Daaa mwanangu nilifika pale nikaweka kambi nikatoka hapo nikaenda upande wa pili kuna Ngarambi.Bado ipo inpitika vizuri tu siku hizi kuna noah zinatoka Ngarambe-Utete.[emoji23][emoji23]Mzee baba kumbe ulifika mpaka kule Kingupira selou!
Dah!![emoji1]Daaa mwanangu nilifika pale nikaweka kambi nikatoka hapo nikaenda upande wa pili kuna Ngarambi.
Nikaweka kambi na kutoka hapo nikapiga hadi kandawale hadi Njinjo.
Aiseee pako vizuri sana na kwa sasa mitandao ya simu inashika vizuriDah!![emoji1]
Ngarambi KILWA nimezaliwa pale.
Ni kwa utashi wao sababu Trumps walikuwa hawachukui chochote kama mashahara au posho.Lakini wangehitaji wangelipwa!Ila alikuwa halipwi mshahara na serikali
Mkuu kama mteuliwa anajiweza kiutendaji hivi kunakuwa na tatizo gani?Ifike time tuache huu mtazamo hafifu juu ya haya.Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Sasa late Magufuli alikuwa na kosa gani Hadi mlalamike Kuna usukuma kwenye uteuzi?Yaani mtu unavyo vigezo vyote eti usipewe nafasi Kwa kuwa tu ni mchumba/, Mkwe/ ndugu wa anayekuteua, hii sio Sawa!!
Ndicho alichokuwa anakifanya Magufuli.Hata kama ungekuwa ni wewe una mwanao ana vigezo vinavyotakiwa na kuna kazi utashindwa kumwajiri?
Uliataka aseme anaanza na Wana SACCOS wakishiba ndio atawapa wengine?Jiwe aliwahi kusema kuwa anaanza kwanza kuwapatia kwanza wabunge wa ccm wakishiba ndiyo anawakumbuka wapinzani
Sasa hivi hiyo imeisha tayari
Imeisha hiyo na haiwezi kujirudiaUliataka aseme anaanza na Wana SACCOS wakishiba ndio atawapa wengine?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sasa muambiane huko muache kupambana na marehemu.Sasa hivi hiyo imeisha tayari
Unataka kutuambia mtu mwenye sifa za kutosha kuteuliwa akiwa una undugu naye unamwacha tu kisa mna uhusiano!? how pathetic!! mmeishiwa hojaKuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Hizo ni akili zako za kisheitwaaniSasa muambiane huko muache kupambana na marehemu.
CC: rais wenu huko ubelgiji.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
PhD candidate? When did he qualify?
NepotismNyie Ufipa kuna ajabu gani hapo?
Hakuna tatizo kumteua ndugu / mkwe / Rafiki kwenye uongozi ikiwa anaeteuliwa atafanya kazi vizuri kwa ajili ya maslahi ya taifa. Mana mtu yoyote yule hupenda kufanya kazi na watu anaoelewana nao kwa karibu.
Tatizo linakuja pale kuteua Rafiki zako kwa ajili ya kutengeneza mtandao wa kupiga madili
wee we we Mama kasema tukutane baada ya jumatatu ya PasakaHivi mama kamuwachia aendelee kukamua?