Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

Hatimaye Chadema wamejitambua, keshokutwa Jumatano Siku ya Wanawake Duniani , Chadema itatangaza kuwasamehe mashujaa hawa hivyo sasa karma haitawashukia tena Chadema!, sasa ni baraka kwa kwenda mbele.
Update
Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Tatizo ni serikali kulikalia shauri mahakamani kwa kuhofia mahakama ikiwaondoa basi kamati ya Bunge ya Fedha itakuwa imevunja mkataba na wafadhili Chadema haikuwahi kufikiria kuiondoa kesi mahakamani, pia kongamano la wanawake liko wazi kwa wanawake wote wa Tanzania bila kujali vyama, kama ni mfuatiliaji utakuwa unalijua hilo.
 
Wanabodi.

Utambulisho.

Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo, kuna baadhi yetu, kazi yetu ni kuuliza tuu, hivyo hiki ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili, nauliza tu: Je, Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau? Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule? Likibariki, Karma Itawatafuna!
  1. Vyama vyote vya siasa nchini, vinavyolipwa na ruzuku ya serikali, ni public parties, sio private parties za viongozi na wanachama. Kwa Public Party, paid by taxpayers money, the public has the right to know its conduct, public as private, including its leaders wana surrender, some of their right to privacy. Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
  2. Hivyo mtu yoyote asiye Chadema, ana haki ya kuzungumzia jambo lolote kuihusu Chadema, na ndio naitumia haki hii kuishauri Chadema, ushauri wa bure CHADEMA msipuuzie ushauri hata kama ni kutoka kwa shetani!, S'times the devils does good deeds!.
  3. Chadema kama chama cha siasa kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria, na kinapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Hivyo Chadema pia kina katiba yake, na katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu. Kwanini Chadema haifuati katiba yao?. Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
  4. Pamoja na Chadema kuwa na katiba yake, yenye taratibu za nidhani, katika fukuza fukuza zote za wanachama wa Chadema, CC ya Chadema, huwa inakaa kama a Kangaroo Court, bila kufuata katiba yake na mamlaka yake ya nidhamu, matokeo yake hutoa baadhi ya maamuzi kwa uonevu mkubwa.
  5. Haya ni baadhi ya maamuzi ya uonevu wa Chadema dhidhi ya wanachama wake Walianza na madiwani wa Arusha Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!" karma yake Chadema ikaparaganyika Arusha, uchaguzi uliofuta ikapigwa chini ubunge wa Arusha Mjini.
  6. Wakaja kwa kina Shonza Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015! Wote waliopigwa chini, karma ikawafidia, wakaula CCM wengine ni wabunge, mawaziri etc.
  7. Wakaja kwa Zitto Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" angalia jinsi karma ilivyowatandika watesi wa Zitto!, angalia sasa Zitto alivyofidiwa na karma!.
  8. Kitila Mkumbo ndio alikuwa think tank wao, wakamtimua!. kosa lake ni kuwaeleza ukweli kwenye ule waraka wa mabadiliko, Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo, angalia jinsi karma ilivyomfidia Kitila, angalia Chadema ilivyonyauka!
  9. Funga Kazi ni kuwatimua mashujaa 19, walioipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  10. Baraza Kuu likibariki Ukangaroo wa CC ya Chadema... Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu karma yake itakuwa ni hatari tupu!.
  11. Matokeo ya maonevu hayo, baadhi ya wale walioonewa, karma iliwafidia, leo wako vizuri zaidi kuko walivyokuwa wanapauka tuu Chadema. Angalia wote waliotimuliwa Chadema walipo sasa, na angalia viongozi wa makamanda wa Chadema kilichowakuta!. Usikute hata baadhi ya madhila yanayowakuta viongozi wa Chadema ni karma ya matendo Yao.
  12. Lakini Chadema nacho kama chama, kimekuwa kikiadhibiwa kwa bakora za karma, kwanza kwa kukitandika chama kama chama, na kuwatandika viongozi wake, individually kutoka na their roles kwenye dhulma na maonevu hayo, hivyo Chadema kikaanza kunyauka kwa kukimbiwa Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
  13. Kuna hoja kuwa baadhi ya wanachama na viongozi wa Chadema wako kama nyumbu, hufuata kila kinachofanywa na viongozi wao. Kikao cha CC kilichokaa na kuwafuta uanachama wanachama wake 19, kilikaa kama a Kangaroo court na kutoa maamuzi ya maonevu kwa kuwaonea.
  14. Sasa kwa vile naamini, wajumbe wa Baraza Kuu, hawawezi na wao wote kuwa ni manyumbu, kubariki maamuzi ya ile Kangoroo Court ya Chadema. Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
  15. Hivyo hili ni bandiko la swali "Je Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau?. Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule?. Likibariki, Karma Itawatafuna!"
Nawatakia wana Chadema, kikao chema cha Baraza Kuu.

