Je, wewe mwanaume unaweza kuuliwa na mbwa hawa wa kufungwa?

Cheki hicho kifua kwanza afu mtu anaongea nini au amezoea kukutana na akina manunu


Kuna mbwa na jibwa, hili ni jibwa , ubaya wa hili haliji kama mnapigana masumbwi hili linavamia na hakurudi nyuma kusema likupe nafasi ujiandae
Atleast comment hii imenitisha 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna clip ninayo kwenye simu bulldog kamkamata mtu hamuachii yanii wamefanya Kila mbinu, akaja jamaa mmoja akawaambia wamuache, jamaa akampiga dole la nyuma huyo bulldog, aisee mbwa aliruka na kukimbia mbali kabisa
Hahahahaha hii sio chai kweli
 
Kuna clip ninayo kwenye simu bulldog kamkamata mtu hamuachii yanii wamefanya Kila mbinu, akaja jamaa mmoja akawaambia wamuache, jamaa akampiga dole la nyuma huyo bulldog, aisee mbwa aliruka na kukimbia mbali kabisa
Ina maana hapo ndio ipo password yake[emoji23][emoji23]
 
Mbwa mmoja, anakuua vizuri tu. Tena ukute ni Rottweiler au Pitbull.

Tatizo wengi wakiambiwa mbwa, kichwani inawajia picha ya African Shepherd, ambaye ukiinama kama unaokota kitu, anazamisha mkia katikati ya miguu ya nyuma, kisha anatoka nduki kiasi anaweza pitiliza nyumbani
 
Kuna clip ninayo kwenye simu bulldog kamkamata mtu hamuachii yanii wamefanya Kila mbinu, akaja jamaa mmoja akawaambia wamuache, jamaa akampiga dole la nyuma huyo bulldog, aisee mbwa aliruka na kukimbia mbali kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee hawa wadudu napatana nao tangu mdogo.

Nikienda mahali hawatanidhuru nikimwita anakuja tu hapindui.

Nakumbuka miaka hiyo jukumu langu ilikua kwenda kununua kwaajili ya kufuga home najua yupi atakua mkali kwa kumtazama tu.
 
Mkuu hivi unadhania kufa ni kitu kigumu? Ni Mungu anatulinda tu. In a second mbwa anakuondoa tu, inategemea na timing. Kama mate tu yakikupalia yanaweza kununua ije kuwa bulldog? So, inategemeana na na siku hiyo ulinzi wa Mungu wako ukoje.
 
Kwa wanaume wa Dar; hapo kifo ni halali yao. Maana wengi wao ni mlenda mlenda sana. Ila kwa sisi wanaume wa Mikoani, aisee hapo ni kuokota tu jiwe na kumpiga! Au tukiona hakuna njia ya kujitetea, tunatimua mbio. 🏃
 
Kwa wanaume wa Dar; hapo kifo ni halali yao. Maana wengi wao ni mlenda mlenda sana. Ila kwa sisi wanaume wa Mikoani, aisee hapo ni kuokota tu jiwe na kumpiga! Au tukiona hakuna njia ya kujitetea, tunatimua mbio. 🏃
Mbona mnakujaga huku na mnaufyata mkiwa huko mmeshiba uji wa mlenda mnafoka kweli😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…