Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Kumekuchaaa, wasukuma tuungane...
Simoooooooo...πŸƒβ€β™‚οΈ

Nafikiri CCM kwa makusudi hawalitaki jimbo la Kawe. Haya ni maamuzi wengi hatukuyatarajia.

Everyday is Saturday... 😎
 
Wote nyie ni wale wale! Mnataka kura za Waislam kwa maslahi yenu. Waislam sio kondoo wanajitambua!
Hivi hawa waislam, wana mchango gani katika taifa ambao ni zaidi ya Watanzania wengine wasio waislam ambao ni wengi zaidi?

Kwa nini uislam umejaa sensitivity na malalamiko hata pasipo sababu?

Ni mfumo gani ndani ya nchi ambao umewabagua waislam kwa kuwa ni waislam?

Ni nani aliyetendewa vibaya kwa sababu ya kuwa na dini ya uislam?

Historia inaonyesha miaka ya nyumba Tanzania iliwahi kuwa na viongozi wakuu wa nchi Waislam ambao walipigiwa kura na watu wa dini zote na waisokuwa na dini. Kwa nini husemi kwamba walitumia kura za watu wasio waislam kwa maslahi yao?

Naomba utafute maarifa ambayo yanapatikana kwa kumcha Bwana, kuliko kuongozwa na hisia zitokanazo na hofu ya udogo wa kiwango.

Jitahidi kuwa Mtanzania anayejali utaifa badala ya ubinafsi na ubaguzi.
 
πŸ˜„πŸ˜„ Sawa mkuu, amekusikia, lkn hii yote ni Kwa sababu kachukua fomu kwenye timu usiyoipenda,

Kama sio wivu tuiteje sasa, rejea ulivyokuwa ukimpamba kipindi cha Lowasa
 
πŸ˜„πŸ˜„ Sawa mkuu, amekusikia, lkn hii yote ni Kwa sababu kachukua fomu kwenye timu usiyoipenda,

Kama sio wivu tuiteje sasa, rejea ulivyokuwa ukimpamba kipindi cha Lowasa


Mkuu, mimi sipendi watu wabaguzi.
Mtu akiwa mbaguzi dawa yake ni kumbagua. Wala usijpendekeze naye.

Lowasa nilimchinjia baharini kwa sababu nyingi tuu,
Huyo Gwajima hata angekuwa ndiye Malaika wangu ningemkataa, ningemuambia Mungu ni bora kubaki bila ulinzi kuliko malaika kama Gwajima
 
wewe ndugu ni mpumbavu tu kama walivyo wapumbavu wengine jana lilipotajwa jina la gwajima tu ukaandika unafanya kampeni mtu kwa mtu ili tu asipite kisa mkristo sasa amini usiamini huyo ndiyo mbunge wenu
 
Yaani usione Gwajima ndie mchochea chuki za udini halafu uje uone mleta mada ndie mchochezi? Yaani usiwashangae CCM wanaomteua mtu anayechochea udini na ukabila, unakuja kumuona mleta mada wa JF?!

Hivi nyie watu mmerogwa, au?!
Misikiti kugeuzwa Sunday-school

Kauli ya udini hii mkuu
 
wewe ndugu ni mpumbavu tu kama walivyo wapumbavu wengine jana lilipotajwa jina la gwajima tu ukaandika unafanya kampeni mtu kwa mtu ili tu asipite kisa mkristo sasa amini usiamini huyo ndiyo mbunge wenu

Naomba nisikujibu kuhifadhi heshima ndogo uliyonayo.

Ila ushauri, soma content uielewe ndio uchangie,
Nitashukuru ukinisikiliza kama unayoakili, karibu Mkuu
 
Uzi unachochea watu kama Gwajima wanaoendekeza ubaguzi wa dini na ukabila wasipewe nafasi kuongoza watu.

Uzi huu ni wakichochezi kama ulivyosema, lakini unachochea nini?

Hapo ndio unapaswa kujiuliza
Misikiti kugeuzwa Sunday-school

Kauli ya udini hii mkuu
 
Mie kwangu Gwajima sio; nabii, sio mtume wa Mungu, sio mjumbe wa Mungu hata chembe.
bali hutu mtu ni tapeli, msanii. mdanganyifu na muongo kupindikia!
'wanaosali' kwake ndio nawaonea huruma kwani sidhani kama wanajielewa vyema.
 
Mkuu Gwajima sio mtumishi wa Mungu hata chembe, huyu ni msanii na muongo kama walivyo 'wale wengine'! Siku ya kiama hawa ndio wanakuwa KUNI.
 
Misikiti kugeuzwa Sunday-school

Kauli ya udini hii mkuu

Wewe kauli ya kidini unataka iweje?

Misikiti kazi yake ni nini?
Misikiti wa wanaingia watu gani?

Sunday school kazi yake nini?
Sunday school wanaenda watu wa aina gani?

Mtu akitamka hadharani msikiti ataugezwa kuwa sunday School, tena mtu asiyeingia msikiti, asiyemuislam, huoni analeta mushkeli kwa waislam?

Ulikuwepo 2015?

Kama ulikuwepo basi naomba nisikujibu tena. Kama hukuwepo, basi nasikitika kujadiliana na mtoto
 
Gwajima akimalizana na Masheikh aende kwa Wakatoliki, aeleze kwanini alimsema Kadinali Pengo amekula maharage? hii kauli ilikuwa ya kumdhalilisha mtu binafsi, na taasisi anayoiongoza.
Wakatoliki ni watu wa vitendo zaidi hawana muda wa kujibizana na mtu, wao wanakuadhibu kimya kimya
 
Bishop. Gwajima ndiye mbunge mta
Acha propaganda, Bishop. Gwajima ndio mbunge mtarajiwa wa Kawe kwa taarifa yako. Upende usipende..
 
Misikiti kugeuzwa Sunday-school

Kauli ya udini hii mkuu
Sasa ni nani alitoa hiyo kauli kama sio huyo huyo Gwajima?! Ndo maana nimekuuliza how come unamshutumu mtoa taarifa badala ya kumshutumu ya kumshutumu Gwajima aliekuwa ameongea hadharani kuhusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa sunday schools huku akiapa lazima ndoto itimie?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…