Je, wapinzani ni wakombozi?

Je, wapinzani ni wakombozi?

Mods, hii inafaa kwenye udaku..

no hii isiende kwenye udaku hii pahala pake ni hapa kuangalia ambao wanasema tuwaachie nchi ili waweze kutuletea maendeleo


mwiba njoo mutueleze kulikoni huyu bibi akawa nalala lala ovyo ?


na kwa nini macuf kule pemba tukea mkamate majimbo hambadilishi na kuweka damu mpya ? au nanyinyi mna kaufisadi huko na udikteta?
 
jamani Huyo Mama Ajalala Anawaza Jinsi Ya Kumjibu Mama

@@@@anna Pius Msekwa Abdallah@@@@@@

Inaonekana A Amekuwa Shocked Na Maneno Ya Yule Mama

Moyoni Nahisi Anamjibu Kalale Na Mumeo Usitupoxze Muda Bungeni

Anfikiria Jinsi Ya Kuitoa Na Spika Amlinde Kwa Hilo Apati Jibu

Bigup Mama !!!!!!
 
PROPAGANDA MACHINE!
KILA KITU KILIKUWA WAZI MWACHE MAMA WA WATU ALIVYO.
KILA MTU ALKUWA AKIJUWA ccm WATAIPITISHA BAJETI HIYO YA KIFISADI!
NA WAPINZANI WAO TAYARI WALIKUWA WAKISIKILZA KAMA NYIMBO HUKU WAKISUBIRI KUPIGA KURA WALIYOKUBALIANA YA KU ABSTAIN!
SASA MBONA HUKUMTAJA CHEYO ALIYEPIGA KURA MOJA NA MAFISADI!
WANA JF KUWENI MAKINI KUNA THREAD NYINGI ZA PROPAGANDA HAPA NDANI!
PROPAGANDA MACHINE ON ITS WORK.

Wapinzani nao wanakosea pia, hapa mzazi wetu na kiongozi wetu hy kachemsha peupee, ile da! sijui nielezeje ila inaonekana UMRI unachangia mama yetu kuchoka lanbda miguu inakufa ganzi au inavimba akikaa muda mrefu,wampunzishe wampe CUF kijana, na pia budget itakuwa ilimboa.
 
mbona spika huwa halali?
kama alikuwa kweli amelala, then anazidi kuikwaza nguvu ndogo iliopo kwenye bunge ya upinzani, hafai tena,
ila naelewa umuhimu wa kuweka miguu juu baada ya muda wa kukaa kwenye kiti, huwa inavimba hasa kwa watu overweight, circulation inapungua. Ni tatizo la kiafya kwa wamama watu wazima.
 
jamani Huyo Mama Ajalala Anawaza Jinsi Ya Kumjibu Mama

@@@@anna Pius Msekwa Abdallah@@@@@@

Inaonekana A Amekuwa Shocked Na Maneno Ya Yule Mama

Moyoni Nahisi Anamjibu Kalale Na Mumeo Usitupoxze Muda Bungeni

Anfikiria Jinsi Ya Kuitoa Na Spika Amlinde Kwa Hilo Apati Jibu

Bigup Mama !!!!!!

I like that!!!!
 
Jamani huyo mama hajalala someni maelezo yake pale chini anafwatilia hoja mbali mbali kwa umakini kutoka kwa wabunge wenzie.
Semeni kosa alilofanya ni kuweka miguu juu ya kiti yaani amestarehe mzigoni tutawaelewa.
 
mama keshakuwa mtu mzima. na kapigania sana siasa huyu. 2010 mwacheni apumzike.
akka mtu mpaka atoke roho bungeni!!
 
Ni yeye peke yake alikuwa amelala?


1875169.jpg

National People's Congress in Beijing​
"China is a sickly sleeping giant. But when she awakes the world will tremble," attributed to Napoleon I (1769-81) by Lord Amherst (1773-1857)



Gordon Brown Participates In UN Security Council Debate
Picha ya juu yake.





.
 