Paskali
Leo hukumu imetoka
Nimeisoma hukumu, 1. Mahakama zetu zinarudia makosa yale yale ya ukosefu wa kutenda haki kwa sababu ya legal technicalities, kuwa Mahakama haiwezi kutoa uamuzi wa kitu ambacho hakikuombwa!.
2. Wabunge hawa 19 wa Chadema, walivuliwa uanachama wao kinyume cha katiba ya JMT na kinyume cha haki kwa kutokusikilizwa, kinyume cha katiba ya Chadema kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni!.
3. Kikao cha CCM ya Chadema, kilichowatimua kilikaa kama a kangaroo court na kutoa maamuzi ya kikangaroo!.
4. Katiba ya Chadema inasema mwanachama kabla hajafutwa uanachama, kwanza atatumiwa hati ya mashitaka kwa maandishi by despatch, kisha atapewa siku 14 za kujibu mashitaka. Chadema hawakuandaa hati zozote za mashitaka!. Hili Mahakama ilipaswa ilione!.
5. Baada ya watuhumiwa kupewa hati ya mashitaka, ndipo kikao cha CC kinaitishwa kama mamlaka ya nidhamu, kusoma majibu ya mashitaka, na ndipo kinawaita washikiwa na kuwasikiliza. Hili halikufanyika!.
6. Baada ya wabunge 19 wa Chadema kuapishwa, hapa Chadema waliposwa kufanya kitu kinachoitwa a due process ya nidhamu na sio zile Zimamoto za kikangaroo!. There was no emergency of whatsoever!. Mahakama ilipaswa ilione hili!.
7. Uthibitisho wa hakukuwa na any emergency ya kuitisha CC, ni the time taken, kuitisha kikao cha Baraza Kuu!.
8. Baada ya kuitishwa kikao cha Baraza Kuu, kitu cha kwanza kwa Baraza Kuu Chadema kuangalia ni uhalali wa kikao cha CC, pili jee katiba, sheria, taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu ya Chadema zilifuatwa?.
8. CC ya Chadema ni mamlaka halali ya nidhamu ya wabunge wa Chadema, lakini CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Bawacha!, Mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?!. Kikao cha Baraza Kuu kilipaswa hili kukuona!.
9. Japo kikao cha Baraza Kuu Chadema kiliitishwa kihalali kama mamlaka ya rufaa ya wabunge wa Chadema, lakini kitendo cha kikao hicho kubariki uamuzi wa CC kuwatimua bila kufanya mapitio yoyote, ni uthibitisho wa Chadema bado ni chama kichanga, mfano kingechukua nchi ile 2015!, it would have been disastrous!.
10. Kitendo cha Baraza Kuu kubariki maamuzi ya kikangaroo ya CC ya Chadema, kilifanya niyaite maamuzi yale pia ni ya kikangaroo, na kitendo cha Mahakama Kuu kuyabari maamuzi ya kikangaroo, Mahakama Kuu yetu nayo has joined the team!.
A Way Forward
1. Kwa vile Chadema imefanikiwa kuwatimua hao 19 sasa Chadema isikate tena rufaa, kupinga uamuzi huu, bali iitishe kikao cha Baraza Kuu , ASAP, kifanye a due process, hili la wabunge 19 liishe, wabunge hao 19 wavuliwe ubunge wao, Chadema wapeleke majina 19 mengine, wateuliwe waapishwe, tuwe na Bunge la vyama vingi!.

