Mayaka halijui Hilo Kama Chadema walivunja Gereza la Isanga Dodoma wakamtoa Hanje kwa nguvu na kesho yake wakawaapishia Garage!.nusurati hanje ni mfano hai.je ni CDM ndo ilimtoa gerezani na kumpa ubingwa viti maalumu??jibu hapa kwa maslahi ya umma tujue
P, anahoji anahoji nini.Nyuzi ziko humu jf ambazo aliandika kuwa yeye ni lawyer. Wabunge 19 wapo kihalali BungeniPascal Kuna wakati ungekaa kimya! Unajiaibisha kwa sisi tuliobaki kukuamini.
Atakuwa ameshalipwa!! Udc ulibumaNjaa Mboya sana …
Nilipumba.vuYaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Halafu lilikuwa linataka liwe libunge langu eti!!!!! Olushindo lutamalaga mashi13. Kuna hoja kuwa baadhi ya wanachama na viongozi wa Chadema wako kama nyumbu, hufuata kila kinachofanywa na viongozi wao. Kikao cha CCM kilichokaa na kuwafuta uanachama wanachama wake 19, kilikaa kama a Kangaroo court na kutoa maamuzi ya maonevu kwa kuwaonea.
Seriously, Pascal? Have you no shame? Kwanza uka insinuate kuwa Chadema ilihusika katika jaribio la kumuua Lissu.Halafu leo unasema lile jaribio inawezekana lilikuwa Karma au kwa maneno mengine yalikuwa ni malipo kwa uovu aliokuwa akifanya. Seriously?
Na tafadhali tutajie hao wanachama 19 waliofutwa uanachama na kangaroo court ya CCM.
Amandla...
Karma inawaonea mno CDM, ila Ccm haiwapatagi kabisa.Matokeo ya maonevu hayo, baadhi ya wale walioonewa, karma iliwafidia, leo wako vizuri zaidi kuko walivyokuwa wanapauka tuu Chadema. Angalia wote waliotimuliwa Chadema walipo sasa, na angalia viongozi wa makamanda wa Chadema kilichowakuta!. Usikute zile jela nyingi nyingi, ni karma, and you never know, hata zile pyu pyu ni karma!.
Kuwa makini mkuu usitumue personal Attack za kumdhalilisha Mtu.Hata msukuma mwenzako alikuona hamna yani wewe ndio wale wazee wanaozeeka vibaya ndio maana hata ajali yako iliyokulemaza mkono ni kwasababu ya ulevi.
Hawa sio wa kuongea huruma wanasumu mbaya sana Kwenye kalamu zao. Hivi nikikuambia mpaka leo pasko mayala anaamini lissu alijipiga risasi mwenyewe utaamini? Hawa ndio waliomshambulia mbowe kwamba alipigwa akiwa kalewa. Kifupi pasko ni nuisance.Kuwa makini mkuu usitumue personal Attack za kumdhalilisha Mtu.
achana naye huyu jamaa hajielewagi kabisa. Alipamba sana serikali ya jiwe lakini wapiii, aliishia kamati ya maadili dodoma.Yaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Njaa Mboya sana …
[/QUO
Jibu hoja mkuu
Achana na persol attack mkuu jibu hoja zakeYaani huwa najiuliza kuwa huyu Pascal alisoma kweli Ilboru sekondari au alikuwa msoma magazeti? Hata Mimi niliyesoma shule ya kayumba najua mbivu na mbichi Sasa huyu mchumia tumbo anakuwaje jinga kiasi hiki.
Pascal ni janga la kitaifa yaani tukiwa na wachumia tumbo Kama hawa hta wakiwa wawili ni hatari kwa usalama wetu.
Pascal anatafuta uteuzi kwa damu za watu na ni mzandiki shetani kuliko hata Ibilisi.
Nashukuru mkuu angalau umegusa hoja za mada iliyopo mezani.CHADEMA kinapaswa kujenga taswira chanya kwa jamii. Pamoja na mambo mengine political branding ya chama cha siasa inajengwa na udihibiti wake katika misimamo na maamuzi yake. Hakuna jinai yoyote Kutowafukuza wabunge 19 kama walingia kinyume cha utaratibu ni uvunjivu wa katiba ya chama.
Kwa kuwa umeshasema CHADEMA ni public party paid by taxpayers ungehoji vilevile ilikuwa halali wabunge wale 19 kutumia pesa za umma? Je ilikuwa halali kufoji nyaraka za chama? Na ilikuwa sahihi kwa bunge chini ya Ndugai kuwalipa fedha za umma? Bila hivyo unaweza kuitwa mchambuzi kanjanja tu kutafuta maslahi yako binafsi.