam, uislam hauna madhehebu mengi kama unavyosema....zaidi kuna madhehebu yasiozidi manne kulingana na imamu wanayemfuata....inaonekana wewe ndi mwenye chuki na Uislam!
Uislamu una madhehebu 73

Mshia na msunni wanauana kama kuku
 
  • Thanks
Reactions: K11
Unajuaje watakuwa wa ukanda huo? How sure are you? Hapo juu nimekuuliza kwa nini kila jamii Ina sense of an all powerful and eternal deity, hukunijibu. Nikuulize pia, kwa nini kila jamii inaona kuua ni vibaya, kuchukua mke/mume wa mwenzio ni vibaya, kutowaheshimu wazazi ni vibaya, kuiba ni vibaya, kuseng'enya ni vibaya...kwa nini kila jamii inaomboleza msiba na kuzika wafu, kuoa na kuolewa (kuzaana) na kuleta watoto, kwa nini kila jamii inawalinda hasa wanawake, watoto, wazee na watu wenye ulemavu, kwa nini katika kila jamii watu wanakuwa curious kujua jambo geni, etc? Unadhani hayo yote yalianzishwa na jamii gani na jamii gani ziliiga kwa wengine? Haya, hata ukiiangalia wanyama - nao wanazaliana, wanatoa ulinzi kwa watoto wao, wanaomboleza mwenzao akifa, etc. Wameiga kwa wanyama gani? Kuna baadhi ya mimea ukiigusa inasinyaa: Dar es Salaam, Mwanza, Morogoro? Imeiga wapi?

View: https://www.instagram.com/reel/DE0FCQdOt_R/?igsh=emw5dDNhMGs2Z3lq
 
Back
Top Bottom