2. Chadema wakifanya tuu dillydalling kukaa rufaa, inakula kwao!. By the time rufaa inasikilizwa, ndipo kifuate kikao cha Baraza Kuu, I'm afraid the time left before the next election is too little too late, ikibaki muda wa chini ya miezi 12 kabla ya muda wa uhai wa Bunge kuisha, hakuna uchaguzi wowote wala uteuzi wowote wa wabunge wapya!.
3. Tena nashauri kikao hicho cha Baraza Kuu, pia sasa ndio kimtimue Halima Mdee, kikifuatiwa Mkutano Mkuu kuthibitisha. Hapa najua changamoto ni fedha!, kule kwenye kile chungu, zilikopatikana zile fedha za kugharimia Baraza Kuu lile, kile chungu bado kipo, kitagharimia vikao vyote viwili, na Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!.
Paskali.
 
Leo hukumu imetoka
Nimeisoma hukumu, 1. Mahakama zetu zinarudia makosa yale yale ya ukosefu wa kutenda haki kwa sababu ya legal technicalities, kuwa Mahakama haiwezi kutoa uamuzi wa kitu ambacho hakikuombwa!.
2. Wabunge hawa 19 wa Chadema, walivuliwa uanachama wao kinyume cha katiba ya JMT na kinyume cha haki kwa kutokusikilizwa, kinyume cha katiba ya Chadema kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni!.
3. Kikao cha CCM ya Chadema, kilichowatimua kilikaa kama a kangaroo court na kutoa maamuzi ya kikangaroo!.
4. Katiba ya Chadema inasema mwanachama kabla hajafutwa uanachama, kwanza atatumiwa hati ya mashitaka kwa maandishi by despatch, kisha atapewa siku 14 za kujibu mashitaka. Chadema hawakuandaa hati zozote za mashitaka!. Hili Mahakama ilipaswa ilione!.
5. Baada ya watuhumiwa kupewa hati ya mashitaka, ndipo kikao cha CC kinaitishwa kama mamlaka ya nidhamu, kusoma majibu ya mashitaka, na ndipo kinawaita washikiwa na kuwasikiliza. Hili halikufanyika!.
6. Baada ya wabunge 19 wa Chadema kuapishwa, hapa Chadema waliposwa kufanya kitu kinachoitwa a due process ya nidhamu na sio zile Zimamoto za kikangaroo!. There was no emergency of whatsoever!. Mahakama ilipaswa ilione hili!.
7. Uthibitisho wa hakukuwa na any emergency ya kuitisha CC, ni the time taken, kuitisha kikao cha Baraza Kuu!.
8. Baada ya kuitishwa kikao cha Baraza Kuu, kitu cha kwanza kwa Baraza Kuu Chadema kuangalia ni uhalali wa kikao cha CC, pili jee katiba, sheria, taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu ya Chadema zilifuatwa?.
8. CC ya Chadema ni mamlaka halali ya nidhamu ya wabunge wa Chadema, lakini CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Bawacha!, Mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?!. Kikao cha Baraza Kuu kilipaswa hili kukuona!.
9. Japo kikao cha Baraza Kuu Chadema kiliitishwa kihalali kama mamlaka ya rufaa ya wabunge wa Chadema, lakini kitendo cha kikao hicho kubariki uamuzi wa CC kuwatimua bila kufanya mapitio yoyote, ni uthibitisho wa Chadema bado ni chama kichanga, mfano kingechukua nchi ile 2015!, it would have been disastrous!.
10. Kitendo cha Baraza Kuu kubariki maamuzi ya kikangaroo ya CC ya Chadema, kilifanya niyaite maamuzi yale pia ni ya kikangaroo, na kitendo cha Mahakama Kuu kuyabari maamuzi ya kikangaroo, Mahakama Kuu yetu nayo has joined the team!.
A Way Forward
1. Kwa vile Chadema imefanikiwa kuwatimua hao 19 sasa Chadema isikate tena rufaa, kupinga uamuzi huu, bali iitishe kikao cha Baraza Kuu , ASAP, kifanye a due process, hili la wabunge 19 liishe, wabunge hao 19 wavuliwe ubunge wao, Chadema wapeleke majina 19 mengine, wateuliwe waapishwe, tuwe na Bunge la vyama vingi!.

