Je, wewe ulikuwepo ndani ya hili jengo? Wewe ni Mjinga

Ndo hvo wanaume sisi hupenda vitu vipya , kumchoka mwanamke ni kugusa tuu sasa mda huo na yeye anahtaji mautundu lazima uchapiwe tuu akikuheshimu sana atajitahd kukufichia siri...!!
 
Haya yote ndio matunda ya CCM.
 
Majinga yamejaa humu
 
Mazuzu ni mengi mno
 
Kuna expert member mmoja anayeheshimika sana humu namuona hapo akipewa kipigo maridaaadi kabisa! Tehe tehe tehe teheeeeee!!!!
Mtaje Wala usimuogope. nataka nimvae
 
Hiko ndio walipaswa kuambiwa kuwa hii forex ni ngumu inapaswa iende hivi na hivi. Wao nawaita matutusa kwa kuwa walipewa maneno matamu ili wapigwe
 
Najiona hapo na Lemba langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila Yule Sijui msouth sijui mzulu [emoji1787][emoji1787]
Sitasahau
Wewe ni tutusa. Kuwa na mke Kama wewe ni hasara
 
Tatizo waliambia mapema kuwa hiyo issue ni ngumu tofauti na mnavyoambiwa wakabisha na kuwa wakali mno. Walikua na matusi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…