Sawa mkuu. Tuishie hapa, maana mimi nasoma tu kwenye vitabu. Asante kwa ufafanuziMkuu siwezi endelea bishana na ww, taarifa fupi nikupe wildlife nikazi inayonipatia mkate wangu wa siku kwa siku, sisomi kwenye vitabu wala siangali docomentary kwenye tv, nimefanya kazi kwenye mradi wa simba in selous kwa miaka 2 na nina uzoefu wa kufanya kazi ya wildlife for 15 years now...kwa zaidi ya miaka15 naishi nikitegemea wildlife, ungeuliza swali ningeweza kukujibu lakin kwa stail ya kubishana siwezi samahani sana
tunajua simba ni mfalme wa nyika lakini inasemekana hana ujanja kwa wanyama wafuatao yaani hana ubavu wa kupambana nao akiwa peke yake yaan fight ya one to one, wanyama hao ni TEMBO,KIFARU,KIBOKO,CHUI NA NYATI. ila kama anayefahamu zaidi kuhusu hii issue karibu atujuze hapa
Simba dawa yake ni Libolo tu
Polisi nimekuwa much interested na jibu lako, naweza kujua ni kwanini Hawa Mikia wa Msimbazi hawafukuti kwa Mbwa Mwitu?
Sawa mkuu. Tuishie hapa, maana mimi nasoma tu kwenye vitabu. Asante kwa ufafanuzi
Hi ya mbwa mwitu ni kweli kabisa,ila sijui ni kwa nn .
ha ha ha wanaoona kwenye movie wanabishana na wataalamu. hii ndo bongo. watu wanajifanya wajuaji kumbe weupe. ishu kama huna uhakika nayo ni vizuri ukaacha wenye utaalamu waelezee. Kusikiliza na kusoma unaweza kujifunza mengi zaidi. Sasa we mtu unashindia magazeti ya Shigongo kutwa nzima halafu kila kitu unakijua si wehu huo
Kabla Hujachangia Uzi Huu inabidi uwe vizur kwenye tabia za wanyama, wengi mnadanganya ingawa watanzania ndio wenye uwanja mpana wa kujua wildlife kwan ndo nchi ya pili yenye vivutio vingi vya kitalii duniani ikitanguliwa na brazil, ikiwemo hifadhi ya SERENGETI Ambayo wazungu wanaita "urithi wa dunia" mtoa mada si mzalendo kwa kutojua haya. Sifa za wanyama ulizozitoa katka thread yako zinaonesha ni jinsi gani elimu ya viumbe hai na maliasili ya nchi yalivyokupita mbali. Hufai kuishi Tanzania.
Kadanganyaje wakati kasema " inasemekana"Mtoa Mada Amedanganya umma, buffalo/nyati ni the most dengerous animal in Africa, Simba ni sisimizi kwake. Pia Chui si tishio kwa simba, yupo group moja na simba (group of cat) na simba ndiye the big cat in Africa (ukimwondoa tiger ambaye hapatkani Africa), chui hata wakiwa 20 na simba mmoja, atawauwa wote ingawa ki uhalisia huwa hawakutani katka mawindo kwan chui hutumia muda wa usiku katka mawindo na simba hupendelea kuwinda mchana.
Ila fisi komesha, hakuna mzoga ambao hali yani hadi kivuli chake ye anabwenga tu.
Hta mi nina Mashaka maana nawaonaga kila siku hao nyati wakikimbizwa na simba na kisha kuliwa yaani hata ubavu wa kupambana na simba hawana,hii huwa inaoneshwa sn kene animal documentaries
Sikuwahi kujua kuwa Simba anakula Chui,carnivorous kwa carnivorousNinamkanda chui analiwa live
menyewe meshangaa hadi kinyaa.Sikuwahi kujua kuwa Simba anakula Chui,carnivorous kwa carnivorous
Wewe pia muongo umeongea kwa hisia.
Kwanza simba mmoja hawezi shindana na chui 20, haiwezi tokea kwakua chui wanaishi mmoja mmoja ukiona wapo wawili au zaid ni mama na watoto, au dume na jike kwa dhumuni la kupandana tu, na kama itatokea simaba hatoweza simama hata ndani ya dakika moja, ulivyoambiwa most dangerous animal in Africa haina maana aliwi au auliwi na simba, kwa taarifa yako buffalo ndio chagua no1 la pride za simba
yees, ..kwanza binadamu hayuko kwenye menu ya simba isipokua yanga tu ndio wapo kwenye menu ya simba.Bila kumsahau binadamu.
Mkuu hizo sifa unazompa chui/leopard nadhani unamfananisha na duma/cheeter, chui hukamatwa kwa urahisi sana hata na mbwa wa kufugwa, 2011 kuna chui alijilengesha hapa kwenye mifugo yangu ndan ya fence usiku, aliuawa kirahisi tena na mbwa mmoja. Mbugani pia chui akihisi makazi yake yapo karibu na pride ya simba anahama, hana uwezo kabisa hata wa kupambana na ndama la simba Au Simba Mgonjwa.