2. Chadema wakifanya tuu dillydalling kukaa rufaa, inakula kwao!. By the time rufaa inasikilizwa, ndipo kifuate kikao cha Baraza Kuu, I'm afraid the time left before the next election is too little too late, ikibaki muda wa chini ya miezi 12 kabla ya muda wa uhai wa Bunge kuisha, hakuna uchaguzi wowote wala uteuzi wowote wa wabunge wapya!.
3. Tena nashauri kikao hicho cha Baraza Kuu, pia sasa ndio kimtimue Halima Mdee, kikifuatiwa Mkutano Mkuu kuthibitisha. Hapa najua changamoto ni fedha!, kule kwenye kile chungu, zilikopatikana zile fedha za kugharimia Baraza Kuu lile, kile chungu bado kipo, kitagharimia vikao vyote viwili, na Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!.
Paskali.
Hayakuhusu
 
Leo hukumu imetoka
Nimeisoma hukumu, 1. Mahakama zetu zinarudia makosa yale yale ya ukosefu wa kutenda haki kwa sababu ya legal technicalities, kuwa Mahakama haiwezi kutoa uamuzi wa kitu ambacho hakikuombwa!.
2. Wabunge hawa 19 wa Chadema, walivuliwa uanachama wao kinyume cha katiba ya JMT na kinyume cha haki kwa kutokusikilizwa, kinyume cha katiba ya Chadema kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni!.
3. Kikao cha CCM ya Chadema, kilichowatimua kilikaa kama a kangaroo court na kutoa maamuzi ya kikangaroo!.
4. Katiba ya Chadema inasema mwanachama kabla hajafutwa uanachama, kwanza atatumiwa hati ya mashitaka kwa maandishi by despatch, kisha atapewa siku 14 za kujibu mashitaka. Chadema hawakuandaa hati zozote za mashitaka!. Hili Mahakama ilipaswa ilione!.
5. Baada ya watuhumiwa kupewa hati ya mashitaka, ndipo kikao cha CC kinaitishwa kama mamlaka ya nidhamu, kusoma majibu ya mashitaka, na ndipo kinawaita washikiwa na kuwasikiliza. Hili halikufanyika!.
6. Baada ya wabunge 19 wa Chadema kuapishwa, hapa Chadema waliposwa kufanya kitu kinachoitwa a due process ya nidhamu na sio zile Zimamoto za kikangaroo!. There was no emergency of whatsoever!. Mahakama ilipaswa ilione hili!.
7. Uthibitisho wa hakukuwa na any emergency ya kuitisha CC, ni the time taken, kuitisha kikao cha Baraza Kuu!.
8. Baada ya kuitishwa kikao cha Baraza Kuu, kitu cha kwanza kwa Baraza Kuu Chadema kuangalia ni uhalali wa kikao cha CC, pili jee katiba, sheria, taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu ya Chadema zilifuatwa?.
8. CC ya Chadema ni mamlaka halali ya nidhamu ya wabunge wa Chadema, lakini CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Bawacha!, Mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?!. Kikao cha Baraza Kuu kilipaswa hili kukuona!.
9. Japo kikao cha Baraza Kuu Chadema kiliitishwa kihalali kama mamlaka ya rufaa ya wabunge wa Chadema, lakini kitendo cha kikao hicho kubariki uamuzi wa CC kuwatimua bila kufanya mapitio yoyote, ni uthibitisho wa Chadema bado ni chama kichanga, mfano kingechukua nchi ile 2015!, it would have been disastrous!.
10. Kitendo cha Baraza Kuu kubariki maamuzi ya kikangaroo ya CC ya Chadema, kilifanya niyaite maamuzi yale pia ni ya kikangaroo, na kitendo cha Mahakama Kuu kuyabari maamuzi ya kikangaroo, Mahakama Kuu yetu nayo has joined the team!.
A Way Forward
1. Kwa vile Chadema imefanikiwa kuwatimua hao 19 sasa Chadema isikate tena rufaa, kupinga uamuzi huu, bali iitishe kikao cha Baraza Kuu , ASAP, kifanye a due process, hili la wabunge 19 liishe, wabunge hao 19 wavuliwe ubunge wao, Chadema wapeleke majina 19 mengine, wateuliwe waapishwe, tuwe na Bunge la vyama vingi!.

