Duh!Wakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.
Wengine wakumbukwe na wake zao.
Yaani unataka na jiwe akumbukwe??
Labda kwa upande wenu, huyo tena atangazwe mtakatifu kabisaDuh!
Kwa Magu hapana
Hata hizo za Nyerere na Karume ziondolewe, hazina afya kwa taifa zaidi ya kulitia hasaraWakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.
Wengine wakumbukwe na wake zao.
Yaani unataka na jiwe akumbukwe??
Kuazimisha sio lazima mkusanyiko, hiyo siku hutumiwa na vyombo vya habari na wanazuoni kukumbushia umma utawala wa mhusikaHata hizo za Nyerere na Karume ziondolewe, zinatia hasara nchi.
Huwezi kuondoa kumbukumbu za waasisi wa taifa, kizazi kijacho kitajifunza niniHata hizo za Nyerere na Karume ziondolewe, hazina afya kwa taifa zaidi ya kulitia hasara
Mungu apitishie mbaliLabda kwa upande wenu, huyo tena atangazwe mtakatifu kabisa
Kwa Nini?Duh!
Kwa Magu hapana
Ishapita hioMungu apitishie mbali
Wakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.
Wengine wakumbukwe na wake zao.
Yaani unataka na jiwe akumbukwe??
Mkapa, mwendazake mbona hawana mkapa au jiwe day?Kulikuwa na tetesi cha kifo cha rais wa awamu ya pili tangu siku amefariki Edward Lowassa, lakini haikutangazwa mapema jamo umma ilikuwa ikiamini kuwa serikali inajaribu kutenganisha haya matukio kwa ajili kupata maandslizi.
Hizi zinabaki kuwa tetesi kama tetesi zingine japo kweli limetukia.
Ikiwa ni kweli alifariki kabla ya tarehe 29 Februari, Serikali imeteleza sana kuutangazia umma kuwa Mwinyi alifariki tarehe 29 Februari kwani siku hii hutokea mara moja baada ya miaka 4 kupita.
Kama ilivyo ada kifo cha kiongozi wa kitaifa lazima pawepo siku ya kuadhimisha, hasa siku kifo kilipotokea.
Je mpanga utaratibu aliteleza?