Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee we unawenge la ngono...ukilala mwenyewe kipindi Hiko mbona ndio Raha...na kabaridi unaenjoy shuka linakuwa limepoa hakuna joto...full burudani yani...Kula kiasi...haswa.matunda kunywa maji yako ...tazama move za kutisha haswa zombie's zile patwa usingizi nenda kalale...full burudani yani
Kama wanapendana wanafaidi sana binafsi nikilala na mwingine tofauti na nimpendae sina Aman na silali vizur na simsogelei hata kidogo
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Tafadhali nielezee maana ya kauli hiyo mkuu... sikuwahi kuelewa hata siku moja maana ya maneno hayo na wala sikuwahi kujihangaisha kujua.Wazungu waliposema "the grass is greener on the other side" unadhani walikosea?
Yaan kumpa nampa lakin baada ya hapo Sina connection nae Kama kumlalia au kuniwekea mguu hizo pigo sinaHata ukiwa na ugwadu
Ewe Kijana usioeHasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
Kijana wa hovyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawetere pale wale watu wana survive vipi ile baridi sio poaHaha kawetere na luanjiro sio baridi hili mkuu
Tunaishi mkuu hakuna namba Ni mablanketi mazito suruali tatu na makoti mawili na mizura juu.Kawetere pale wale watu wana survive vipi ile baridi sio poa
Inasikitisha sana. Wanawake wakishaolewa wanatumia mbususu kama silaha ya kuwaadhibu waume zao kwa kuwanyima unyumba.Kwamba hujawahi kusikia wanaolia kunyimwa unyumba hadi kupelekana madawati ya jinsia na kwa viongozi wao wa dini? Wengine wameoana na unyumba wsnausikia kwa jirani tena kila mmoja na chumba chake