2. Chadema wakifanya tuu dillydalling kukaa rufaa, inakula kwao!. By the time rufaa inasikilizwa, ndipo kifuate kikao cha Baraza Kuu, I'm afraid the time left before the next election is too little too late, ikibaki muda wa chini ya miezi 12 kabla ya muda wa uhai wa Bunge kuisha, hakuna uchaguzi wowote wala uteuzi wowote wa wabunge wapya!.
3. Tena nashauri kikao hicho cha Baraza Kuu, pia sasa ndio kimtimue Halima Mdee, kikifuatiwa Mkutano Mkuu kuthibitisha. Hapa najua changamoto ni fedha!, kule kwenye kile chungu, zilikopatikana zile fedha za kugharimia Baraza Kuu lile, kile chungu bado kipo, kitagharimia vikao vyote viwili, na Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!.
Paskali.
"Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!".
Paskali.
Paskali kwa uandishi huu wewe si mwandishi wa habari, wewe ni collaborator(enzi hizo mrusi au mchina akikuambia hivyo basi umekwisha), unaandika kisha unampa msomaji wako uamuzi wako aukubali atake asitake! Hata hivyo uandishi wako dhidi ya Chadema ni hasi. Nirudi kwenye hoja yako (MBOWE), ni wazi mhe. wakili haumpendi kwa sababu zako ambazo pamoja sizijui lakini naziheshimu kwa kua ni haki yako. Mbowe si kikwazo kwako tu ni pamoja na kwa CCM kwani imejaribu kila njia lakini pia hanunuliki na haufyati mkia! Chadema itauawa vipi mtu huyu akingali yupo? Jiulize, Chadema ikifa wewe binafsi utafaidikaje? Raha yako ni kuona wafuasi wake wanakosa walichokipenda! Huo ni ukatiri.
 
Wanabodi.

Utambulisho.

Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, yaani freelance journalist, hatutumwi na mtu yoyote au media yoyote. Sisi waandishi tuko wa aina nyingi na tunafanya kazi za aina nyingi, wengine ni maripota, wengine watangazaji, wengine wahariri, na ndani ya makundi hayo, kuna baadhi yetu, kazi yetu ni kuuliza tuu, hivyo hiki ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili, nauliza tu: Je, Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau? Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule? Likibariki, Karma Itawatafuna!
  1. Vyama vyote vya siasa nchini, vinavyolipwa na ruzuku ya serikali, ni public parties, sio private parties za viongozi na wanachama. Kwa Public Party, paid by taxpayers money, the public has the right to know its conduct, public as private, including its leaders wana surrender, some of their right to privacy. Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
  2. Hivyo mtu yoyote asiye Chadema, ana haki ya kuzungumzia jambo lolote kuihusu Chadema, na ndio naitumia haki hii kuishauri Chadema, ushauri wa bure CHADEMA msipuuzie ushauri hata kama ni kutoka kwa shetani!, S'times the devils does good deeds!.
  3. Chadema kama chama cha siasa kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria, na kinapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni. Hivyo Chadema pia kina katiba yake, na katiba hiyo imeweka taratibu za nidhamu. Kwanini Chadema haifuati katiba yao?. Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
  4. Pamoja na Chadema kuwa na katiba yake, yenye taratibu za nidhani, katika fukuza fukuza zote za wanachama wa Chadema, CC ya Chadema, huwa inakaa kama a Kangaroo Court, bila kufuata katiba yake na mamlaka yake ya nidhamu, matokeo yake hutoa baadhi ya maamuzi kwa uonevu mkubwa.
  5. Haya ni baadhi ya maamuzi ya uonevu wa Chadema dhidhi ya wanachama wake Walianza na madiwani wa Arusha Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!" karma yake Chadema ikaparaganyika Arusha, uchaguzi uliofuta ikapigwa chini ubunge wa Arusha Mjini.
  6. Wakaja kwa kina Shonza Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015! Wote waliopigwa chini, karma ikawafidia, wakaula CCM wengine ni wabunge, mawaziri etc.
  7. Wakaja kwa Zitto Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" angalia jinsi karma ilivyowatandika watesi wa Zitto!, angalia sasa Zitto alivyofidiwa na karma!.
  8. Kitila Mkumbo ndio alikuwa think tank wao, wakamtimua!. kosa lake ni kuwaeleza ukweli kwenye ule waraka wa mabadiliko, Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo, angalia jinsi karma ilivyomfidia Kitila, angalia Chadema ilivyonyauka!
  9. Funga Kazi ni kuwatimua mashujaa 19, walioipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  10. Baraza Kuu likibariki Ukangaroo wa CC ya Chadema... Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu karma yake itakuwa ni hatari tupu!.
  11. Matokeo ya maonevu hayo, baadhi ya wale walioonewa, karma iliwafidia, leo wako vizuri zaidi kuko walivyokuwa wanapauka tuu Chadema. Angalia wote waliotimuliwa Chadema walipo sasa, na angalia viongozi wa makamanda wa Chadema kilichowakuta!. Usikute hata baadhi ya madhila yanayowakuta viongozi wa Chadema ni karma ya matendo Yao.
  12. Lakini Chadema nacho kama chama, kimekuwa kikiadhibiwa kwa bakora za karma, kwanza kwa kukitandika chama kama chama, na kuwatandika viongozi wake, individually kutoka na their roles kwenye dhulma na maonevu hayo, hivyo Chadema kikaanza kunyauka kwa kukimbiwa Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
  13. Kuna hoja kuwa baadhi ya wanachama na viongozi wa Chadema wako kama nyumbu, hufuata kila kinachofanywa na viongozi wao. Kikao cha CC kilichokaa na kuwafuta uanachama wanachama wake 19, kilikaa kama a Kangaroo court na kutoa maamuzi ya maonevu kwa kuwaonea.
  14. Sasa kwa vile naamini, wajumbe wa Baraza Kuu, hawawezi na wao wote kuwa ni manyumbu, kubariki maamuzi ya ile Kangoroo Court ya Chadema. Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja. Hongera sana Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
  15. Hivyo hili ni bandiko la swali "Je Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau?. Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule?. Likibariki, Karma Itawatafuna!"
Nawatakia wana Chadema, kikao chema cha Baraza Kuu.

