Je, waliooana wanakula bata sana kuliko sisi tunaolala kama baiskeli imepaki? Uzoefu wenu tafadhali

Je, waliooana wanakula bata sana kuliko sisi tunaolala kama baiskeli imepaki? Uzoefu wenu tafadhali

Kwamba hujawahi kusikia wanaolia kunyimwa unyumba hadi kupelekana madawati ya jinsia na kwa viongozi wao wa dini? Wengine wameoana na unyumba wsnausikia kwa jirani tena kila mmoja na chumba chake
 
Mzee we unawenge la ngono...ukilala mwenyewe kipindi Hiko mbona ndio Raha...na kabaridi unaenjoy shuka linakuwa limepoa hakuna joto...full burudani yani...Kula kiasi...haswa.matunda kunywa maji yako ...tazama move za kutisha haswa zombie's zile patwa usingizi nenda kalale...full burudani yani

[emoji1787][emoji1787]akili 3
 
Wazungu waliposema "the grass is greener on the other side" unadhani walikosea?
Tafadhali nielezee maana ya kauli hiyo mkuu... sikuwahi kuelewa hata siku moja maana ya maneno hayo na wala sikuwahi kujihangaisha kujua.

Mara ya kwanza kulijua na kusoma neno hilo ni kwenye nyimbo moja ilikuwa pendwa sana kwa upande wangu ingawa yeye alisema "grass ain't greener" ya bwana mmoja akiitwa "Chris brown" 😁👍🏾.... nipe madini mkuu kama hutojali
 
de7c19ab-5202-4076-920d-12bedf6d76a3.jpg
 
Usingo samtaimu ni upuuzi hauna tofauti na panga lililolala nje baridi ni -3000c° na kutu juu.
N.B:Tutafute pesa tuoe.
 
Raha sana....hamna haraka usiku kucha wenu na kesho tena

Masaa mawili touchings
 
Jela kwani?
Utalalaje na mtu usiyempenda?
Sijawahi kusikia jambo hilo.
 
Kwamba hujawahi kusikia wanaolia kunyimwa unyumba hadi kupelekana madawati ya jinsia na kwa viongozi wao wa dini? Wengine wameoana na unyumba wsnausikia kwa jirani tena kila mmoja na chumba chake
Inasikitisha sana. Wanawake wakishaolewa wanatumia mbususu kama silaha ya kuwaadhibu waume zao kwa kuwanyima unyumba.

Halafu cha ajabu kuna mwamba anamega kisela tu yaani.
 
Back
Top Bottom