young_stunner
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 374
- 551
Mbna kibiti imewashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna hoja in bora kukaa kimyaNguvu za kijeshi za wapi? Wamepigana na taifa gani mpaka wajiite wana nguvu za kijeshi ukanda huu wa maziwa makuu? Vibaka tu wa amboni wamewashindwa
Kibiti na Rufiji wanajeshi wamejaa kibao lkn hakuna kitu mauaji yanendeleamkuu hujui historia ya TZ? tuliwashinda Waganda na Idd Amin Dada. tuna majeshi kulinda amani kama nilivyosema kwenye uzi, au hujausoma wote?
Kibiti vip si wanajeshi wapo kibao mbona watu wanauwawa kila kukichacheck na hii: chuo cha kijeshi cha MONDULI ni cha kimataifa hadi SOUTH AFRICA inaleta wanafunzi pale. majirani ndo kabisa, karibu kila mwaka tunapokea madent wao wa kijeshi.
Bila jeshi la ardhi huwezi kumaliza vita hata siku moja...... utaishia kuporomosha maghorofa na kuharibu vifaru lakini adui yako atabaki pale pale .Karne hii unasema jeshi la ardhi technology iliyokua hivi jeshi la Ardhi teh teh [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikisema sijui nitakua nimekubali kwamba tunanguvu, ila nasema hamna na tena haitatokea kwasababu sisi ni vimbelembele kwenda kuuliwa huko.Mwingereza alipotawala nchi za Afrika Mashariki aligawa nguvu za kijeshi kama ifuatavyo:
1. TANZANIA ikawa ngome ya jeshi la ardhi na hivyo ikaongoza kuwa na vifaa vingi vya ardhini mf. vifaru, magari mbalimbali ya kivita na mizinga.
2. KENYA ikawa ngome ya jeshi la maji na hivyo ikaongoza kuwa na meli na boti nyingi za kivita.
3. UGANDA ikawa ngome ya jeshi la anga na hivyo ikaongoza kuwa na ndegevita.
ktk vita kati ya TZ na UG tulifanikiwa kutungua ndege nyingi za UG na hivyo wakapungukiwa ndege nyingi.
Kwa kuwa jeshi la ardhi kwa nchi nyingi maskini ndiyo dili kwani vifaa vyake vingi vina unafuu ktk kununua na kuvitunza. Pia Kenya imedhoofika sana na AL-SHAABAB ktk vita wanavyopambana.
Jeshi letu tangu vita vya UGANDA limekuwa na nafasi kubwa ya kujijenga na kujiimarisha kwa msaada wa pekee kutoka CHINA na hata nchi za ULAYA NA MAREKANI na ndiyo maana mwaka jana pale uwanja wa Taifa ilizinduliwa ndege ya kisasa ya kivita ambayo Afrika nzima tunayo TZ na SOUTH AFRICA pekee.
Ndiyo maana tunaombwa sana kulinda amani nje ya nchi kama DARFUR, CONGO DRC na LEBANON.
VIVA JWTZ
Acha Ubishi....hata US anakua na washirika wake katika vita....kama ambavyo kenya ana washirika huko Somalia lakini hamna lolote. TPDF tupo vizuriIle vita ya kagera tulisaidwa na majeshi mbalimbali wakiwemo waganda wenyewe, sisi peke yetu hatujawahi kupigana peke yetu