ndio utujulishe sasa.Je wajua kuwa Wanahanga hawaruhusiwi kula maharage muda mfupi kabla ya kuingia ktk space? Unajua kwanini?
ndio utujulishe sasa.
Je unajuwa zanzibar ni dola kamili?
Je Wa Jua?
Mwanadam Anapo Amshwa Akiwa Amelala Usingizi,pindi Ilekitendo Cha Kustuka, Ubongo Wake Unazalisha Umeme Mkubwa Kiasi Cha Kuunguza Glop Ya Tochi Kama Ingeunganishwa Na Ubongo