Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, wajua muungano ni wa damu na udongo kwahiyo ni wa mileleJe unajua kuwa hakuna hati ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar?
nyoka yupi 😂😂😂😂😂Je wajua kuwa wanawake wakiwa kwenye hedhi wana uwezo mkubwa wa kuhisi uwepo wa Nyoka.
[emoji23][emoji23]hizi hila hata sio bure.
Namba sita na kumi naweza kuchagua kwa kujicomit suicudeJe wajua vitu vifuatavyo haujavichagua katika maisha yako:-
1. Wazazi wako,
2. Jinsia yako,
3. Jina ulilopewa na wazizi wako,
4. Race yako (Yaani kua Mhindi, Mzungu, Mwarabu au Muafrika),
5. Bara, Nchi , Mji au Hospitali au Sehemu Uliozaliwa,
6. Siku ya Kufa.
7. Mtoto utakae Mzaa,
8. Umbile lako, yaani Urefu au Ufupi,
9. Umri utakao ishi Duniani na
10. Maadui zako.
UranusMasika ya mwakani, Jupiter patanifaa sana
Hao wengine ni imaginary creature ,they doesnt existJe unajua binadamu ndie kiumbe pekee anaeishi rohoni na mwilini. Viumbe wengine kama majini na malaika wanaishi rohoni pekee.
Hao wengine ni imaginary creatures ,they doesnt existJe unajua binadamu ndie kiumbe pekee anaeishi rohoni na mwilini. Viumbe wengine kama majini na malaika wanaishi rohoni pekee.
Malaria hii hii ambayo huwa tunaumwa hata hatunywi dawa inapona yenyeweUnajua kwamba nusu ya binadamu wote waliokufa Duniani wamekufa kwa maralia.
Wanawake binadamu au viumbe wote wa jinsia ya kikeMwanamke anapokuwa anajifungua maumivu yake ni sawa na kuvunjika mifupa 20 kwa wakati mmoja.
Women are champions. Then bado tunafikiri wanaume ni imara.
Wanawake ndio wengi tangu mamilioni ya miaka kabla mtume hajazaliwa hiyo ni kisayansi/ biology.Je wajua kuroan ndicho kitabu pekee cha dini kinachozungumzia kwa ufasaha yaliyopita yaliopo na yajayo?
mf;kuruhusu ndoa ya wake 4,iliona wanawake watajakuwa wengi baadae,ilihali wakati ikiyaruhusu hayo wanawake hawakuwa wengi kiasi hicho..!na mengine mengi mnooo..
Kwa maana hiyo leo ukienda israel hutaikuta hiyo sehemuJe wajua kuwa:
Hakuna eneo lililowahi kuitwa NAZALETI katika dunia ya uhlisia tofauti na kwenye Biblia??
Hi ni kutoka kwa mtunza maktaba mkuu wa VATICAN