mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Kwanini hawezi ni swala la kubonyeza kidude chekundu Tu.Unadhani US hana nuclear? hahaha, hata itokee nini Russia hawezi hata kujaribu kuilenga marekani kwa nuclear, sema tu wao uhamasisha kustop mashambulizi yanayohusisha nuclear weapons, ni mbwembwe za putin, soon mtaona wanakaa mezani na kuyamaliza na hatoichukua ukraine.
Wapi imeandikwa "kwa wingi"? Au wewe ndiye unayepiga propaganda?.
Watu washaanza kujitokeza kwa wingi,habari za kukimbia ni propaganda za magharibi
Propaganda za DW, CNN, BBCRadio Deutsche Welle kipindi cha dunia yetu leo jioni.
Nakushauri na wewe uwe unapata current affairs kutoka radio za kimataifa usibaki nyuma kama mkia!
Sawa Timu Putin! Ukweli upo battle field!Propaganda za DW, CNN, BBC
Amani ni muhimu sana hivyo tulinde amani iliyopo hapa nchini kwetu
Si unajua kichaa akishafikia mahali akaona anaaibika anaona bora tufe wote
Mimi nina wasiwasi Putin atatumia nuclear kama karata zake zote zikimuishia
Sakata la Russia vs Ukraine Deutsche Welle hawako neutral wako biased sana na wanatumia chombo chao kwa propaganda kama ilivyo vyombo vyote vya magharibi na hata hata Russia na wanaowaunga mkono vyombo vyao havipo neutral pia.
putin ni kanumba mpya ss kitkacho mkuta UkraineWarusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
putin mtu kazi anakagaw dozi km kachukuliwa mke wake na UkraineWarusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Msichokijua kuwa putin anawachezea west mind game kwenye nukes narudia hakuna nchi yoyote siyo ulaya wala marekani mwenye uwezo wà kuthubutu kuingia direct ukraine kupambana na russia hakuna kiongozi atakayekubali nchi yake kuwa majivu kwa ajili ya ukraine
putin ni kanumba mpya ss kitkacho mkuta Ukraine
putin mtu kazi anakagaw dozi km kachukuliwa mke wake na Ukraine
.
Watu washaanza kujitokeza kwa wingi,habari za kukimbia ni propaganda za magharibi
Hata mimi nawaunga mkono. Putin aende mwenyewe vitani🤣Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Mmh! Hapa ndio sielewi.We unaona sawa marekani akubali nchi yake ipigwe nuclear kwaajili ya kuitetea ukrein viongozi watakuwa na utindio wa ubongo mzozo huu kilichobakia itumike democrasia kumaliza
Hawezi tumia nukes au sumu, maana marafiki zake watajitenga naye...Kauri ya NATO ipo sahihi, ila inachochea zaidi hasira ya blaza Putin, ko hapa wakizidi kumchokonoa ipo siku ataachia nuclear kweli maana hajaanza leo kutoa tishio hilo. Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja😎😎😎
Putin alipojificha haijulikaniPutin yeye si awe mstari wa mbele
Kazi kuwasakizia wenzake
Huku yeye katulia kremlin
Ova
Wanadai decree inasema mobilization itahusisha hadi watu 1mil...Tiketi za ndege kusafiri nchi ambazo ni VISA free kwa Russia mfano Uturuki ziko sold out. Nauli ya ndege kwenda nje imepanda mara mbili leo leo tangu partial mobilization ianze. Hotuba ilisema ni partial mobilization ila hati ya maandishi iliyotolewa haimaanishi hivyo.
Barabara ya kuelekea mpaka wa Finland ina foleni. Finland haijakaza sana kwa Warusi wageni, wale raia jirani wanaweza jaribu kama wana vigezo.
Wiki iliyopita msemaji wa Putin alisema hakuna mobilization, leo imetangazwa. Hotuba ilibidi itolewe jana, haikutolewa bila sababu ikatolewa leo. Sintofahamu ni nyingi