BBC, Al Jazeera na CGTN wote wametoa taarifa zinazofanana!Sakata la Russia vs Ukraine Deutsche Welle hawako neutral wako biased sana na wanatumia chombo chao kwa propaganda kama ilivyo vyombo vyote vya magharibi na hata hata Russia na wanaowaunga mkono vyombo vyao havipo neutral pia.
Yeye achukue hayo majimbo aliyoteka, hana ujanja keshaishiwa.Si unajua kichaa akishafikia mahali akaona anaaibika anaona bora tufe wote
Mimi nina wasiwasi Putin atatumia nuclear kama karata zake zote zikimuishia
Aje kuwachukua Warusi wenzie, wakiongozwa na @ Bwana UtamuPutin aje bongo achukue vijana ana mashabiki maandazi wengi sana ambao hata ukiwauliza Putin anapigania nini Ukraine hawana majibu....
😅😅😅madikteta ni mapsychopath anaweza akatilipua dunia nzimaSi unajua kichaa akishafikia mahali akaona anaaibika anaona bora tufe wote
Mimi nina wasiwasi Putin atatumia nuclear kama karata zake zote zikimuishia
Leta uthibitisho
Watakuambia Israel anaua wapalestinaPutin aje bongo achukue vijana ana mashabiki maandazi wengi sana ambao hata ukiwauliza Putin anapigania nini Ukraine hawana majibu....
Hata mimi ningekimbia japokuwa nina force number AZ.......Unadhani ingekua bongo watu wasingekimbia?
Wanaenda wapi.....si dunia imewatenga hadi visa wananyimwq
Watazaliwa wengine usijali MKUUMjinga sana...watoto wa watu wanapukutika yeye kabana kimyaa....anawasongesha tu....
Sijui kwanini madikteta wanapenda sana vitisho. Rejea kiduku na sasa Andunje🤔Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Kama atatumia shida iko wapi MKUUSi unajua kichaa akishafikia mahali akaona anaaibika anaona bora tufe wote
Mimi nina wasiwasi Putin atatumia nuclear kama karata zake zote zikimuishia
Bro Bei ya tiketi imepanda mara Tisa mpk hivi sasaTiketi za ndege kusafiri nchi ambazo ni VISA free kwa Russia mfano Uturuki ziko sold out. Nauli ya ndege kwenda nje imepanda mara mbili leo leo tangu partial mobilization ianze. Hotuba ilisema ni partial mobilization ila hati ya maandishi iliyotolewa haimaanishi hivyo.
Barabara ya kuelekea mpaka wa Finland ina foleni. Finland haijakaza sana kwa Warusi wageni, wale raia jirani wanaweza jaribu kama wana vigezo.
Wiki iliyopita msemaji wa Putin alisema hakuna mobilization, leo imetangazwa. Hotuba ilibidi itolewe jana, haikutolewa bila sababu ikatolewa leo. Sintofahamu ni nyingi
Atupeleke wap mie mrusi wa hapa jfAje kuwachukua Warusi wenzie, wakiongozwa na @ Bwana Utamu
Na kuna senior mmoja serikalini kaonya ikiendelea hivi watafunga mipaka kabisa wanaume wasitoroke kwa barabara. Na zaidi ya watu 800 wamekamatwa kwa kuandamana kupinga mobilizationBro Bei ya tiketi imepanda mara Tisa mpk hivi sasa
Tena ww ndo inatakiwa uwe mstari wa mbeleAtupeleke wap mie mrusi wa hapa jf
Naomba tuheshimiane MKUU [emoji23][emoji16][emoji23][emoji16][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa watu km hao wakulazimisha ukiwapeleka front line kuna morale kweli hapo au ndo unawapeleka wakafe tuNa kuna senior mmoja serikalini kaonya ikiendelea hivi watafunga mipaka kabisa wanaume wasitoroke kwa barabara. Na zaidi ya watu 800 wamekamatwa kwa kuandamana kupinga mobilization
Hio ya kufunga mipaka sijalisikia ila hili lakukamatwa nimelisikia ingawaje sijasikia kama watu 800Na kuna senior mmoja serikalini kaonya ikiendelea hivi watafunga mipaka kabisa wanaume wasitoroke kwa barabara. Na zaidi ya watu 800 wamekamatwa kwa kuandamana kupinga mobilization