Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.
Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.
Uhai = roho = mind, mind ina uhusiano wowote na ubongo?Mimea ina uhai. Uhai ni spirt ambayo ni roho. Roho ni mind.Specifically ni subconsious mind
They create themeselves they live they die and they regenerat . Hili ni somo kuu ambalo sio rahisi kuelezea hapa
Nani kakwambia!
Your posts don't add anything, answer anything, or shed any light on anything.Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.
Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.
You don't have to change the topic. Guys, grow up and debate the right way and not changing the topic/thread.Unajuaje kwamba tulikuwa popote kabla ya kuzaliwa?
Bakia kwenye mada.Hivi mi na wewe nani mwenye maswali na majibu ya hovyo?
Kutokunijibu ama kujibu haitanisaidia kwa maana huwa unajibu usichokijua.
God is Spirit, inter-alia, do animals and trees/plants have "roho"?How dd you know that god is a soul ?.!
Eiyer roho ni nini???
Non theism is faith of believing in No GOD. Refute if you can.Aisee yaan huyu jamaa anategemea mungu wake (kama yupo)aje kuumba tena.Hakuna ugonjwa mbaya kama wa IMANI
Hivi mi na wewe nani mwenye maswali na majibu ya hovyo?
Kutokunijibu ama kujibu haitanisaidia kwa maana huwa unajibu usichokijua.
Roho ni nini?
Soul ni roho
Spirit ni nafsi
Usichanganye hayo mawili ...!!
Sir Eiyer,Dawa yenu,
Mungu hadi leo anaumba lakini sio direct bali anaumba indirect
Utaratibu ni ule ule ambao ulifanyika kwa adam lakini leo ni kwa njia tifauti kidogo ambayo ni kwa kujamiiana
Binadamu wanapojamiiana hutoka manii ambayo ni matokeo ya vyakula tulivyokula na vyakula ni matokeo ya udongo
Kwahiyo unaweza kuona jambo ni lile lile ila ni kwa namna nyingine tu!
Ndio maana 'wasomi' huwa kwanza wanafanya definition. Mie bado najiuliza:
"Soul" ni nini hasa? Ndio "roho" kwa kiswahili?
"Spirit" ni nini hasa? Ndio "roho" kwa kiswahili?
"Uhai" ni nini?
"Nafsi" ni nini?
"Roho" ni nini hasa?
"pepo/mapepo" nayo ni nini?
"Wanyama" ni nini? (binaadamu ni mnyama?),
"Mimea" ni nini hasa?
Now where is your evidence to justify non theism?
Or is your non theism just mindless?
Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.
Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.
Hey damsel:hand:
Right on ........Mkuu,
Ngoja nikuambie kitu
Roho na nafsi ni vitu viwili tofauti kabisa
Roho ni spirit
Nafsi ni soul
Hili ni tatizo la wengi na wengine wanabisha huku wakiwa sahihi bila kuwa na sababu
Kwahiyo mkuu wanyama wanaweza kuwa na uhai na wasiwe na spirit ila wakawa ni nafsi hai [soul]
Jambo hili tulishalijadili sana hapa : https://www.jamiiforums.com/dini-im...yansi-kutokuwa-ndio-mamlaka-ya-mwisho-21.html
Kama huna access kwenye jukwaa la dini muombe Invisible kwa kumtumia PM na atakupa na utajionea mengi humo kwa faida yako!
If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?
Answer the questions