Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

Kweli kuwa Mtanzania sio kazi, Kazi kuwa mzalendo.

Kuona waTz wenzangu wanaliponda Jeshi letu ni aibu kubwa sana hasa mitandaoni ambapo aweza ingia mtu yoyote kutoka nchi yoyote akajionea aibu yetu hii. Very diaspointed[emoji19]
 
check na hii: chuo cha kijeshi cha MONDULI ni cha kimataifa hadi SOUTH AFRICA inaleta wanafunzi pale. majirani ndo kabisa, karibu kila mwaka tunapokea madent wao wa kijeshi.
Kibiti vip si wanajeshi wapo kibao mbona watu wanauwawa kila kukicha
 
Mwingereza alipotawala nchi za Afrika Mashariki aligawa nguvu za kijeshi kama ifuatavyo:

1. TANZANIA ikawa ngome ya jeshi la ardhi na hivyo ikaongoza kuwa na vifaa vingi vya ardhini mf. vifaru, magari mbalimbali ya kivita na mizinga.

2. KENYA ikawa ngome ya jeshi la maji na hivyo ikaongoza kuwa na meli na boti nyingi za kivita.

3. UGANDA ikawa ngome ya jeshi la anga na hivyo ikaongoza kuwa na ndegevita.
ktk vita kati ya TZ na UG tulifanikiwa kutungua ndege nyingi za UG na hivyo wakapungukiwa ndege nyingi.

Kwa kuwa jeshi la ardhi kwa nchi nyingi maskini ndiyo dili kwani vifaa vyake vingi vina unafuu ktk kununua na kuvitunza. Pia Kenya imedhoofika sana na AL-SHAABAB ktk vita wanavyopambana.

Jeshi letu tangu vita vya UGANDA limekuwa na nafasi kubwa ya kujijenga na kujiimarisha kwa msaada wa pekee kutoka CHINA na hata nchi za ULAYA NA MAREKANI na ndiyo maana mwaka jana pale uwanja wa Taifa ilizinduliwa ndege ya kisasa ya kivita ambayo Afrika nzima tunayo TZ na SOUTH AFRICA pekee.

Ndiyo maana tunaombwa sana kulinda amani nje ya nchi kama DARFUR, CONGO DRC na LEBANON.

VIVA JWTZ
Nikisema sijui nitakua nimekubali kwamba tunanguvu, ila nasema hamna na tena haitatokea kwasababu sisi ni vimbelembele kwenda kuuliwa huko.
Pia sisi hutumika km chambo tu ndio maana wengi wakienda huko hurudi mizoga
Vile vile tunaweza kuzuia marumbano sio vita kwa mifano hai Marumbano ya Mbeya vikosi na midege ya kivita ilipiga kambu mienzi 3, Mtwata jeshi lilipiga kambi miaka 3.
Kwaujulma tunaweza na tunayo makambi ya kucheza bao na Drafti tu.
Kibiti sijaona wakionesha uwezo wao. Nawaza kwa maandishi mjue
 
Ile vita ya kagera tulisaidwa na majeshi mbalimbali wakiwemo waganda wenyewe, sisi peke yetu hatujawahi kupigana peke yetu
Acha Ubishi....hata US anakua na washirika wake katika vita....kama ambavyo kenya ana washirika huko Somalia lakini hamna lolote. TPDF tupo vizuri
 
Back
Top Bottom