Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Haya sasa ndo maneno, tufanyeje tuwapate hao nyangumi wanaonyonyesha? Ukiwa nao kumi tu unalisha maziwa bongo nzima! Au maziwa yao ni ya blue?!Je wajua nyangumi huzaa na kunyonyesha si chini ya lita 500 kwa siku
Amemaanisha ya kuwa, msenge sio lazima afirwe kuna baadhi ya wasenge huwa hawafirwi.Hapa sijaelewa
Kwa hiyo hata mwanamke anayeingiliwa kinyume na maumbile naye anaitwa msenge?Amemaanisha ya kuwa, msenge sio lazima afirwe kuna baadhi ya wasenge huwa hawafirwi.
Nafikiri amechanganya kati ya Khanisi/Hanisi na msenge.
Khanisi ni yule ambae ana matatizo ya kimaumbile yaani Uume wake hausimami na msenge ni yule ambae anaingiliwa kinyume na maumbile
NdioKwa hiyo hata mwanamke anayeingiliwa kinyume na maumbile naye anaitwa msenge?
3/4 ya ulimwengu na maisha ya mwanadamu pia ni majiJe wajuwa asilimia 85 ya ubongo wa binadamu ni maji? kama ulikuwa hujuwi sasa umejuwa.
Je wajua Adolf Hitler alikuwa na p*mbu Moja?
Wacha weee hilo ni tatizo kwakwelJe wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?
Usigandishwe.Je wajua huu uzi unatakiwa uwe sticky!!