Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

Yakobo alikuwa na mke zaidi ya mmoja,Ibrahim alikuwa na wake wawili,suleiman nae hivyo hivyo kifupi manabii wengi walikuwa na wake zaidi ya mmoja...nyinyi wakristo kwanini hamtaki tuwe na wake zaidi ya mmoja?

Ukiachana na hilo dini kabla hazijafika africa mababu zetu walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja,kwanini nyinyi wachungaji hamtaki tuoe mke zaidi ya mmoja?
Mfano wa ndoa aliouasisi Mungu katika bustani ya Eden ni Adam na Hawa Mungu angeona haja angemuumbia wake wanne 😀Tumeelewana Ustaadh?
 
Mtume Paulo alisema ndoa ni optional, ilimradi uweze kudhibiti tamaa! Otherwise Ndoa ni muhimu

Kuna watu maarufu hawakuwahi kuoa
1)Yesu
2)Paulo
3)Eliya
4)Yohana Mbatizaji
Na wengineo 🙏
Usipooa hutakiwi 1. kununua kahaba, 3. usijichue, 3. Wala usiwe shoga.

4. Uwe towashi, mwili wako uwe Sadaka Kwa Mungu.

Kama huwezi kuwa kati ya hao hapo juu, oa haraka mke mmoja tu.
 
Hilo nalo ni somo jingine, tuombe Mungu asaidie pia niletee humu.

Bt in short, ukijazwa Roho MTAKATIFU, utasikia maelekezo kabisa Kutoka ndani,

Ni muhimu pia kushirikisha waliookoka wakusaidie kuomba.

Ndipo linapotimia neno lisemalo,

MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA. AMEN
Huwezi kumtambua mchawi Kama wewe sio mchawi, kumpata mke mwema lazima uwe mume mwema!

First thing first, ndiyo maana Yesu alisema utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake mengine mtazidishiwa
 
Usipooa hutakiwi 1. kununua kahaba, 3. usijichue, 3. Wala usiwe shoga.

4. Uwe towashi, mwili wako uwe Sadaka Kwa Mungu.

Kama huwezi kuwa kati ya hao hapo juu, oa haraka mke mmoja tu.
Unawazungumziaje padre na watawa wa Catholics
 
Huwezi kumtambua mchawi Kama wewe sio mchawi, kumpata mke mwema lazima uwe mume mwema!

First thing first, ndiyo maana Yesu alisema utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake mengine mtazidishiwa
Hayo ni mapotofu Yako, usihusishe na Neno la Mungu.
 
Mapotofu Yapi mkuu? Kwamba unaweza kumpata mke mwema ilhali mwenendo wako sio mzuri?
Ndo ukubali kuacha mweneno mbaya.

Mungu akupe mke MWEMA. Hairuhusiwi kuonja onja, hayo Si maandazi.
 
Mfano wa ndoa aliouasisi Mungu katika bustani ya Eden ni Adam na Hawa Mungu angeona haja angemuumbia wake wanne 😀Tumeelewana Ustaadh?
Mbona Adam alikuwa na mke kabla ya Eva!
Anaitwa lilith
 
Yeye atakayenikana mbele ya watu NAMI NITAMKANA MBELE YA BABA YANGU ALIYE MBINGUNI
Mpaka hapo amesema ukinikana mbele ya watu na mimi nitakukana mbele ya baba yangu aliye mbinguni,,sasa kwanini mnasema Yesu ni MUNGU wakati ana baba yake?
 
Ikiwa unamwamini Yesu ambaye hakufa, na hakufufuka, Ikiwa huamini Yesu NDIYE MUNGU atakayerudi kuuhukumu Ulimwengu,

Roho ya mpinga kristo inafanya KAZI ndani Yako.

(UFUNUO 19:11-16) Inasema wazi Yesu ndiye Mungu , AMIRI Jeshi MKUU, Yeye AKETIYE kwenye KITI Cha enzi.

Amen
Kwa hiyo Mungu alikufa kwa ajili ya dhambi za watu pale msalabani!?
 
Hahahah mkuu napenda sana unavyoichambua biblia kwa kweli wewe ni role model wangu nikupe maua yako🙏🏽🙌🏻🙌🏻🙌🏻.

Huwa ninascreeshut baadhi ya reply zako ili nzirudie kuzisoma.
Alishajibu au kaingia mitini🤣
Hahaha Hakujibu mkuu Labda niangalia Kma kajibu
 
Kwa hiyo Mungu alikufa kwa ajili ya dhambi za watu pale msalabani!?
Ndio, aliitoa Roho yake ndani ya MWILI na kuirudisha tena siku ya tatu,

Kisha akapaa Mbinguni, na hata sasa ameketi katika KITI Cha enzi.
 
Na ukimtenga Yesu na Mungu, unaitwa Mpinga kristo.

Karibu.
Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...
Na Yeyote atakayesema vinginevyo kuhusu Umasihi..
Kama wewe unayesema Yesu ni Mungu wewe ni Mpinga kristo...
Soma 1 Yohana 4:1-5

[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

[2]Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.

[3]Na kila roho isiyokiri hivyo haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.

[4]Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.

[5]Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
 
Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...
Na Yeyote atakayesema vinginevyo kuhusu Umasihi..
Kama wewe unayesema Yesu ni Mungu wewe ni Mpinga kristo...
Soma 1 Yohana 4:1-5

[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

[2]Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.

[3]Na kila roho isiyokiri hivyo haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.

[4]Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.

[5]Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
Mimi NINAKIRI kuwa Yesu ndiye Mungu pamoja na wanadamu yaani Immanuel.

NINAKIRI Yesu ndiye Mungu na hatenganishwi, ndiye huyo AKETIYE KATIKA KITI Cha enzi sawa sawa na ( (Ufunuo 19:6-11).

Yesu NDIYE MUNGU alpha na Omega, mwanzo na mwisho sawasawa na (Ufunuo 1:8)
 
Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...
Na Yeyote atakayesema vinginevyo kuhusu Umasihi..
Kama wewe unayesema Yesu ni Mungu wewe ni Mpinga kristo...
Soma 1 Yohana 4:1-5

[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

[2]Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.

[3]Na kila roho isiyokiri hivyo haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.

[4]Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.

[5]Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
Ndo uelewe kuwa wote wapingao kuwa Yesu Kristo/ Messiah, Mungu hakuja katika mwili, ndiyo Roho ya mpinga kristo.

Kusema Yesu hatenganishwi na Mungu, ni sawa na kusema Yesu Kristo ndiye Mungu katika form ya mwanadamu!!!


Vipi ndugu?
 
Back
Top Bottom