Huo ni UZINZI,Hakuna ndoa wanaishi tu na miaka nane imetimia na watoto wawili hawa walijazwa roho mtakatifu?
Joseph alikua ni mume Wa wake zaidí ya mmoja Kwa mujibu Wa historia ya vitabu Vya kale na masimulizi.Mkuu nimefurahi kwakuwa Umenotice kuwa Yesu alikuwa na wadogo zake/Kaka zake...
Sasa nifatilie..
Kwanza kabisa utambulisho wa Ndugu hao Unaanza kwenye Mathayo 13:55-56
Nitakuandikia kiyunani (Greek) as the original language....
"
Οὐχ οὗτός ἐστιν ὁ τοῦ τέκτονος υἱός; οὐχ ἡ μήτηρ αὐτοῦ λέγεται Μαρία καὶ οἱ ἀδελφοὶ αὐτοῦ Ἰάκωβος καὶ Ἰωσὴφ καὶ Σίμων καὶ Ἰούδας; καὶ αἱ ἀδελφαὶ αὐτοῦ οὐχὶ πᾶσαι πρὸς ἡμᾶς εἰσιν; πόθεν οὖν τούτῳ ταῦτα πάντα;
Na hivi ndivyo hutamkwa...
Ouch houtos estin ho tou tektonos huios? ouch he meter autou legetai Maria kai hoi adelphoi autou Iakobos kai Ioseph kai Simon kai Ioudas? kai hai adelphai autou ouchi pasai pros hēmas eisin? pothen oun touto panta?
Kwa mama Samia tungeandika hivi..
Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
neno lililotumika kama Ndugu(Kaka ) ni ἀδελφοὶ" (adelphoi) na Mara zote hutumiwa kwa Ndugu wa Damu yaani wale wa Tumbo moja...
kwa case yako kuwa Huenda lilitumika kama Ndugu wa Dada ake Mama yake..
neno ambalo lingetumika nafikiri lingekuwa ανηψιός (anepsiós)
Sasa kama utaweza bado swali liko pale pale walikuwa watoto wa nani!
Maandiko Yako wazi, Mariam alizaa watoto wa kiume na WA kike na Yusuph. Na Yesu aliwachagua baadhi ya ndugu zake kuwa wanafunzi wake.Joseph alikua ni mume Wa wake zaidí ya mmoja Kwa mujibu Wa historia ya vitabu Vya kale na masimulizi.
Hivyo Yesu alikua na ndugu upande Wa baba. Ila Kwa Mariam alikua peke yake .
Na hakuwahi kuingiliwa na mwanadamu MAISHA yake yote.
Ni mtakatifu sana . Wabadai mpaka vyakula alivyokua anakula vilikua vinaletwa na Malaika.
Joseph alikua ni mume mlezi tuu. Na alikua na wake wengine kama Mila Zao na Ilikua ni halali kuoa wake wengi
Shetani hajui maana ya NDOA.Basi shetan kaupiga mwingi sana
Mkuu 😅😅 nakuelewa sana na kwa bahati mbaya ulichosema sio msingi wa Dini unayoamini Ni msingi wa Mila za kiKatolick ambao unaenda mpaka kwenye Council of Ephesus mwaka 431 AD..Joseph alikua ni mume Wa wake zaidí ya mmoja Kwa mujibu Wa historia ya vitabu Vya kale na masimulizi.
Hivyo Yesu alikua na ndugu upande Wa baba. Ila Kwa Mariam alikua peke yake .
Na hakuwahi kuingiliwa na mwanadamu MAISHA yake yote.
Ni mtakatifu sana . Wabadai mpaka vyakula alivyokua anakula vilikua vinaletwa na Malaika.
Joseph alikua ni mume mlezi tuu. Na alikua na wake wengine kama Mila Zao na Ilikua ni halali kuoa wake wengi
Kama unasema watu wa Agano jipya wako tofauti...
Then lets talk about wadogo zake Yesu kama unawajua kina Yakobo na Yohana...
Wengi wanapropose kwamba walikuwa watoto wa Yusuph kwa mama mwingine..
The. Huoni kama yusuph alikuwa na wake wawili Mariam na Mke mwingine..alifanya kosa?
Mbona hata kwenye biblia kuna siku Maria alikuja na nduguze kumuona yesu aliozaa na josephMkuu 😅😅 nakuelewa sana na kwa bahati mbaya ulichosema sio msingi wa Dini unayoamini Ni msingi wa Mila za kiKatolick ambao unaenda mpaka kwenye Council of Ephesus mwaka 431 AD..
Ambao ndo walianzisha Dogma na mila inayoitwa "Theotokos" katika Kanisa...
Maana yake ni Kumsafisha maria na kuwa Mama wa Mungu ...
Maana hakuingiliwa mpaka anakufa....
Sasa huko tupaache nataka tutoke kwenye misingi ya kidini wala misingi yoyote ya ukweli uliopo wala y watoto..
