Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

-Bernacle(mdudu wa baharini) ndio kiumbe mwenye mbo.o ndefu kuliko wote duniani. Ana dudu la yuyu lenye urefu karibu mara 40 ya urefu wake....kwa binadamu cjui sie wenye urefu futi6 kasoro tungekua tunavuta mzigo wa futi240( mita 70+) kwenye toroli teh teh
Mtaalam wa mb. O. O
 
Je wajua kwamba Tanzania [emoji1241] ina misitu na misitu mataji wazi ina ukubwa wa hekta milioni 48, ambapo ikigawanywa kila mtu anaweza kupata hekta moja???
 
Ni viumbe watatu tu Duniani wanaofanya sex kwa ajili ya starehe... Binadamu, Bonobo, na Dolphin.
Wanyama wengine wote wanafanya mapenzi kwa ajili ya kuzaliana tu.
 
Je unajua binadamu ndie kiumbe pekee anaeishi rohoni na mwilini. Viumbe wengine kama majini na malaika wanaishi rohoni pekee.
 
Je wajua kuna kimondo kinaitwa Psyche, ambacho kimeundwa kwa madini ya dhahabu, chuma, nikeli na platinum... Kinakadiriwa kuwa na thamani ya $700 quantillion! Ambapo kikiletwa duniani na kugawanywa kwa idadi ya watu wote takribani billion 7, kila mtu anakuwa billionea! Kipo kati ya Mars na Jupiter na wanasayansi wanategemea kupeleka satelaiti ifikapo 2022 na kuwasili 2026. Mpaka sasa hakuna project ya kuchimba vimondo ila inatarajiwa kufika 2030 kutakuwa na kampuni ya kufanya kazi hiyo (Asteroid mining company)...

manengelo
At least maswala Kama haya na sio wajinga wengine kila uzi wanaleta siasa,acheni uchoko wengine hawapendi siasa izo
 
Ni viumbe watatu tu Duniani wanaofanya sex kwa ajili ya starehe... Binadamu, Bonobo, na Dolphin.
Wanyama wengine wote wanafanya mapenzi kwa ajili ya kuzaliana tu.
Bonobo ndo kiumbe gani
 
Unajua kwamba nusu ya binadamu wote waliokufa Duniani wamekufa kwa maralia.
 
Bonobo ndo kiumbe gani
Hawa hapa
Screenshot_2019-07-12-23-14-13.jpg
 
Je wajua wote walioandika humu yasiyojulikana nao pia hawakuwa wakijua, na walichokiandika nao wamesimuliwa.,?
 
Je wajua!!? Tanzania ndio nchi pekee duniani iliobarikiwa kuwa na team mbovu ya mpira wa miguu kuliko nchi yeyote ile ulimwenguni..
 
Back
Top Bottom