Paskali
Mkuu pamoja na makala yako nzuri , nipo na jambo langu kwako ikikupendeza nipe ufafanuzi

Inasemekana umekua moja ya mtumishi katika balozi zetu nje ya nchi ,je ni kweli au sio kweli mkuu
 
Mkuu pamoja na makala yako nzuri , nipo na jambo langu kwako ikikupendeza nipe ufafanuzi

Inasemekana umekua moja ya mtumishi katika balozi zetu nje ya nchi ,je ni kweli au sio kweli mkuu
Si kweli, sijawahi kuwa mtumishi kwenye balozi yetu yoyote, ila kupitia fani yangu ya uandishi wa habari, nimezifanyia kazi za kihabari, Balozi zetu nyingi huko nje kwa kuzitembelea na kuwafanyia mahojiano mabalozi wetu, kazi ya mwisho ni Nchini Burundi hapa juzi kati!
View: https://youtu.be/66hraWlv_Bw?si=q8Svwk0j2E37Fwmp

Ila niliajiriwa na taasisi ya FCO ya Uingereza kuwa mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania.
P
 
Si kweli, sijawahi kuwa mtumishi kwenye balozi yetu yoyote, ila kupitia fani yangu ya uandishi wa habari, nimezifanyia kazi za kihabari, Balozi zetu nyingi huko nje kwa kuzitembelea na kuwafanyia mahojiano mabalozi wetu, kazi ya mwisho ni Nchini Burundi hapa juzi kati!
View: https://youtu.be/66hraWlv_Bw?si=q8Svwk0j2E37Fwmp

Ila niliajiriwa na taasisi ya FCO ya Uingereza kuwa mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania.
P

Fani ya uandishi wa habari wa kuegemea upande mmoja ni fani ya hovyo kabisa na hakuna chuo kinachojitambua kinafundisha jambo la hovyo hivyo, mwandishi ambaye anakwenda kwenye tukio huku tayari kesha andika kwa kusikia hajaona na anahitimisha habari ya tukio! Haufai ndugu, hata uwakili haukufai kwa sababu watu tayari wanajua upande wako hivyo utawahudumia watu wa upande wako tu huku wengine ukiwafungisha kwa makusudi.
 
