Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Mara nyingi hupelekwa kuwa RSO's au DSO's au Wakuu wa Idara au hata kuwa Wakufunzi au hutupwa pia kuwa tu Wasimamizi wa Ikulu ndogo za Mikoani na hukaa huko huko tu.
Kati ya vyote hivyo ulivyotaja wapi kuna unafuu maana yale maposho posho ya Per diem enzi za Hayati JPM sio ya mchezo 😌
 
Huyo jamaa alikuwa askari polisi, kuna mishe alimsaidia Magu kwenye hard time otherwise Magu angekata kamba siku hiyo, baada ya hapo Magu akamuamini na kwenda nae white house.
Aliemsaidia sio huyo, ni yule anaemletea maji mara kwa mara akiwa jukwaani, usipike data
Huyo jamaa alikuwa askari polisi, kuna mishe alimsaidia Magu kwenye hard time otherwise Magu angekata kamba siku hiyo, baada ya hapo Magu akamuamini na kwenda nae white house.
 
Ana sifa zifuatazo:

1. Kunusa Hatari ( Machale )
2. Kujua Chakula chenye Sumu
3. Shabaha kwa umbali wowote
4. Karate Bruce Lee anasubiri
5. Ngumi za Kukudedisha kwa upesi
6. Ameiva kwa Pumzi na Mazoezi
7. Kama Chatu akishiba lazima atasinzia

Kazi kweli kweli ila ana Maadili na Msiri.
Hizo bado ni opinion..
 
Hajapewa U DC ( Ukuu wa Wilaya kama usemavyo ) bali amekuwa ni DSO ( Afisa Usalama wa Wilaya ) katika Mkoa Mmoja wenye Watu wanaoipenda na kuijua Hela kuliko Watanzania wengine wote. Na ana Asili ya Uzanzibari ambapo hata Kitaaluma ni Msomi mzuri tu mwenye Masters Degree yake.
Unamaanisha Manjaro au.
 
Huyo jamaa alikuwa askari polisi, kuna mishe alimsaidia Magu kwenye hard time otherwise Magu angekata kamba siku hiyo, baada ya hapo Magu akamuamini na kwenda nae white house.
Ongeza nyama mkuu tujifunze,alimsaidia wapi hayati?
 
Kaaeni kimya ,jeshi ni pana na ina majukumu kibao,na jeshi inaongozwa kwa sheria na utii.wanaomlinda rais anachaguliwa na wanaandaliwa kweli kweli, wako ndani ya jeshi na ni makamanda wenye ujuzi na mafunzo ya hali ya juu sana,narudia mafunzo ya hali ya juu sana na wako Smart kichwani na ni watu wa kusoma hatari na kujua na kuchukua tahadhari haraka sana.
Unamaanisha Jeshi lipi?
 
Back
Top Bottom