Je, wajua hili kuhusu kumbukumbu ya kifo cha Rais Mwinyi?

Je, wajua hili kuhusu kumbukumbu ya kifo cha Rais Mwinyi?

Wakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.

Wengine wakumbukwe na wake zao.

Yaani unataka na jiwe akumbukwe??
Duh!
Kwa Magu hapana
 
Wakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.

Wengine wakumbukwe na wake zao.

Yaani unataka na jiwe akumbukwe??
Hata hizo za Nyerere na Karume ziondolewe, hazina afya kwa taifa zaidi ya kulitia hasara
 
Wakifa marais wote 6 ina maana tutakuwa na siku za kumbukumbu 6 kwa mwaka? Huu utakuwa ni uwendawazimu. Zinatosha hizo 2 za waasisi wa taifa letu....Karume Day na Nyerere Day.

Wengine wakumbukwe na wake zao.

Yaani unataka na jiwe akumbukwe??

hata na wao zinatakiwa ziondolewe. Hii nchi sio yao ni yetu sote.
 
Mtu aliyezaliwa tarehe 29/02 anaadhimisha lini siku zake za kuzaliwa? Kama anaadhimisha Kila mwaka kwakuwa Kila mwaka anaongezeka mwaka Katika umri ,vivyo itakavyofanyika hapa
 
Kulikuwa na tetesi cha kifo cha rais wa awamu ya pili tangu siku amefariki Edward Lowassa, lakini haikutangazwa mapema jamo umma ilikuwa ikiamini kuwa serikali inajaribu kutenganisha haya matukio kwa ajili kupata maandslizi.

Hizi zinabaki kuwa tetesi kama tetesi zingine japo kweli limetukia.

Ikiwa ni kweli alifariki kabla ya tarehe 29 Februari, Serikali imeteleza sana kuutangazia umma kuwa Mwinyi alifariki tarehe 29 Februari kwani siku hii hutokea mara moja baada ya miaka 4 kupita.

Kama ilivyo ada kifo cha kiongozi wa kitaifa lazima pawepo siku ya kuadhimisha, hasa siku kifo kilipotokea.

Je mpanga utaratibu aliteleza?
Mkapa, mwendazake mbona hawana mkapa au jiwe day?
Why mwinyi day?
 
Back
Top Bottom