Je, Wajua kuwa wimbo wa MB DOG "Mapenzi Kitu Gani" Ubeti wa kwanza ulikuwa unasifia na kutoa shukrani kwa Radio na Sio mapenzi kama wengi wadhaniavo

Je, Wajua kuwa wimbo wa MB DOG "Mapenzi Kitu Gani" Ubeti wa kwanza ulikuwa unasifia na kutoa shukrani kwa Radio na Sio mapenzi kama wengi wadhaniavo

Kwani mmiliki wa nani
Screenshot_20250306-160020.png


Uji sio chai
 
Wewe unachanganya faraja na nancy

Lamomy ebu muelezee huyu vizuri
Mwenyewe nimebaki nacheka, Faraja ndio mke wa Nyalandu, huyo aliyeimbwa na mb dog ni Nancy Sumari mdogo ake Nakaaya aliyeimba Mr politician..!! 😹

Huyo betri limevimba utajichosha 🀣
 
Mwenyewe nimebaki nacheka, Faraja ndio mke wa Nyalandu, huyo aliyeimbwa na mb dog ni Nancy Sumari mdogo ake Nakaaya aliyeimba Mr politician..!! 😹

Huyo betri limevimba utajichosha 🀣
IMG_0762.jpeg
 
Mwenyewe nimebaki nacheka, Faraja ndio mke wa Nyalandu, huyo aliyeimbwa na mb dog ni Nancy Sumari mdogo ake Nakaaya aliyeimba Mr politician..!! 😹

Huyo betri limevimba utajichosha 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
MCs wengi wa Bongo walitoa vitu vikali sana way back.

Nilikuwa form 2 kipindi hicho hii ngoma inatoka, yaani nikiisikia tu moyo wangu hautulii

Discpline na Attitude ndo vimeua sanaa ya Bongo. Sikiliza hata ngoma ya 20% napata hasira sana
 
Kama ulibahatika kuwa Kijana au kuwa na umri wa utambuzi miaka hiyo Utakumbuka Zaidi Nyimbo Mojawapo iliyokuwa Gumzo miaka hiyo ni Mapenzi kitu gani ya MB DOG..

sasa leo Nataka kukuletea Story kidogo kuhusu Nyimbo hiyo kuwa Nyimbo hyo kwa 90% haikuzungumzia Mapenzi bali ilitoa Sifa na Shukrani kwa vipindi vya Refia pamoja na Redio zilizokuwa zinafanya vizuri wakati huo...

Ntanukuu versi hiyo...

Huamini miujiza mchumba,
Sauti ya nyuki inasikika,
Sogea karibu baby,
Times zishafika,
Unipe uhuru dear,
Ni kiss ninapotoka,
Toka mlimani dear,
niwe free ndani ya kopa,
Penzi kwa fujo my buu,
Moyo wangu ushauteka,
Raha ya Africa RTD mimi ndo one nasikika.
Hiv kwann dear moyo wangu unautesa,
Hivi hushoboki dear,
inavyonipenda East Africa....,


_______________
_______________

Zilizokuwa Bold hapo juu ni Radio na wadau wa kipindi hicho....
  • Miujiza (Magic Fm)
  • Sauti ya Nyuki -"Nyuki Djs" (Hawa walikuwa maDj wanajiita Nyuki Djs kina Steve B,Dj Too Shot,Dj Fetty,Mully B,Pitter Moo,DJ Venture pamoja na Dj Nelly na wengi wao walikuwa wakifanya kazi Mawingu Fm baadae Clouds FM..
  • Times (Times Fm)
  • Uhuru (Radio Uhuru)
  • kiss (Kiss Fm)
  • mlimani (Mlimani Fm)
  • free (RFA-Radio Free Africa)
  • kwa Fujo - kwa fujo Djs
  • RTD (Radio Tanzania Dar es salaam) ambayo sasa ndo TBC
  • One (Radio one Fm)
  • East africa (East Africa Radio )

Wasanii wa zamani walikuwa wabunifu sana ilikuwa inachukua Muda sana kujua Ujumbe aliowasilisha...

Kwa wasioijua nyimbo πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 2832057

_____________________
___________<<<<
Shukrani Cannabis kwa interview Clip..

View attachment 2832068
Hatari
 
Back
Top Bottom