Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Mkuu kiongozi
Mkuu kiongozi sisi tuliolipa 60 elf badala ya 200k tunaingia kwenye kundi lipi
 
Hao na Kalyinda walikua na I'd nyingi na tofauti wakianzisha mada wakali hao unawauliza toka lini utajiri ukaelekezwa kwa ukali kama fedha zipo si uende wewe utasikia natoa fursa kwa Watanzania wenzangu baadae unasikia wanatafutana huko Kigamboni mara ofisi imefungwa sasa kimya sijui watakuja na mguu gani tena kujikamatia matutusa yao...
 
dah! kama nimejiona hapo πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…