DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
- #41
Mkuu huo wimbo Umetoka 2017?Since 2017 wimbo umetoka nikiwa Makongo pale nilifahamu hilo.
Hauko serious Right?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huo wimbo Umetoka 2017?Since 2017 wimbo umetoka nikiwa Makongo pale nilifahamu hilo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huo wimbo Umetoka 2017?
Hauko serious Right?
VERSE 1:
Huamini miujiza mchumba
Sauti ya nyuki inasikika
Sogea karibu 'baby' 'times' zishafika
Unipe uhuru 'dear Nikiss' nnapotoka
Tukae mlimani dear Niwe 'free'
ndani ya kopa,
Penzi kwa fujo my boo
Moyo wangu ushauteka Raha ya Afrika RTD
Mimi ndo 'one naskika
Hivi kwanini dear
Moyo wangu unautesa
Hivi hushoboki dear
Inavyonipenda East Africa
Yii yii dear,
I need you dear Ooh dear, I Love you my baby
Sauti ya nyuki = nyuki djs
Times = Times fm
Uhuru = uhuru fm
Nikiss= kiss fm
Mlimani = redio mlimani
Free= radio free
Radio tanzania
Mwamba anasema alikuwa ana shout out stesheni kwa ajili ya support zao.
Aisee miaka 20 iliopita huyu mwamba alitupatia moja ya albamu bora kuwahi kutokea katika muziki huu wa bongo flava. Production, melodies, mistari na featuring zote zikiwa on point, yani watu wengi walitumia nyimbo zake kulilia mapenzi.😂
View: https://youtu.be/CqAXcJjEiKE?si=jPijVnxfXHs8yL6P
Hahah ngoja nikupe interview yake mkuu 😂 😂Uongo uliopigwa Lamination kabisa huu😀 wasiojua kiingereza ndio tu ndio utawaburuza.
Hii ni kweli mkuu?Alizaa na demu mmoja hivi, akiwa mdogo waliwahi kuvamiwa wakaleweshwa kisha wakapelekewa moto nyumba nzima 😹😹😹
Nikudanganye ili nigundue nini??Hii ni kweli mkuu?
Aisee alipokuwa bado hajawa mwanamuziki??Nikudanganye ili nigundue nini??
Sio mb dog nimekwambia demu wake aliyezaa nae..!!Aisee alipokuwa bado hajawa mwanamuziki??
Ooh, sawa, too bad , mpe pole yake.Sio mb dog nimekwambia demu wake aliyezaa nae..!!
Nancy sumari mkuu😂🥳😂Nimemkumbuka Nyarandu alivyomfanya jamaa yetu kuimba mapenzi sana na bado haka mkosa
Hii alihojiwa na akaongea yeye mwenyewe. Kama ni uongo basi muongo ni yeye MB Dog!Uongo uliopigwa Lamination kabisa huu😀 wasiojua kiingereza ndio tu ndio utawaburuza.
Kwani mmiliki wa naniNancy sumari mkuu😂🥳😂