Mfano wa ndoa aliouasisi Mungu katika bustani ya Eden ni Adam na Hawa Mungu angeona haja angemuumbia wake wanne 😀Tumeelewana Ustaadh?Yakobo alikuwa na mke zaidi ya mmoja,Ibrahim alikuwa na wake wawili,suleiman nae hivyo hivyo kifupi manabii wengi walikuwa na wake zaidi ya mmoja...nyinyi wakristo kwanini hamtaki tuwe na wake zaidi ya mmoja?
Ukiachana na hilo dini kabla hazijafika africa mababu zetu walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja,kwanini nyinyi wachungaji hamtaki tuoe mke zaidi ya mmoja?
Usipooa hutakiwi 1. kununua kahaba, 3. usijichue, 3. Wala usiwe shoga.Mtume Paulo alisema ndoa ni optional, ilimradi uweze kudhibiti tamaa! Otherwise Ndoa ni muhimu
Kuna watu maarufu hawakuwahi kuoa
1)Yesu
2)Paulo
3)Eliya
4)Yohana Mbatizaji
Na wengineo 🙏
Huwezi kumtambua mchawi Kama wewe sio mchawi, kumpata mke mwema lazima uwe mume mwema!Hilo nalo ni somo jingine, tuombe Mungu asaidie pia niletee humu.
Bt in short, ukijazwa Roho MTAKATIFU, utasikia maelekezo kabisa Kutoka ndani,
Ni muhimu pia kushirikisha waliookoka wakusaidie kuomba.
Ndipo linapotimia neno lisemalo,
MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA. AMEN
Unawazungumziaje padre na watawa wa CatholicsUsipooa hutakiwi 1. kununua kahaba, 3. usijichue, 3. Wala usiwe shoga.
4. Uwe towashi, mwili wako uwe Sadaka Kwa Mungu.
Kama huwezi kuwa kati ya hao hapo juu, oa haraka mke mmoja tu.
Hayo ni mapotofu Yako, usihusishe na Neno la Mungu.Huwezi kumtambua mchawi Kama wewe sio mchawi, kumpata mke mwema lazima uwe mume mwema!
First thing first, ndiyo maana Yesu alisema utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake mengine mtazidishiwa
Wamejitambulisha kama matowashi,Unawazungumziaje padre na watawa wa Catholics
Mapotofu Yapi mkuu? Kwamba unaweza kumpata mke mwema ilhali mwenendo wako sio mzuri?Hayo ni mapotofu Yako, usihusishe na Neno la Mungu.
Ndo ukubali kuacha mweneno mbaya.Mapotofu Yapi mkuu? Kwamba unaweza kumpata mke mwema ilhali mwenendo wako sio mzuri?
Mbona Adam alikuwa na mke kabla ya Eva!Mfano wa ndoa aliouasisi Mungu katika bustani ya Eden ni Adam na Hawa Mungu angeona haja angemuumbia wake wanne 😀Tumeelewana Ustaadh?
Mpaka hapo amesema ukinikana mbele ya watu na mimi nitakukana mbele ya baba yangu aliye mbinguni,,sasa kwanini mnasema Yesu ni MUNGU wakati ana baba yake?Yeye atakayenikana mbele ya watu NAMI NITAMKANA MBELE YA BABA YANGU ALIYE MBINGUNI
Wanawake siku zote wameumbwa ubinafsi usifikiri atasupport ndoa zaidi ya mke mmoja.Alafu unakuta hizi habari za mke mmoja anazitoa mwanamke as if alishamiliki korodani.
Mke mmoja wengi wanaitekeleza kishingo upande ,huku wakiwa na michepuko ,zaidi ya 10.Wanawake siku zote wameumbwa ubinafsi usifikiri atasupport ndoa zaidi ya mke mmoja.
Umesoma kwenye Bible?Mbona Adam alikuwa na mke kabla ya Eva!
Anaitwa lilith
Hayo ni nafundisho ya mashetani.Mbona Adam alikuwa na mke kabla ya Eva!
Anaitwa lilith
Kwa hiyo Mungu alikufa kwa ajili ya dhambi za watu pale msalabani!?Ikiwa unamwamini Yesu ambaye hakufa, na hakufufuka, Ikiwa huamini Yesu NDIYE MUNGU atakayerudi kuuhukumu Ulimwengu,
Roho ya mpinga kristo inafanya KAZI ndani Yako.
(UFUNUO 19:11-16) Inasema wazi Yesu ndiye Mungu , AMIRI Jeshi MKUU, Yeye AKETIYE kwenye KITI Cha enzi.
Amen
Hahaha Hakujibu mkuu Labda niangalia Kma kajibuHahahah mkuu napenda sana unavyoichambua biblia kwa kweli wewe ni role model wangu nikupe maua yako🙏🏽🙌🏻🙌🏻🙌🏻.
Huwa ninascreeshut baadhi ya reply zako ili nzirudie kuzisoma.
Alishajibu au kaingia mitini🤣
Ndio, aliitoa Roho yake ndani ya MWILI na kuirudisha tena siku ya tatu,Kwa hiyo Mungu alikufa kwa ajili ya dhambi za watu pale msalabani!?
Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...Na ukimtenga Yesu na Mungu, unaitwa Mpinga kristo.
Karibu.
Mimi NINAKIRI kuwa Yesu ndiye Mungu pamoja na wanadamu yaani Immanuel.Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...
Na Yeyote atakayesema vinginevyo kuhusu Umasihi..
Kama wewe unayesema Yesu ni Mungu wewe ni Mpinga kristo...
Soma 1 Yohana 4:1-5
[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
[2]Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
[3]Na kila roho isiyokiri hivyo haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
[4]Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
[5]Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
Ndo uelewe kuwa wote wapingao kuwa Yesu Kristo/ Messiah, Mungu hakuja katika mwili, ndiyo Roho ya mpinga kristo.Mpinga Ni yoyote anayepinga Yesu Sio Masihi...
Na Yeyote atakayesema vinginevyo kuhusu Umasihi..
Kama wewe unayesema Yesu ni Mungu wewe ni Mpinga kristo...
Soma 1 Yohana 4:1-5
[1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
[2]Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
[3]Na kila roho isiyokiri hivyo haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
[4]Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
[5]Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia