Je, wewe mwanaume unaweza kuuliwa na mbwa hawa wa kufungwa?

Je, wewe mwanaume unaweza kuuliwa na mbwa hawa wa kufungwa?

Anaweza kunijeruhi vibaya, lakini nitamdedisha tu.

Tulioishi bushi tumevusha sana madem kwao Kuna mbwa wakali.

Nikinunua nyundo Kwa ajiri ya kujihami na mbwa. Nushaua mmoja Kwa nyundo Moja tu likabyaaaaa na kudanja. Kisha nikamvusha dem
 
Anaweza kunijeruhi vibaya, lakini nitamdedisha tu.

Tulioishi bushi tumevusha sana madem kwao Kuna mbwa wakali.

Nikinunua nyundo Kwa ajiri ya kujihami na mbwa. Nushaua mmoja Kwa nyundo Moja tu likabyaaaaa na kudanja. Kisha nikamvusha dem
salute gentlemen

sasa mimi huwa nashangaa mwanaume mbwa anaweza kukuua na suala la kujeruhi ni sawa ila yeye lazima aage mashindano
 
wanasema ukitaka kumuua mbwa au paka mpe jina baya. je ni yapi maoni yako kuhusu wewe hapo binafsi juu linapokuja suala la mbwa anakushambulia anaweza kukusababishia kifo

Mada kwa ajili ya wanaume

Itategemea na namna alivyokuvamia na mahali ambapo meno yake kayapenyeza mwilini mwako...
 
Mbwa wana akili zaidi yetu wanajua ku keep promise. Wengi wetu ni cheaters these dog will keep killing us
 
Mbwa wana akili zaidi yetu wanajua ku keep promise. Wengi wetu ni cheaters these dog will keep killing us
Mkuu wewe unaamini mbwa wana akili kuliko binadamu ??? ila sijamaanisha akili kama zetu nielewe
 
Nimewahi kuona video clip moja, mbwa kamrukia jamaa kwenye koromeo akiwa hata hajajua atavamiwa na mbwa...

Kapigishwa mueleka, nadhani alianguka vibaya akawa hawezi jitetea tena...
kama kaniwahi sina jinsi ila dah fifty fifty Mkuu nikifa na yeye baada ya masaa machache ananifata
 
wanasema ukitaka kumuua mbwa au paka mpe jina baya. je ni yapi maoni yako kuhusu wewe hapo binafsi juu linapokuja suala la mbwa anakushambulia anaweza kukusababishia kifo

Mada kwa ajili ya wanaume
Mtafute bulldog uangalie shughuli yake
 
Back
Top Bottom