Si kweli, sijawahi kuwa mtumishi kwenye balozi yetu yoyote, ila kupitia fani yangu ya uandishi wa habari, nimezifanyia kazi za kihabari, Balozi zetu nyingi huko nje kwa kuzitembelea na kuwafanyia mahojiano mabalozi wetu, kazi ya mwisho ni Nchini Burundi hapa juzi kati!
View: https://youtu.be/66hraWlv_Bw?si=q8Svwk0j2E37Fwmp

Ila niliajiriwa na taasisi ya FCO ya Uingereza kuwa mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania.
P

😃😀
 
Fani ya uandishi wa habari wa kuegemea upande mmoja ni fani ya hovyo kabisa na hakuna chuo kinachojitambua kinafundisha jambo la hovyo hivyo, mwandishi ambaye anakwenda kwenye tukio huku tayari kesha andika kwa kusikia hajaona na anahitimisha habari ya tukio! Haufai ndugu,
Kwenye uandishi kuna sub sectors nyingi, kazi ya media ni zaidi ya kuhabarisha,hizo sifa ulizoweka hapo ni sifa za reporter, mimi sio reporter media ni mhimili wa nne hivyo mimi nafanya kazi ya uhimili,trends setting,critical opinions na editorials hivyo tunaruhusiwa kuwa na upande。Wakati wa uchaguzi, media tunawajibu wa kuuelimisha umma kufanya informed decision。 Mfano,kwenye huu uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema,kuna mgombea mmoja ni nazi na kuna koroma,ni jukumu la media kuonyesha nazi ni ipi koroma ni lipi Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ? nimebahatika kupata good exposure kwenye media za wenzetu wakati wa uchaguzi hivyo。sii mara moja wala mbili nimeshauri
hata uwakili haukufai kwa sababu watu tayari wanajua upande wako hivyo utawahudumia watu wa upande wako tu huku wengine ukiwafungisha kwa makusudi.
Kuna wengi wanadhani kazi ya wakili ni kuwatetea tuu watu mahakamani,Mimi sio wakili wa kesi za mahakamani litigations,mimi ni wakili wa legal opinion huku nikiwaelimisha watu elimu ya katiba,sheria na haki,ambacho ni kitu kikubwa,kizuri na chenye manufaa kuliko kutetea kesi mahakamani Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
 
Wanabodi.
  1. Hivyo hili ni bandiko la swali "Je Wabunge 19 wa Chadema Walijiteau?. Je CC-ya Chadema ni Kangaroo Court?. Je Baraza Kuu Litabariki Ukangaroo Ule?. Likibariki, Karma Itawatafuna!"
Paskali
Huu ni mwaka wa uchaguzi,Chadema wasupokuwa makuni,baadhi ya madudu yao yatakuja kuwagharimu,moja ya madudu hayo ni hili dudu la wabunge 19。

CC ya Chadema iliwatimua kwa kuteuliwa wabunge wa viti maalum,nikailiza humu je wamejiteua?, sikiliza jibu la Mhe。Ester Bulaya
Ester Bulaya amesema kuwa yeye alifuata taratibu zote za kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya chama chake. Pia ameeleza hakughushi nyaraka na kama amefanya hivyo basi alipaswa kushtakiwa mahakamani
View attachment 3247495
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mimi mwenzenu jamani huyu mdada,sio tuu namkubali kichizi,bali kiukweli, 。。。,, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
 
Huu ni mwaka wa uchaguzi,Chadema wasupokuwa makuni,baadhi ya madudu yao yatakuja kuwagharimu,moja ya madudu hayo ni hili dudu la wabunge 19。

CC ya Chadema iliwatimua kwa kuteuliwa wabunge wa viti maalum,nikailiza humu je wamejiteua?, sikiliza jibu la Mhe。Ester Bulaya

Mimi mwenzenu jamani huyu mdada,sio tuu namkubali kichizi,bali kiukweli, 。。。,, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
mgogoro mkubwa sana unakuja kuibuka hapa hao wakina mama 19 hawakuenda bungeni kwa kujiteua hapo mwenyekiti na katibu mkuu wanahusika na hawakufoji kama walifoji wangeqwakomalia kuwashitaki mbona hawakuwashitaki?chadema ni kundi la kihuni tu bado hatuna chama cha upinzani makini
 
mgogoro mkubwa sana unakuja kuibuka hapa hao wakina mama 19 hawakuenda bungeni kwa kujiteua hapo mwenyekiti na katibu mkuu wanahusika na hawakufoji kama walifoji wangeqwakomalia kuwashitaki mbona hawakuwashitaki?chadema ni kundi la kihuni tu bado hatuna chama cha upinzani makini
Pumbavu mkuu
 
Back
Top Bottom