Je wewe ni mkongwe wa shamba au wa mjini? Umeona sinema ngapi kati ya hizi? Watoto nyie subirini kuangalia seasons

Je wewe ni mkongwe wa shamba au wa mjini? Umeona sinema ngapi kati ya hizi? Watoto nyie subirini kuangalia seasons

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
272246982_5305026469510924_428914141578743061_n.jpg
 
Nakumbuka namba moja tu lakin ni kama nimeangalia zaidi hapo
Uliziangalizia wapi? Enzi hizo marehemu Ilunga CPwaa na Adili Mkwela Chapakazi walikuwa wananitegemea mimi kuwapa madudez.

Hakukuwa na Internet, hakukuwa na ku download movies.
 
Coming to.America tena shule Gulf air walitupa zawadi ya Tv, radio sbb tulishinda usafi kwa shule za bording.
 
Sisi huku kijijini tulikua hatufatilii majina ya movie ila wahusika tu, mfano chaina (alikua mdada anapiga mkono hatari) hata sijui kwanini tulimpa jina hilo.- American Ninja, saibog, komando kipensi, komando John, Rambo, vandame na boloyang, jack chain, blucelee, kisima Cha mamba, jungle book, Chuck Norris ( cheki nolis)n.k

Movie zote katika mfumo wa VHS

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Set it off. Ilinifanya niamini Queen Latifa ana hommon za kiume. How she had run the show.
Caming to America. (Akimu) Eddy Muphy alivyojishusha kuwa mtu wa kawaida wakati kule Bemunda alikuwa na heshima kubwa. Prince.

Zaidi ya hapo hakuna. Labda ulete za kihindi. Kina Amithab Batchan, Rishi Kapoor, Rajesh Khan na kubwa la Maadui Amrish Poor.
 
Back
Top Bottom