Natka twende kwenge mantiki na logic..
Kuna mwanaume unayemjua ambaye atamlipia Mahari mwanamke Na atakaa naye miaka yote zaidi ya 20 bila kumuingilia (Na zingatia mwanamume ni Rijali)...
Unacholeta ni Wazo la kwenye aprokrifa moja inayoelezea kuhusu uchungu wa maria wakunga waliomzalisha na Jinsi alivyokuwa Bikra na alivyoendelea kuwa bikra baada ya kujifungu...
Narudia Tena Someni Sana ili mtoke gereza la akili
Huwa napenda nisirudie sana maelezo kma unaweza rudi post namba 103 (comments # 103)Hapana hawakuwa na undugu na Yesu wa namna hiyo Yohana na Yakobo walikuwa ni ndugu kwa kuwa walikuwa watoto wa Mamkubwa wake Yesu, Mama wa Yesu alikuwa mamdogo wao.Kama unaongelea wale wanafunzi ambao ni watoto wa Zebedayo(Marko 3:17) ila kama unaongelea Yakobo,Yuda, Simoni na Yose na mabinti kadhaa ambao majina hayajaandikwa hao ndo walikuwa ndugu wa Yesu kwa kuzaliwa(marko 6:3)
Ndyo hiyo naifahamu mkuu Tatizo watu hawaelewi wamefumbwa kwenye TheotokosMbona hata kwenye biblia kuna siku Maria alikuja na nduguze kumuona yesu aliozaa na joseph
Afu wanataka lazimisha kuwa Joseph alikuwa mcha mungu kiasi cha kuishi na mwanamke bila kumla mtu alikuwa seremala wanasema kwa enzi hizo ni tajiriNdyo hiyo naifahamu mkuu Tatizo watu hawaelewi wamefumbwa kwenye Theotokos
Nimekupata vizuri na ahsante kwa kile ulichokisemea kwa kina.. mimi nilireply kutoka na post namba 59Huwa napenda nisirudie sana maelezo kma unaweza rudi post namba 103 (comments # 103)
Halafu leta hoja kulingana na comments hiyo
Mmmh hapa umetupiga uongo. Mungu alisemaje? Ebu soma maelekezo yko vzrMungu alipoagiza mkaizaje Dunia hakukuambia uijaze Dunia pekeako Kwa Kuoa wake wengi, la hasha!!
Aliposema enendeni mkaijaze Dunia, maana yake ni Kila Mwanaume aliyefikia umri wa Kuoa aoe mke mmoja na Azae watoto kupitia mke mmoja.
Dunia tunaijaza Kwa pamoja, Si Kwa wewe mmoja Kuoa wake wengi.
Ndo Ivo, Dunia huijazi pekeako,Kwa Kuoa wake wengi.Mmmh hapa umetupiga uongo. Mungu alisemaje? Ebu soma maelekezo yko vzr
Huo ndo UKWELI,Ila kwa leo kuhusu Kuhamasisha Ndoa Rabbon Hongera sana kaka..
Mhubiri 4:9-12
[9]Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja;
Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.
.
[10]Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
[11]Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?
[12]Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampinga; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.
Unamlisha maneno mwenyezi. Yeye alisema Tuijaze dunia. Habari za kuoa zililetwa na Paulo kwenye waraka wake wa kwanza kwa wakorintho.Mungu alipoagiza mkaizaje Dunia hakukuambia uijaze Dunia pekeako Kwa Kuoa wake wengi, la hasha!!
Aliposema enendeni mkaijaze Dunia, maana yake ni Kila Mwanaume aliyefikia umri wa Kuoa aoe mke mmoja na Azae watoto kupitia mke mmoja.
Dunia tunaijaza Kwa pamoja, Si Kwa wewe mmoja Kuoa wake wengi.
Yesu ndo alipigilia msumari,Unamlisha maneno mwenyezi. Yeye alisema Tuijaze dunia. Habari za kuoa zililetwa na Paulo kwenye waraka wake wa kwanza kwa wakorintho.
Huo ni UZINZI,
Katika Roho kufanya kitendo tu tayari mmeungana, ila muunganiko huo ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Kama mume ana mke zaidi ya mmoja, Inatakiwa aamue kubariki NDOA na mke mmoja kati ya hao, akusanye watoto wote wa mama wengine aliozaa nao na avunje mahusiano yote na wanawake wengine na atunze family ya mke mmoja na mume mmoja.
Amen
Naongelea ambao hawajaoa Bado.Sasa unasema vipi lazima kuwepo mungu watu wawe wamemuuliza roho mtakatifu?
Wakati wapo watu kibao hawajaoana na wana miaka mingi kwenye mahusiano.
Naongelea ambao hawajaoa Bado.
Waliopo kwenye NDOA wakabariki NDOA zao na maisha yaendelee,
Mbona hizo ni minor issues unaraise?