Jinsi alivyokaa sidhani kwamba alifanya hivyo wakati kikao kinaendelea. Inaelekea ilikuwa wakati wa mapumziko. Nadhani pia spika angekemea kitendo hicho.
 
wengi hapo wanalalaga sana. kiufupi wengi wanakuwa wamechoka. wamechokea nini? wengi wao wanakuwa wamechoka kwa shuguli za jana yake usiku(kama ujuavyo, mida ya bunge kama hii dom kule dadapoa wanasafiri hadi toka mwanza hadi dom kwaajili ya kuwafurahisha hawa mabwana. wao pia ni binadam, kimbundembunde kama kilizidi spidi lazima kesho yake asinzie tu bungeni kama ilivyo kawaida ya wengi kusinzia makazini. wala hili si ajabu! vilevile, kuna serengeti boys wengi hupanga vyumba kule pia. Lakini huyu mama naona anaonekana muislam mzuri, hivyo hawezi fanya hivyo, labda alikuwa amechoka jana yake alisoma sana majarada mbalimbali kujiandaa kuwaswaaalika mawazili bungeni. ashakum si matusi lakini. ila ukweli ndo huo.
 
mchezo gani miguu vitini....? tunajua wababa wanavyolala ni kutokana na kutokwenda na wake zao huko( kwani hukesha...) sasa na akina mama je.....?
MTIKILA IBUA HOJA KILA AENDAYE HUKO AENDE NA MWANANDOA WAKE....!
(Maana hoja tata/nzito/ngumu zenye manufaa wengine hawaziwezi)
 
Well, labda wengine mnatumia binocular, lakini mie sioni kama macho yamefumba, ninacho ona kanyosha miguu baada ya kujaa kutokana na kukaa muda mrefu! labda kama hiyo ndo hoja.
 
kule dom, wabunge wengi tu wanawake, wanatembea na serengeti boys, kama hauamini nenda kafanye uchunguzi. kisa nini? huo ndo muda wao muafaka wa kufurahia, kwani wakirudi majumbani kwao, wanaume wao wamejaza tu mavitambi na mafutamafuta, hata hawawezi kudandia. wanawake wenyewe wamejaa mavitambi na mafuta akikudondokea walai unaweza pasuka pwaaa, manake kazi yake ni kula, kulala, kuongea na kwenda.... tu. hawafanyi hata mazoezi. wakienda bungeni pia hamna wanalofanya zaidi ya kulala tu. hivi mnajua hasara za kulala hadharani? unaweza ukajisitukia umejamba kwa nguvu sana, hata mle bungeni, ukawa umeuza heshima yako mbele ya wabunge..hahahaha. wabunge wetu wanalala sana, na wanaendekeza sana hawa. watoto wa cbe pale dom ndo wanaweza hata wakajenga majumba miezi hii.
 
sina haja ya kumtetea, ila penye haki nitasema. Maelezo ya hiyo picha ambayo aliyeileta naona kaitoa katika gazeti la Majira ni kuwa anafuatilia hoja mbalimbali za wabunge waliokuwa wanachangia bajeti ya PM. Sasa aliyempiga picha kaandika alikuwa anafuatilia, anayeleta humu anasema "wapinzani nao wachapa usingizi bungeni". Inashangaza na watu bado wanajadili uzushi.

Labda tatizo kuweka miguu juu ya viti. Lakini kama mtakumbuka siku chache nyuma Makamu Rais alipoenda India, alipotembelea hospitali ya Apolo, alipitia kumjulia hali huyu Mama, pamoja na mbunge mwingine Nyaulawa. Nahisi bado afya yake haijawa bora zaidi.
 
