Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hata kimada?Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
Sina mkuuHuna hata kimada?
Ooooh sawa mkuu AKILI TATUMzee we unawenge la ngono...ukilala mwenyewe kipindi Hiko mbona ndio Raha...na kabaridi unaenjoy shuka linakuwa limepoa hakuna joto...full burudani yani...Kula kiasi...haswa.matunda kunywa maji yako ...tazama move za kutisha haswa zombie's zile patwa usingizi nenda kalale...full burudani yani
Wengine hawajui hata kulala.Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
Phoenix one🤣🤣🤣🤣Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
Unamaana gani mkuuWazungu waliposema "the grass is greener on the other side" unadhani walikosea?
Jitahidi upate baridi si nzuri sanaSina mkuu
When it is wet!Wazungu waliposema "the grass is greener on the other side" unadhani walikosea?
HaaahaaaaJitahidi upate baridi si nzuri sana
Usitutishe basiPole mkuu,but alone is better....saivi Kuna magonjwa ya ngoz kukumbatianakumbatiana
Haha kawetere na luanjiro sio baridi hili mkuuPole mkuu,but alone is better....saivi Kuna magonjwa ya ngoz kukumbatianakumbatiana
😂inapiga balaaHaha kawetere na luanjiro sio baridi hili mkuu
Asikuambie mtu😂inapiga balaa
Huna hata kimada?