Je, yaliyotokea kwenye familia ya Mengi kujirudia kwa Mrema?

Je, yaliyotokea kwenye familia ya Mengi kujirudia kwa Mrema?

Augustino Mrema amefariki dunia , hili halina ubishi na sisi kama wanadamu tuliosalia hapa duniani , hatuna budi kumuombea kwa Mungu nafuu ya adhabu ya kaburi na nafuu siku ya khiyama .

Bali tunatafakari jambo moja tu linalohusu mirathi , Lyatonga Mrema "bila kushawishiwa na mtu " aliutangazia ulimwengu kwamba ANAOA MWANAMKE MPYA MZURI MWEUPE MDOGODOGO , na baada ya siku chache ndoa ikafungwa , bado hatukuelewa sababu hasa ya Mzee Mrema kunyakua ngoma mbichi katika uzee wake ule na afya aliyokuwa nayo , ilimchukua Mrema muda mwingi kusimama kanisani ili kula kiapo cha ndoa , hii ni kutokana na mgogoro wa Afya yake au Uzee .

Sasa hoja yetu ni hii hapa , huyu aliyeolewa ni mke halali kwa mujibu wa sheria za Tanzania , japo aliolewa miezi michache iliyopita , Vipi kuhusu mgawanyo wa mali za Mrema ( kama anazo ) , Je ya Reginald Mengi na K-Lyn hayatajirudia ?
Usikute Bibie alisoma ramani 🗺
 
Mirathi is not about ulichochuma na marehemu, bali uhusiano wako na marehemu. If all conditions remains constant. Warithi wa asili wa Mzee Mrema kwa mjibu wa Sheria kama wapo hai ni;
1.Mke wake halali kwa mjibu wa Sheria.
2.Watoto wake
3. Mama yake mzazi
4.Baba yake mzazi.
Hiyo itawork kama Rose Mrema angekuwepo. Ila huyu mke wa sasa hana chake miezi mitano tu kaishi na mzee.
 
Augustino Mrema amefariki dunia , hili halina ubishi na sisi kama wanadamu tuliosalia hapa duniani , hatuna budi kumuombea kwa Mungu nafuu ya adhabu ya kaburi na nafuu siku ya khiyama .

Bali tunatafakari jambo moja tu linalohusu mirathi , Lyatonga Mrema "bila kushawishiwa na mtu " aliutangazia ulimwengu kwamba ANAOA MWANAMKE MPYA MZURI MWEUPE MDOGODOGO , na baada ya siku chache ndoa ikafungwa , bado hatukuelewa sababu hasa ya Mzee Mrema kunyakua ngoma mbichi katika uzee wake ule na afya aliyokuwa nayo , ilimchukua Mrema muda mwingi kusimama kanisani ili kula kiapo cha ndoa , hii ni kutokana na mgogoro wa Afya yake au Uzee .

Sasa hoja yetu ni hii hapa , huyu aliyeolewa ni mke halali kwa mujibu wa sheria za Tanzania , japo aliolewa miezi michache iliyopita , Vipi kuhusu mgawanyo wa mali za Mrema ( kama anazo ) , Je ya Reginald Mengi na K-Lyn hayatajirudia ?
Ulitaka upatiwe na wewe mgawo??
 
Hiyo itawork kama Rose Mrema angekuwepo. Ila huyu mke wa sasa hana chake miezi mitano tu kaishi na mzee.
He he he he, kwani Mrema hajaacha mke? Hata ingekuwa siku moja. Kwa mjibu sheria huyo ni mke wake.
Tofautisha kupata mali baada ya kiachana kwa ndoa na kupitia urithi. Ni vitu viwili tofauti. Hakuna sehemu sheria inasema mume au mke akae na mume au mke kwa mda gani ili aweze kurithi mwenza akifariki.
The moment walivyofunga Ile ndoa it is when the rights to inherit from each other were derived. In short and clear Mzee Mrema ameacha mke.It is being mke Alon that entitlea her the right to inherit. Labda hoja yako iwe a new precedent!
 
Mrema simjui kiundan ila watu wanavyomchukulia kwa kuoa yule mke sio
Alioa ili kupata mtu wa kumsaidia ukizingitia yy ni mtu mzima na watt wake ni wakubwa na wana familia zao
 
Back
Top Bottom