Mmeamliza kumchambua Bi Maghimbi ,huyo ni mwanasheria tena anaijua sheria vilivyo,as far as kuichunguza picha naona ni poor edited with more makosa ,kwa wale wenye utaalamu wa editing wanaweza kuona tofauti mara moja.
Nikiwasaidia kuwaondoa huko mlikoburuzwa.
Itazame rangi nyekundu ya kiti cha pili ambacho anaonekana kuweka miguu ,jinsi rangi ile ilivyooenea, na kupitiliza kwa mguu wake wa kulia na kukifanya mhusika aonekane ametoboa sehemu za pembeni za kiti , itazame sehemu ya chini kwenye mkono unaoning'inia utaona rangi nyekundu imeendela pale chini ya frame kilichotakiwa kwenye mkono ule na chini ya fremu ya kiti paonekane rangi ya mabao fomeka za deski lililopo na rangi nyeusi inayoshuka chini.
Zaidi utazame mguu wa kushoto ambao unyayo umeonekana vizuri sana ila ukiufatilia mguu utaona rangi ya kivuli cha meza imeendelezwa na kupakwa hadi kwenye kisigini na kugusa fremu ya kiti kwa mbaali.
Kama haitoshi ukijaribu kufuatilia urefu wa magoti utashangaa huyu mwanamke wa watu amekaa vipi miguu na nyayo zinaonekana floating without any support na goti limezidi kwa ndani kuipita frame kama aliekunja miguu lakini haionyeshi kama amekunja miguu ,labda utasema anafanya mazoezi.
Clue kubwa ambayo inaonyesha ni red colour kwenye mguu wakulia ambayo imevuka mipaka ya kiti na kupakazwa kwenye kuta za dawati ,hadi baina ya mguu wa kulia na wa kushoto kwa juu.
Huyu Bibi anaweza kupata mamilioni kwa kulishitaki gazeti lilomzalilisha ,maana mambu mingine ni ya kujitakia.

attachment.php
 
Duh!! ebana eeehh...hii kali sasa....yaani hadi miguu kaiweka kwenye viti.....bwahahahahahaaaa.....lakini labda alikuwa amechoka baada ya kazi ngumu ya kupambana na mafisadi

...alikuwa katoka kula Magimbi, si unajua tena malala nje yote ya jamii ya mizizi ni dawa ya usingizi!!! aibu kweli, kubwa zima linauchapa usingizi bungeni....Chakechake, hamna mbunge hapo, mpeni "chubwiii" cycle inayokuja.
 
Mmeamliza kumchambua Bi Maghimbi ,huyo ni mwanasheria tena anaijua sheria vilivyo,as far as kuichunguza picha naona ni poor edited with more makosa ,kwa wale wenye utaalamu wa editing wanaweza kuona tofauti mara moja.
Nikiwasaidia kuwaondoa huko mlikoburuzwa.
Itazame rangi nyekundu ya kiti cha pili ambacho anaonekana kuweka miguu ,jinsi rangi ile ilivyooenea, na kupitiliza kwa mguu wake wa kulia na kukifanya mhusika aonekane ametoboa sehemu za pembeni za kiti , itazame sehemu ya chini kwenye mkono unaoning'inia utaona rangi nyekundu imeendela pale chini ya frame kilichotakiwa kwenye mkono ule na chini ya fremu ya kiti paonekane rangi ya mabao fomeka za deski lililopo na rangi nyeusi inayoshuka chini.
Zaidi utazame mguu wa kushoto ambao unyayo umeonekana vizuri sana ila ukiufatilia mguu utaona rangi ya kivuli cha meza imeendelezwa na kupakwa hadi kwenye kisigini na kugusa fremu ya kiti kwa mbaali.
Kama haitoshi ukijaribu kufuatilia urefu wa magoti utashangaa huyu mwanamke wa watu amekaa vipi miguu na nyayo zinaonekana floating without any support na goti limezidi kwa ndani kuipita frame kama aliekunja miguu lakini haionyeshi kama amekunja miguu ,labda utasema anafanya mazoezi.
Clue kubwa ambayo inaonyesha ni red colour kwenye mguu wakulia ambayo imevuka mipaka ya kiti na kupakazwa kwenye kuta za dawati ,hadi baina ya mguu wa kulia na wa kushoto kwa juu.
Huyu Bibi anaweza kupata mamilioni kwa kulishitaki gazeti lilomzalilisha ,maana mambu mingine ni ya kujitakia.

attachment.php

..wewe nae, unaangalia sana Movie za Ki-Nigeria!!!!
 
Back
Top Bottom