Je, wajua? - Special Thread

Nipe siri ya mafanikio yakuwa young forever madam.

Vipi nae bibie manengelo ni forever young au forever old...[emoji1787][emoji23][emoji23]?


Mie ukinikuta maeneo ya chuo chcht huwa wanajua mie dent...niweke club nafit..niweke beach nafit.....niweke kwa madada wa mujini nafit...niweke as a modern woman nafit...!niweke km hustla wa mwendo kasi nafit💃💃💃!
 
Mie ukinikuta maeneo ya chuo chcht huwa wanajua mie dent...niweke club nafit..niweke beach nafit.....niweke kwa madada wa mujini nafit...niweke as a modern woman nafit...!niweke km hustla wa mwendo kasi nafit[emoji126][emoji126][emoji126]!
Aiseee popote uwekwapo basi naaaam!!!!!

Hongera sana madam.

Kwani wewe wa kwenye picha hapo.?
 
Je wajua kuna wimbo wa taifa la chattle unatungwa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…