Je, Wajua kuwa wimbo wa MB DOG "Mapenzi Kitu Gani" Ubeti wa kwanza ulikuwa unasifia na kutoa shukrani kwa Radio na Sio mapenzi kama wengi wadhaniavo

Enzi hizo radio stations zilikua chache ndo maana ubeti mmoja ulitosha kabisa. Angeimba Sasa iv aone.
🤣🤣🤣
Mkoa Mmoja unakuta Unaradio Station 10..
Na bado hujaangalia Online Radios...

Zamani tulikuwa Na Radio za masafa Aina mbili tu FM na AM
 
hivi inakuawaje mtu ajenge kijumba juu ya msingi wako alafu baadae wewe uje kudai msingi wako Dunia ikuone mvamizi?.

jews ni Ethnic group toka hapo Israel.
hii inathibitishwa na Genealogical,history na Archaeological.
wallah, israel sio taifa la kikoloni kama wapumbuvu wengi wanavyotumia nguvu tuamini. Israel sio settlers kama dunia na wachiro chiro wanavyotaka tuamini
ni kwa namna ipi unaweza ku- colonise taifa lako mwenyewe?.
Moyo wangu unaniuma sana kuona Jews wanapitia madhira makubwa kwasababu ya Ardhi yao.
I strongly support Netanyahu to boom Palestinians entirely.
wapalestinan wana nchi zaidi ya 40 za kwenda ila Waisrael hawana hata moja zaidi ya hapo walipo
 

Attachments

  • 20231203_101344.png
    485.4 KB · Views: 10
Huyo MB dog ndo nani?
 
Unatuharibia uzi
 
Mb Dog aliimba na hii?
 
Alikuwa mbunge wa jimbo la Kinondoni miska ya 2000 kabla hajawa waziri
Okay nimekupata. Na ndio yule pia aliyeajiriwa Qatar kutawadha ngamia wakishajisaidia? (Kumbuka nimetumia kujisaidia badala ya kunya kama tafsida)
 
Wewe, huyu jamaa alikuwa anamuelewa yule Miss Tanzania kipindi hicho kabla ya hao kina Wema. Alikuwa anaitwa Nancy. Ndo alikuwa anamuimbia sana hizo nyimbo. Ukimaliza kusikiliza huo sikiliza INAMAANA.
 
Wewe, huyu jamaa alikuwa anamuelewa yule Miss Tanzania kipindi hicho kabla ya hao kina Wema. Alikuwa anaitwa Nancy. Ndo alikuwa anamuimbia sana hizo nyimbo. Ukimaliza kusikiliza huo sikiliza INAMAANA.
Zote nazijua Mkuu...na najua pia alikuwa anampenda sana nancy sumari vizuri Sana..
Najua nyimbo za Mb Dog na Madee kipindi hicho 60% zilimuhusu..
 
Nilipokuwa Dj nilikuwa naipiga sana hii ngoma lakini sikuwahi kuwa na hii aidia, duh.......we mjinga unachunguza qumaaaaaniner [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Since 2017 wimbo umetoka nikiwa Makongo pale nilifahamu hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…